Habari hii inafurahisha! Putin yuko tayari kuongea na Rais wa Ukraine

Habari hii inafurahisha! Putin yuko tayari kuongea na Rais wa Ukraine

Nikola24

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2024
Posts
222
Reaction score
517
Pia ikumbukwe kuwa raisi wa Ukraine amesha maliza muda wake wa uraisi.
Hata hivyo uchaguzi mpya Ukraine haukufanyika kwa sababu ya vita.

Pia Ukraine imeruhusiwa kujiunga na umoja wa ulaya EU kwa kuwa umoja huo sio tishio kwa urusi.

Screenshot_20250218-141904.png
 
Pia ikumbukwe kuwa raisi wa Ukraine amesha maliza muda wake wa uraisi.
Hata hivyo uchaguzi mpya Ukraine haukufanyika kwa sababu ya vita.

Pia Ukraine imeruhusiwa kujiunga na umoja wa ulaya EU kwa kuwa umoja huo sio tishio kwa urusi.

View attachment 3240694
Source ni nini!?.. maana naangalia CNN na al jazeera sijaona hiyo
 
This is after killing peoples, destroying of good houses and all inferstractures...☹️
 
Ulaya imechanganyikiwa baada ya Trump kuegemea kwa Putin.

Vita vitaisha tu muda si mrefu
Huwajui wazungu wewe. Na sidhani kama umesikiliza Amka na BBC leo asubuhi. Kukusaidia tu, viongozi wa Ulaya wameahidi kuilinda Ukraine na kukubali ukweli kwamba sasa wanatakiwa kujitegemea zaidi na kuacha kumtegemea Mmarekani.

Utaniambia baada ya miaka mitano kama Marekani hajaomba po! By the way, kama uliishasoma kitu kinaitwa "Economic Slump in America" na imeanza kusahasahau, ebu irudie tena kuisoma.
 
kusoma kutoka kulia kwenda kushoto😂😂😂.

Unawachukia sana hao ndg zetu ehh. Punguza chuki mkuu, dini zimeletwa huna haja ya kuzaja chuki za kidini.

By the way kwenye link ni habari ya Trump kuwauzia ulaya siraha wakapambane na Urusi.
IMG_2733.png

Kuna condition hapo imeandikwa “After German election”, unajua kwa nn imewekwa hiyo?

Angalia hapa tweet ya Musk.


View: https://x.com/elonmusk/status/1890066251051131044?s=46

So from now onward elewa kwamba ulaya ni kama tu Africa, ililemazwa na misaada ya Marekani.

Kile kizazi cha Ulaya kilichokonga dunia hakipo tena, uchumi wao ulikishwa tengenezwa na hicho kizazi, kizazi cha sasa kimesinzia. Trump kawaamushi, siyo rahisi kujipanga ndani ya muda mfupi namna hiyo.

Tafuta mtu akutafsirie hiyo kwa sababu madrassat hii lugha inawapiga sana chenga nyie ni ile ya kutoka kulia kwenda kushoto.

 
Pia ikumbukwe kuwa raisi wa Ukraine amesha maliza muda wake wa uraisi.
Hata hivyo uchaguzi mpya Ukraine haukufanyika kwa sababu ya vita.

Pia Ukraine imeruhusiwa kujiunga na umoja wa ulaya EU kwa kuwa umoja huo sio tishio kwa urusi.

View attachment 3240694
Putin akili kubwa mzee Baba mvute jinga Zalensky kashapagawa na Tramp anataka 50% chongo nae kashatepeta na West!!!!
sasa mlinde Utajili wa Soviet !!! Tramp sisi tunamtaka GAZA
uku alidai mateka wote Waachie kufika jmosi saaa 5 leo J4 atujaona vumbi lake!!!

Shubamit kazoea kuwatisha majilan zake uku GAZA sio Mexico au Colombia!!!! PUTO ww!!!!
 
Putin akili kubwa mzee Baba mvute jinga Zalensky kashapagawa na Tramp anataka 50% chongo nae kashatepeta na West!!!!
sasa mlinde Utajili wa Soviet !!! Tramp sisi tunamtaka GAZA
uku alidai mateka wote Waachie kufika jmosi saaa 5 leo J4 atujaona vumbi lake!!!

Shubamit kazoea kuwatisha majilan zake uku GAZA sio Mexico au Colombia!!!! PUTO ww!!!!
Mwamba unaonekana msomi wa kimataifa.
Mie nadhani Putin atamuua Zeke sky hata kama vita vikiisha.
Si unamjua Putin? Alafu unamkumbuka yule boss wa Wagner ali dead shwa na Putin?
 
Huwajui wazungu wewe. Na sidhani kama umesikiliza Amka na BBC leo asubuhi. Kukusaidia tu, viongozi wa Ulaya wameahidi kuilinda Ukraine na kukubali ukweli kwamba sasa wanatakiwa kujitegemea zaidi na kuacha kumtegemea Mmarekani.

Utaniambia baada ya miaka mitano kama Marekani hajaomba po! By the way, kama uliishasoma kitu kinaitwa "Economy Slump in America" na imeanza kusahasahau, ebu irudie tena kuisoma.
Kitakachofanyika, baada ya miaka 4 kupita, kukiwa na rais mwingine uhusiano utarejeshwa tena. Kinachotumika hapa ni sanaa ya kisiasa tu.
 
Sasa kama bado Marekani atawauzia silaha Ulaya ili Ulaya wampatie Ukraine apambane vizuri na Russia sasa Russia atapata unafuu gani na ina maana kwa njia hiyo vita havitaisha.

Russia hili swala la kuivamia Ukraine itawasumbua kwa muda mrefu sana kadri watakavyoendelea kuwa na bajeti ya vita hivyo ina maana maendeleo ndio wasahau kabisa.
 
Back
Top Bottom