Habari hii inafurahisha! Putin yuko tayari kuongea na Rais wa Ukraine

Habari hii inafurahisha! Putin yuko tayari kuongea na Rais wa Ukraine

Ula
Huwajui wazungu wewe. Na sidhani kama umesikiliza Amka na BBC leo asubuhi. Kukusaidia tu, viongozi wa Ulaya wameahidi kuilinda Ukraine na kukubali ukweli kwamba sasa wanatakiwa kujitegemea zaidi na kuacha kumtegemea Mmarekani.

Utaniambia baada ya miaka mitano kama Marekani hajaomba po! By the way, kama uliishasoma kitu kinaitwa "Economy Slump in America" na imeanza kusahasahau, ebu irudie tena kuisoma.
Ulaya Wana fedha..Tena nyingi ni Russian companies frozen... Ila hawana silaha Kama za USA...Mimi naona kwa maoni yangu...ita vitaisha Ila maneno ya Ukraine yaliyotwaliwa hivi karibuni yatarudiswa Ila Yale ya 2014 Kama rasi ya kremia imeenda
 
Kitakachofanyika, baada ya miaka 4 kupita, kukiwa na rais mwingine uhusiano utarejeshwa tena. Kinachotumika hapa ni sanaa ya kisiasa tu.
Uko sahihi. Wanaweza wakampotezea kwa miaka minne halafu wakarudisha uhusiano baada ya hapo. Hapo ni Trump atakuwa ameshindwa maana anang'ang'ana na kitu ambacho sio sustainable. Na anamwaribia sana Waziri wake Mambo ya Nje Rubio ambaye naye ana ndoto za kuwa Rais.
 
Ula

Ulaya Wana fedha..Tena nyingi ni Russian companies frozen... Ila hawana silaha Kama za USA...Mimi naona kwa maoni yangu...ita vitaisha Ila maneno ya Ukraine yaliyotwaliwa hivi karibuni yatarudiswa Ila Yale ya 2014 Kama rasi ya kremia imeenda
Kweli.
 
Ula

Ulaya Wana fedha..Tena nyingi ni Russian companies frozen... Ila hawana silaha Kama za USA...Mimi naona kwa maoni yangu...ita vitaisha Ila maneno ya Ukraine yaliyotwaliwa hivi karibuni yatarudiswa Ila Yale ya 2014 Kama rasi ya kremia imeenda
Ulaya hawana fedha mkuu waliwekeza sana kwa Ukraine na sasa Marekani amesema watoe wao fedha kuweka NATO ndo imekuwa shida hawana fedha za kuwekeza kwenye ulinzi.

Nchi nyingi za Ulaya zina matatizo ya ndani kama mfumuko wa bei na kupanda kwa gharama za maisha hivyo suala la fedha kuwekeza kwenye ulinzi ni issue.

Pia hizo mali za Russia zilizokuwa frozen hawawezi kuzitumia kwani itakuwa ni kinyume cha sheria na itawaathiri wao wenyewe miaka ijayo.

Russia na Marekani wao wameanza kwanza na matatizo yao na kisha ndo wataingiza matatizo ya EU na Ukraine kwani hata wao mali zao Russia amezizuia pia usisahau biashara nyingi za kutoka EU zimekuwa frozen kule Russia na hata McDonalds na KFC za Marekani ni miongoni mwa biashara nyingi ambazo warusi walizinunua na sasa ni mali zao, hivyo hilo ni suala zito.

Issue ingine ni usalama wa nishati kwamba ni lazima EU iendelee kuitegemea Russia watake wasitake kwani Russia ndiye supplier wao kwa bomba la kupitia Germany, hivyo akiondoka Scholz kwenye uchaguzi wa jumapili kiongozi mpya wa germany atazungumza na Putin na hali itarudi kama zamani.

EU wakitaka kuendelea kukaza shingo itakula kwao.
 
Ulaya hawana fedha mkuu waliwekeza sana kwa Ukraine na sasa Marekani amesema watoe wao fedha kuweka NATO ndo imekuwa shida hawana fedha za kuwekeza kwenye ulinzi.

Nchi nyingi za Ulaya zina matatizo ya ndani kama mfumuko wa bei na kupanda kwa gharama za maisha hivyo suala la fedha kuwekeza kwenye ulinzi ni issue.

Pia hizo mali za Russia zilizokuwa frozen hawawezi kuzitumia kwani itakuwa ni kinyume cha sheria na itawaathiri wao wenyewe miaka ijayo.

Russia na Marekani wao wameanza kwanza na matatizo yao na kisha ndo wataingiza matatizo ya EU na Ukraine kwani hata wao mali zao Russia amezizuia pia usisahau biashara nyingi za kutoka EU zimekuwa frozen kule Russia na hata McDonalds na KFC za Marekani ni miongoni mwa biashara nyingi ambazo warusi walizinunua na sasa ni mali zao, hivyo hilo ni suala zito.

Issue ingine ni usalama wa nishati kwamba ni lazima EU iendelee kuitegemea Russia watake wasitake kwani Russia ndiye supplier wao kwa bomba la kupitia Germany, hivyo akiondoka Scholz kwenye uchaguzi wa jumapili kiongozi mpya wa germany atazungumza na Putin na hali itarudi kama zamani.

EU wakitaka kuendelea kukaza shingo itakula kwao.
Yeah ! Nasikia hata EU inataka kuwa na ulinzi imara kama Russia! Bila shaka urusi wako juu kijeshi.
 
Mwamba unaonekana msomi wa kimataifa.
Mie nadhani Putin atamuua Zeke sky hata kama vita vikiisha.
Si unamjua Putin? Alafu unamkumbuka yule boss wa Wagner ali dead shwa na Putin?
Kwasasa Putin kamsoma mwenzie yupo kwenye ali mbaya sana Tramp kasitisha misaada ya JESH lkn tena anataka 50% ya Madini!!!!!

kwenye mazungumzo katengwa hiii sio poa kwenye inch yani raia wa Ukraine Watakuonaje Rais wao Watu wanazungumzia Ukraine kumaliza Vita wewe ukiwa ujashilikishwa!!!!

Atuna cha kujifunza apa changamsha akili ili neno tu la kisiasa kutangaza mkutano wakumaliza Vita vya Ukraine!!!!

ukweli ni huu ipo ivi huu ni mkutano wa kugawana Rasilimali za Mazuzu waliojifanya wanajua na kimbelembele cha kuwakumbatia Wazungu w West!! kumbe vichwani Weupe

kosa kubwa la Ukraine walifanya ni kumfukuza Rais wa Ukraine aliekuwa anaugwa mkono na Russian majuto ndio mjukuu!!

Kwasasa Tramp anataka tu makubaliano na Putin kugawana rasilimali za Ukraine ili kumaliza Vita!!!!!!!!!!

nimeipenda sana Akili ya Putin kweli jamaa ni JASUS pengine anajiuliza kichwani mali ya Soviet ww Tramp inakuusu nini!!!!

Putin na Wazaidizi wake ndio mana vwakawaza kumwita pumbavu ZUZU ZALENSKS wakati huu ndio muafaka waongea

naamini wanaweza kumaliza Tofaut za Russia na Ukraine kuliko wkt mwengine wowote

mana ZALENSKY kawekwa njia panda mbaya sana
mtu pekee mwenye kuweza kumrudishia heshima ZALENSKS ni PUTIN tu,,

kifo ukiacha Marekani yani Tramp. Inchi za Ulaya zitauwogopa mkutakano kati ya Putin na ZALENSKS uwenda ZALENSKS akamwelewa zaid Putin kwasasa kuliko uko nyuma!!

uwenda Ukraine ikawa GEORGIA mpya!!!! Wazungu w West lazima watake wawepo kwenye mazungumzo japo ayawausu

Tusisaau Wazungu wa Ulaya nao Wamepoteza rasilimali watu uchumi kwenye huu mzozo ivyo lazima Watoe macho ZALENSKS anataka kufanya nini!!!

ikiwa kuna hofu ya kifo pengine ZALENSKS kuuwawa kwasasa basi Ulaya nawapa %85 ndio watausika na Russia nawapa 15%.
 
Kwasasa Putin kamsoma mwenzie yupo kwenye ali mbaya sana Tramp kasitisha misaada ya JESH lkn tena anataka 50% ya Madini!!!!!

kwenye mazungumzo katengwa hiii sio poa kwenye inch yani raia wa Ukraine Watakuonaje Rais wao Watu wanazungumzia Ukraine kumaliza Vita wewe ukiwa ujashilikishwa!!!!

Atuna cha kujifunza apa changamsha akili ili neno tu la kisiasa kutangaza mkutano wakumaliza Vita vya Ukraine!!!!

ukweli ni huu ipo ivi huu ni mkutano wa kugawana Rasilimali za Mazuzu waliojifanya wanajua na kimbelembele cha kuwakumbatia Wazungu w West!! kumbe vichwani Weupe

kosa kubwa la Ukraine walifanya ni kumfukuza Rais wa Ukraine aliekuwa anaugwa mkono na Russian majuto ndio mjukuu!!

Kwasasa Tramp anataka tu makubaliano na Putin kugawana rasilimali za Ukraine ili kumaliza Vita!!!!!!!!!!

nimeipenda sana Akili ya Putin kweli jamaa ni JASUS pengine anajiuliza kichwani mali ya Soviet ww Tramp inakuusu nini!!!!

Putin na Wazaidizi wake ndio mana vwakawaza kumwita pumbavu ZUZU ZALENSKS wakati huu ndio muafaka waongea

naamini wanaweza kumaliza Tofaut za Russia na Ukraine kuliko wkt mwengine wowote

mana ZALENSKY kawekwa njia panda mbaya sana
mtu pekee mwenye kuweza kumrudishia heshima ZALENSKS ni PUTIN tu,,

kifo ukiacha Marekani yani Tramp. Inchi za Ulaya zitauwogopa mkutakano kati ya Putin na ZALENSKS uwenda ZALENSKS akamwelewa zaid Putin kwasasa kuliko uko nyuma!!

uwenda Ukraine ikawa Georgia mpya!!!! Wazungu w West lazima watake wawepo kwenye mazungumzo japo ayawausu

Tusisaau Wazungu wa Ulaya nao Wamepoteza rasilimali watu uchumi kwenye huu mzozo ivyo lazima Watoe macho ZALENSKS anataka kufanya nini!!!

ikiwa kuna hofu ya kifo pengine ZALENSKS kuuwawa kwasasa basi Ulaya nawapa %85 ndio watausika na Russia nawapa 15%.
Uchambuzi wako unalizisha bruh.

Salute yako!

Kinacho nifurahisha ni kwamba hakuna uwezekano wa ww3.
MAANA wakati wa Biden vita vya tatu vilinukia sana mpaka matajiri kama Elon musk walinunua Twitter kwa mbinde.
Maana jamaa hofu yake ilikuwa vita vya Ukraine kuwa ww3 hivyo biashara Duniani zisingekuwa na maana.
 
Back
Top Bottom