Habari mbaya kwa team Mondi

Habari mbaya kwa team Mondi

Rich Pol

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2013
Posts
7,874
Reaction score
5,685
Screenshot_2017-09-05-20-52-36-1.png
Screenshot_2017-09-05-20-50-50-1.png

Baada ya Diamond kuubana wimbo wake wa Zilipendwa kusubiri Ally Kiba atoe kibao chake cha Seduce me ndiyo autoe wimbo wake ili kuufunika wimbo wa Kiba, Kinachoendelea sasa ni kwamba jaribio limeshindikana.
Mpaka sasa hivi wimbo wa Seduce me una viewers 4.2m na ni no 1 trending wakati Diamond na wimbo wake wa Zilipendwa una viewers 3.5m na ni no 3 trending.
kinachoendelea kimewafanya mpaka team Mondi kutengeneza wimbo wa Seduce me ulioimbwa kiratino ili ionekane kama Kiba ame copy na kuusambaza mitandaoni.
Nalo pia halijasimamisha kasi ya Seduce me. Kila kona wimbo wa Seduce me unapigwa na kuimbwa . Poleni sana team Mondi
 
Michezo ya mashabiki , natamani watu waje kuona hizi team ni km upepo wa kisiasa na hakuna bifu kati ya hao watu km mm ninavyo amini
Imani yao eti wa kumalizia bifu kick zitapungua
 
Aiseee hatari hii halafu naona karibu media zote zimempotezea huyu dogo na zilipendwa haina promo kabisaaaaa

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
4.2-3.5=0.7 so hawajaachana sana m nlifkiri kiba kamzunguka dai mara mbili kumbe gari moja liko kimara darajani lingine liko mbezi Luiz so yeyote anaweza kuwa au kuendelea kuwa juu ya mwenzie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom