unlucky
Senior Member
- Aug 9, 2011
- 199
- 56
Mimi ni mtanzania na nina watoto watatu sitaki kuzaa tena na nimechoka kutumia lotion za bei ghali nimeamua kununua glutathione ivory cost ya 1500 mg nimesoma net vinasifika na zimewafaa watu wengi ni herbal ni natural supplement inavyosema na haina side effect bado sijala nimeviweka tu je ndugu zangu mnanishauri vipi je hayo ya net kweli na hao waliouza pia washawauzia wengine pia wameona mafanikio je hapo nifanyaje mimi na nimenunua bei ya juu sana hizo vidonge.