Habari mbaya kwa walaji wa Kitimoto: Huenda wengi wao wakaja kupata kifafa!

Habari mbaya kwa walaji wa Kitimoto: Huenda wengi wao wakaja kupata kifafa!

Utafiti unapingwa kwa utafiti, sasa unataka kupinga utafiti kwa maneno matupu?

Njoo na utafiti uwapinge SUA.

Kama unaona nyama hiyo ni tamu kwako kula mambo ya SUA yaache na usijitahidi kuwapinga watafiti kwa sababu wamesema yaliyopatikana katika utafiti.

Acha kua mswahili kupita kiasi

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
walaji wakubwa wa mdudu walahi ni wachina hawatupi kitu [emoji106] sasa wao ndio wanaoongoza kwa kuishi sana duniani..[emoji4] napo unasemaje?
 
Vitambi pia, wanaokula mdudu hawakosi kakitambi si KE wala ME hata ka ushkaji pia walaji mdudu wana tabia ya kupotea utaskia natoka naja sasa hivi kumbe anakula shwain..
 
Mwenye akili hali hiyo kitu, ila wasomi ndio wenye kuipenda hiyo kitu.
 
Kinachotakiwa Ni kuchemsha vizuri hiyo nyama.
Kwanza hii nyama Ni laini inaiva mapema..Ko mpaka mtu akila nyama ambayo haijaiva vizuri Ni uzembe wa mpishi.
By the way kwa wapenda kitimoto, nyama huwa inachemshwa inakaangwa halafu Ina roastiwa.
Risks za tapeworms kusurvive ni ndogo.
Viva Kitimoto.
 
walaji wakubwa wa mdudu walahi ni wachina hawatupi kitu [emoji106] sasa wao ndio wanaoongoza kwa kuishi sana duniani..[emoji4] napo unasemaje?
Hoja yako ni kusema nyama ya nguruwe inaongeza life expectancy?

Kwa hiyo sababu ya wachina kuishi miaka mingi ni kwasababu wanakula kitimoto?

Nikwambie tu life expectancy ina mambo lukuki sio nyama peke yake, mpaka uchumi wa nchi na hali halisi ya maisha vyote vinahusika.



Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
 
Kwanza makinika nami vizuri kuhusu hizi picture hapa chini:-

View attachment 587398

View attachment 587399

View attachment 587400

View attachment 587401

View attachment 587402



Sasa twende kwenye upotoshaji wa SUA kuhusu huyu mdudu:-



Nchini Tanzania nyama ya nguruwe ni maarufu katika maeneo mbali mbali ya starehe na imepewa majina mengi ,kama vile mkuu wa meza, kiti moto na mengineyo mengi.

Hata hivyo utafiti wa kisayansi kutoka chuo kikuu cha kilimo cha sokoine ( SUA), umebaini kuwa walaji wa nyama ya nguruwe wako katika hatari ya kupata magonjwa kama vile kifafa kutokana na mnyoo Tegu uliopo kwenye nyama ya nguruwe.

Mwandishi wa BBC Maximiliana Mtenga amezungumza na mtafiti wa magonjwa ya binadamu na wanyama Dkt. Boa Mathias Emanuel kutoka chuo kikuu cha SUA, na kwanza amemuuliza ueneaji wa ugonjwa huu.


SUA wanafanya makusudi sana.
Huyo docta ni Makinikia kama yale mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je hudhani pia anaweza kuwa mu Islam.
Si usabato si Uislam. Kwanza utafiti huo ni marudio tu. Tegu wakiwa wengi katika nyama ya nguruwe mayai yao hukaa kwenye vifuko vyeupe minofuni mwa chair- fire. (huonekana kama mbegu za papai bichi). Nyama ya Nguruwe yapaswa ikaguliwe kuona kuwa haina infestation ya hao tegu. Ikiwa haina in nyama bora sana kuliwa kuliko nyama hizo nyekundu za ng'ombe na mbuzi. Na kwa usalama zaidi yapaswa kuivishwa vizuri kabla ya kuliwa ili kuuwa hayo mayai ya tegu (cysts). Maana ni kweli mwilini mwa kiumbe huweza kusafirishwa hadi kwenye ubongo na kufanya interference na normal functioning ya brain hence EPILEPSY. So beware

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halaf kuna watu wanafananaga na uso wa nguruwenna masikio
Karibu pilau lake
ac00160ff3b5cc8a8f703a837c719132.jpg
[emoji117]
c0f3a36f337637b961ea1af14a1240f6.jpg
[emoji39]
 
Kwanza makinika nami vizuri kuhusu hizi picture hapa chini:-

View attachment 587398

View attachment 587399

View attachment 587400

View attachment 587401

View attachment 587402



Sasa twende kwenye upotoshaji wa SUA kuhusu huyu mdudu:-



Nchini Tanzania nyama ya nguruwe ni maarufu katika maeneo mbali mbali ya starehe na imepewa majina mengi ,kama vile mkuu wa meza, kiti moto na mengineyo mengi.

Hata hivyo utafiti wa kisayansi kutoka chuo kikuu cha kilimo cha sokoine ( SUA), umebaini kuwa walaji wa nyama ya nguruwe wako katika hatari ya kupata magonjwa kama vile kifafa kutokana na mnyoo Tegu uliopo kwenye nyama ya nguruwe.

Mwandishi wa BBC Maximiliana Mtenga amezungumza na mtafiti wa magonjwa ya binadamu na wanyama Dkt. Boa Mathias Emanuel kutoka chuo kikuu cha SUA, na kwanza amemuuliza ueneaji wa ugonjwa huu.


SUA wanafanya makusudi sana.
Umeeleza upotoshaji hujaeleza ukweli ni upi

Au ni mapenzi tu hata hivyo mdudu mtamu sana

nYaNi wA KaLe
 
Back
Top Bottom