Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,046
- 3,971
😎😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchini Tanzania nyama ya nguruwe ni maarufu katika maeneo mbali mbali ya starehe na imepewa majina mengi ,kama vile mkuu wa meza, kiti moto na mengineyo mengi.
Hata hivyo utafiti wa kisayansi kutoka chuo kikuu cha kilimo cha sokoine ( SUA), umebaini kuwa walaji wa nyama ya nguruwe wako katika hatari ya kupata magonjwa kama vile kifafa kutokana na mnyoo Tegu uliopo kwenye nyama ya nguruwe.
Mwandishi wa BBC Maximiliana Mtenga amezungumza na mtafiti wa magonjwa ya binadamu na wanyama Dkt. Boa Mathias Emanuel kutoka chuo kikuu cha SUA, na kwanza amemuuliza ueneaji wa ugonjwa huu.
Chanzo: BBC Swahili
Aisee tafiti uchwara zimekuwa nyingi....!Hizi tafiti siku hizi kila kitu hakifai.Jana tu mwingine kanitumia kwamba tusiweke vyakula vya moto kwenye vyombo/vifaa vya plastik tutapata kansa hujakaa vizuri chumvi sukari sio nzuri mwishowe sasa tutaambiwa kulala kwenye nyumba ya bati sio nzuri kwa afya yako.
Kukaushwa yaani kukaangwa?Hapa cha muhimu ni namna ya kuindaa kabla ya kuila! Inatakiwa ikaushwe kwenye mafuta mpaka cell zote zife zikiwemo za wadudu mbalimbali; na siyo nguruwe tu nyama zote zinatakiwa zipikwe vizuri ziive hasa!
Je hudhani pia anaweza kuwa mu Islam.Huyo mtafiti atakuwa Msabato.