Habari mbaya kwa Makanjanja: kocha chizi la Orlando Pirates aiomba msamaha Simba na CAf

Habari mbaya kwa Makanjanja: kocha chizi la Orlando Pirates aiomba msamaha Simba na CAf

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Habari hii ndugu zangu wana jukwaa hamtaisikia ikiongelewa kwenye "media" zetu za HOFYOHOFYOOOOOO makanjanja huko yalipo yamekunja hadi sura maana week hii wamejaribu kufanya yooote kutingisha wana simba waapiiii raia wamekausha tu kimya lengo lao la kuleta mgogoro limeshindikana

Team kushika nafasi ya pili na kufika robo fainali Afrika imekuwa topic kubwa ya kutaka CEO atolewe huku kanjanja Shafih Dauda likidai kwamba Senzo alifanya makubwa sana kihistoria hapo simba kuliko huyu dada , well, sisi tunamkumbuka Senzo ambaye alikuja akakuta msimu wa nyuma yake simba imefika robo fainali ya champions league yeye akafanikisha kutolewa round ya awali na ud songo

Mbali na kanjanja Shafih dauda ambalo kuna kipindi likiwa limetulia nyumbani kwake likinywa kahawa huku likiwa kifua wazi liliamua ku concoct story kwamba simba imecheza mechi ya kirafiki na green warriors na kufungwa 2-0 ...kama hujaelewa ni kwamba hiyo mechi haikuwepo wala haikuwahi kufikiriwa kucheza , wakati kanjanja Dauda liko kwenye utopia na kuandika habari hiyo ya uongo kina mkude walikuwa zao bar huko kawe wanakunywa konyagi lakini kwenye kikosi cha mechi hiyo ya kufikirika ya bwana dauda mkude alicheza na alizidiwa kwelikweli
Ukiachana na Dauda ambaye anamuona Barbra kama mpaka lipstick tu kwa maneno aliyowahi kuandika kuna kanjanja jingine ambalo ikifika kwenye masuala ya utopolo na simba huwa halikumbuki maadili na hiyo ni kama linajua maadili bwana kitenge la efm ,week hii liko bize kutaka kuvuruga mambo likidai ni tetesi, kwa mfano linadai mchezaji Inlafya aliyepo kwa mkopo kmc simba haijawahi mlipa mshahara tangu aende huko

kumbuka yote haya yanatokea kwa kasi week hiii,sasa kuna habari ya kwamba lile kocha chizi lililolishwa maneno ya kutisha kuhusu simba na kina SOPE NA SENZO tangu likiwa kwao kwenye nchi ya xenephobia likafika dsm na kupata escort ya pikipiki moja likdai walikuwa treated kama wanyama na simba huku makanjanja yakichekelea na kufurahia hali hiyo yakashindwa kufanya follow up questions sababu ya ushabiki na mengineyo pia sababu ya kutokujua english ....kocha chizi limeomba radhi kwa CAF na SIMBA SC

*angalizo, hiii habari hautaisikia popote pale ukanjanjani sanasana utasikia lipstick za BARBRA na jinsi simba ilivyofeli kwa kuishia robo fainali afrika ilihali kuna team iliandaa hadi press conference mwanzo mwa msimu wakasema lengo lao ni kufika nusu fainali klabu bingwa afrika wakatolewa round ya awali na kwa macho ya makanjanja hao jamaa wamefanikiwa sana msimu huu

msamahsa.PNG
 
Njia ya manafiki ni fupi sana
Amini usiamini hii haitaongelewa kabisa, week hii wanajitahidi kweli kuivuruga simba kama kufika robo fainali ni kufeli basi ina maana nchi hii kuna team huwa zinafika nusu hadi fainali regularly
 
Kwanza we jamaa inaoneka ni kanjanja ata lugha iliyotumika hujui Sasa shida ndio imeanzia apo. Kocha wa Orando pirate hakukanusha Wala kuiomba Simba na CAF msamaha Kwa coment zake alizo toa apa Dar baada ya mechi yeye anaamini alikua sahihi.

Ameomba radhi kwakua yeye kama kocha akutakiwa malalamiko yake kuyatoa kwenye vyombo vya habari ambayo amesema ni (wrong platform) Ina maana Orando pirates walitakiwa waandike barua ya malalamiko Kwa Caf badala ya kuongelea Kwa waandishi wa habari.

Na ameomba radhi kwakua Simba waliandika barua ya kumlalamikia kule Caf na CAF wamemwandikia barua ya onyo Kwa kutoa malalamiko kienyeji na si kwakufuata utaratibu.

Caf hajasema Simba wako safi ila wanaitambua Simba kama klabu tishio katika ushirikina barani Afrika.

View attachment 2238690
 
Kwanza we jamaa inaoneka ni kanjanja ata lugha iliyotumika hujui Sasa shida ndio imeanzia apo...
Whatever the case mazeee, kushoto kulia point yangu ni kwamba ukanjanjani hiyo habari haitatangazwa kwenye barua hiyo kaomba rahi kwa comments na wrong platform,

kumbuka CAf pia hawakufuahishwa na maneno yake aliyoongea kuhusu VAR kule kwao ...mimi hapa na deal na makanjanja , follow up questions mbona hazikuwepo?
Mtu anasema we were treated like animals sababu ya kupewa rider mmoja na makanjanja kwenye media yanapiga vigelevigele huku jingine likipiga simu media za south africa kuhanikisha?

Huyu aliyezimiwa taa kule libya kakausha kisa walishinda 2-0? HII HABARI UKANJANJANI itapigwa kimya haswa week hii ambapo makanjanja kwa msaada wa bahasha za khaki za soccer mafioso wanawasha moto wa kutisha kwa BARBRA wakimlaumu kwa kushika nafasi ya pili kwenye ligi dhaifu ya NBC na kuishia robo fainali huku wakimpongeza Senzo aliyefanikisha simba kutolewa round ya awali na ud songo akarudia tena kwa rivers utd
 
Unajua hii habari ikiandikwa au kujadiliwa itazidi kuitia aibu Simba kwakua matamshi ya kocha wa Orando yanaonyesha hakanushi Wala Hana mpango wa kukanusha Kwa alicho kiongea dhidi ya Simba.

Yeye amejikita katika kuiomba Caf msamaha kwakua malalamiko yake ayakufuata utaratibu na si kwamba Simba hawakufanya aliyo yasema.

Ana maanisha aliyosema ni kweli na siku nyingine yakitokea kama ayo yaliyotokea ata lalamika Kwa maandishi Kwa Caf na si waandishi wa habari.

Ki uhalisia Caf walishapata malalamiko kutoka Kwa timu nyingi zinazo Kuja kucheza na Simba apa Dar, na wanajua tuhuma nyingi ni kweli ndio maana ata Simba walipo andika barua Kwa Caf dhidi ya Kocha wa Orando Caf wameamua kutochukua hatua za maana.

Wamemwandikia Kocha wa Orando barua ya onyo kama kuzuga tu kwakua ukweli Wanafahamu.

Caf wamesha ichoka JUJU klabu Kwa vitendo vyake.
 
Habari hii ndugu zangu wana jukwaa hamtaisikia ikiongelewa kwenye "media" zetu za HOFYOHOFYOOOOOO makanjanja huko yalipo yamekunja hadi sura maana week hii wamejaribu kufanya yooote kutingisha wana simba waapiiii raia wamekausha tu kimya lengo lao la kuleta mgogoro limeshindikana

Team kushika nafasi ya pili na kufika robo fainali Afrika imekuwa topic kubwa ya kutaka CEO atolewe huku kanjanja Shafih Dauda likidai kwamba Senzo alifanya makubwa sana kihistoria hapo simba kuliko huyu dada , well, sisi tunamkumbuka Senzo ambaye alikuja akakuta msimu wa nyuma yake simba imefika robo fainali ya champions league yeye akafanikisha kutolewa round ya awali na ud songo

Mbali na kanjanja Shafih dauda ambalo kuna kipindi likiwa limetulia nyumbani kwake likinywa kahawa huku likiwa kifua wazi liliamua ku concoct story kwamba simba imecheza mechi ya kirafiki na green warriors na kufungwa 2-0 ...kama hujaelewa ni kwamba hiyo mechi haikuwepo wala haikuwahi kufikiriwa kucheza , wakati kanjanja Dauda liko kwenye utopia na kuandika habari hiyo ya uongo kina mkude walikuwa zao bar huko kawe wanakunywa konyagi lakini kwenye kikosi cha mechi hiyo ya kufikirika ya bwana dauda mkude alicheza na alizidiwa kwelikweli
Ukiachana na Dauda ambaye anamuona Barbra kama mpaka lipstick tu kwa maneno aliyowahi kuandika kuna kanjanja jingine ambalo ikifika kwenye masuala ya utopolo na simba huwa halikumbuki maadili na hiyo ni kama linajua maadaili bwana kitenge la efm ,week hii liko bize kutaka kuvuruga mambo likidai ni tetesi, kwa mfano linadai mchezaji Inlafya aliyepo kwa mkopo kmc simba haijawahi mlipa mshahara tangu aende huko

kumbuka yote haya yanatokea kwa kasi week hiii,sasa kuna habari ya kwamba lile kocha chizi lililolishwa maneno ya kutisha kuhusu simba na kina SOPE NA SENZO tangu likiwa kwao kwenye nchi ya xenephobia likafika dsm na kupata escort ya pikipiki moja likdai walikuwa treated kama wanyama na simba huku makanjanja yakichekelea na kufurahia hali hiyo yakashindwa kufanya follow up questions sababu ya ushabiki na mengineyo pia sababu ya kutokujua english ....kocha chizi limeomba radhi kwa CAF na SIMBA SC

*angalizo, hiii habari hautaisikia popote pale ukakanjani sanasana utasikia lipstick za BARBRA na jinsi simba ilivyofeli kwa kuishia robo fainali afrika ilihali kuna team iliandaa hadi press conference mwanzo mwa msimu wakasema lengo lao ni kufika nusu fainali klabu bingwa afrika wakatolewa round ya awali na kwa macho ya makanjanja hao jamaa wamefanikiwa sana msimu huu

View attachment 2238615
usijari mkuu utopolo wakishajua wanaenda kupoteza game izo ndio mbinu zao za habari za uongo uongo ila hiyo habari ya huyo kocha hawa wa ndishi wetu wa michongo hawawezi kuitoa kwa jamii
 
Unajua hii habari ikiandikwa au kujadiliwa itazidi kuitia aibu Simba kwakua matamshi ya kocha wa Orando yanaonyesha hakanushi Wala Hana mpango wa kukanusha Kwa alicho kiongea dhidi ya Simba.
Yeye amejikita katika kuiomba Caf msamaha kwakua malalamiko yake ayakufuata utaratibu na si kwamba Simba hawakufanya aliyo yasema.
Ana maanisha aliyosema ni kweli na siku nyingine yakitokea kama ayo yaliyotokea ata lalamika Kwa maandishi Kwa Caf na si waandishi wa habari.
Ki uhalisia Caf walishapata malalamiko kutoka Kwa timu nyingi zinazo Kuja kucheza na Simba apa Dar, na wanajua tuhuma nyingi ni kweli ndio maana ata Simba walipo andika barua Kwa Caf dhidi ya Kocha wa Orando Caf wameamua kutochukua hatua za maana.
Wamemwandikia Kocha wa Orando barua ya onyo kama kuzuga tu kwakua ukweli Wanafahamu.
Caf wamesha ichoka JUJU klabu Kwa vitendo vyake.
Hiyo inajulikana mbona kamati imepitia nusu fainali ya simba 1974 na fainali ya 1993 wamesikitika sana , si ulisikai hadi kocha wa jwaneng alisema simba huwa inatoa makafara kushinda
Kinachotakiwa sasa ni kitengo cha propaganda kuongeza juhudi kuwasiliana na wageni kuhusu mbnu chafu za simba na makanjanaja yapige simu za kutosha kwenye hizo nchi ili ionekane kwamba simba huwa inatuhumiwa sana

Mazembe wakati anaanza kuwachapa waarabu waliletaga ujinga huhuuuuuu, kumbuka kuna mwarabu alikula goals 8 pale lubumbashi wkaadai waliwekewa sumu kwenye chakula sembuse simba inayoishia robo fainali?

Ukiwa na team linaishia round za awali hayo majungu utayasikia wapi bwasheee?yaani wau waache kumjadili tajiri kwamba mali zake za uchawi wakajadili maskini anayekula nyanya chungu?

Jaribuni tu kusogea robo fainali mara mbil mfululizo kama hamjakutana na hizi tuhuma angalau hata kwa kidoogo maana upande wa pili hauatahangaika kuwapigai simu wapinzani kuwapa habari z aujinga kama as vita walioambiwa wasiingie vyumbani na wakapigwa vilevile
 
usijari mkuu utopolo wakishajua wanaenda kupoteza game izo ndio mbinu zao za habari za uongo uongo ila hiyo habari ya huyo kocha hawa wa ndishi wetu wa michongo hawawezi kuitoa kwa jamii
Nilicheka mnilikuta mahala kocha wa jwaneng baada ya kufika dsm mechi ya marudiano akawa anadai simba huwa inashinda kwa kutoa kafara bianadamu na kwamba mechi kaizer chiefs waliyopigwa 3-0 walilishwa sumu..hahahahaha

Majamaa kwa kushirikiana na makanjanja wanajitahidi kuipaint simba vibaya kwa kila namna ili ionekane tuhuma ni nyingi wanasahau kitu kimoja, reaction kubwa kwa simba ni kwa sababu inatoka nchi ambayo inajulikana kisoka hamna kitu


mtu anakuja kucheza na team ya Tanzania akiangalia kisoka ni ya 130 duniani akifika hapa anatandikwa unatarajia nini? leo simba apangwe na team ya sudan kusini si dharau zinaanza kabla?

sasa simba kawanyoosha hawataki kukubali kwa hiyo wkaitokea utopolo wakapenyeza fitna they will be like thats it, we knew it, there is no way hawa watu wanaweza kushinda kihalali

Wakati utopolo na makanjanja ambayo mengine yalipiga simu hadi south africa kuitukana simba na kuikandamiza yakifurahia hali hii effect zake zinakuja sasa kwenye mengineyo..tuliona kwa namungo tumeona kwa mchezaji wa yanga queens Clara luvanga,cameroon hawaamini kwamba Tanzania inaweza wafunga, hao wenyewe utopolo mechi tu ya round ya kwanza na wanigeria kulikuwa na hadi ngumi na vurugu za kutosha home and away

Narudia tena, kadiri unavyofunga teams za waarabu na wasouth africa na umetokea ki nchi cha hovyo kisoka kama Tanzania tegemea backlash za kutosha shida sasa makanjanja maskini ya mungu...mazembe kipindi waarabu wanadai kufanyiwa hujuma lubumbashi ikiwa kwenye utawala wake sikusikia makanjanja ya congo au as vita wakihanikiza upuuzi hata kidogo

Mwandishi wa I diski south africa ambaye majuzi alichaguliwa sport journalist wa south africa Lohrenz kahler aakiwa kwenye show aki discuss na mchezaji wa zamani Junior khanye wakii discuss simba alisema simba imetikisa south africa kwa kugangamala na vigogo wawili pirates na kaizer chiefs, imekaa midomoni mwa watuna hawakutarajia hata reaction ya pirates dsm walijua simba siyo wepesi
 
naona leo tumeamua tuhamishie kijiwe humu... OKAY ongeza gahawa mgosi
 
Kwanza we jamaa inaoneka ni kanjanja ata lugha iliyotumika hujui Sasa shida ndio imeanzia apo. Kocha wa Orando pirate hakukanusha Wala kuiomba Simba na CAF msamaha Kwa coment zake alizo toa apa Dar baada ya mechi yeye anaamini alikua sahihi.
Ameomba radhi kwakua yeye kama kocha akutakiwa malalamiko yake kuyatoa kwenye vyombo vya habari ambayo amesema ni (wrong platform) Ina maana Orando pirates walitakiwa waandike barua ya malalamiko Kwa Caf badala ya kuongelea Kwa waandishi wa habari.
Na ameomba radhi kwakua Simba waliandika barua ya kumlalamikia kule Caf na CAF wamemwandikia barua ya onyo Kwa kutoa malalamiko kienyeji na si kwakufuata utaratibu.
Caf hajasema Simba wako safi ila wanaitambua Simba kama klabu tishio katika ushirikina barani Afrika.
View attachment 2238690
Unateseka mnooo.
 
Mtajijua wenyewe na litimu lenu la 'wachawi' yaani kolowizard sports club
 
Tanzania ndio nchi pekee duniani ambayo wachawi wanacheza mpira wa miguu
 
Unajua hii habari ikiandikwa au kujadiliwa itazidi kuitia aibu Simba kwakua matamshi ya kocha wa Orando yanaonyesha hakanushi Wala Hana mpango wa kukanusha Kwa alicho kiongea dhidi ya Simba.
Yeye amejikita katika kuiomba Caf msamaha kwakua malalamiko yake ayakufuata utaratibu na si kwamba Simba hawakufanya aliyo yasema.
Ana maanisha aliyosema ni kweli na siku nyingine yakitokea kama ayo yaliyotokea ata lalamika Kwa maandishi Kwa Caf na si waandishi wa habari.
Ki uhalisia Caf walishapata malalamiko kutoka Kwa timu nyingi zinazo Kuja kucheza na Simba apa Dar, na wanajua tuhuma nyingi ni kweli ndio maana ata Simba walipo andika barua Kwa Caf dhidi ya Kocha wa Orando Caf wameamua kutochukua hatua za maana.
Wamemwandikia Kocha wa Orando barua ya onyo kama kuzuga tu kwakua ukweli Wanafahamu.
Caf wamesha ichoka JUJU klabu Kwa vitendo vyake.
Caf wanaikubali sana utopolo wazee wa kuishia round ya kwanza chali
 

Attachments

  • 5AE6FA3A-3CCE-45B6-9CDA-F523B64092F7.jpeg
    5AE6FA3A-3CCE-45B6-9CDA-F523B64092F7.jpeg
    68 KB · Views: 7
Back
Top Bottom