unataka weupe kwaajili ya kummvutia nani-?manake hata uwe mrembo vipi! Au mbaya vipi lkn mwisho wa siku unaishia kwenye himaya ya mwanaume,kwani hivyo ulivyo na weusi wako unadhani huwavutii wanaume? Hawo watoto ulipata mimba kwa kupiga punyeto?
Usibabaike na weupe,mwisoh wa siku mwanaume ndoo anachagua mwanake atakae mpendeza yeye,
Kama anataka mwanamke mweupe,mweus,mnene au mwembamba ni chaguo lake!
Na ndoo maana muumba akatuumba hivyo kwa flavour na mwonekano tofautitofauti,Juzijuzi tuu humuhumu jf kuna jamaa alikuwa anawasifia black beauty women,Sasa na kushangaa wewe ambaye hujikubali!
USHAURI
Kama uliweza kununua hivyo vidonge inaonesha,ulidhamiria kufanya hivyo,
Haya meza tuu,Ni vidonge vizuri tuu kama ulivyoshauriwa na aliekuelekeza ukanunue.mi naona wala haukuwa na haja ya kuingia humu na kutaka ushauri.