FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Suala hili si la kifalsafa hata kidogo, ni suala la uhalisia wa moja kwa moja.
Mfano ukiambiwa mtu mwenye kilo 50 anaweza kuinua mzigo wa tani 50, kwa akili za haraka haraka utabisha, lakini kwa kutumia ‘jeki’, mtu huyu anatumia nguvu zake zile zile, ila tu anazitoa kidogo kidogo hadi ile tani 50 inainuka hadi juu kabisa, tena bila maumivu makali.
Sasa tufikirie kwa kinyume chake. Tumia hii kanuni in reverse, na ukiweza, basi umetoboa...
Mfano ukiambiwa mtu mwenye kilo 50 anaweza kuinua mzigo wa tani 50, kwa akili za haraka haraka utabisha, lakini kwa kutumia ‘jeki’, mtu huyu anatumia nguvu zake zile zile, ila tu anazitoa kidogo kidogo hadi ile tani 50 inainuka hadi juu kabisa, tena bila maumivu makali.
Sasa tufikirie kwa kinyume chake. Tumia hii kanuni in reverse, na ukiweza, basi umetoboa...