Habari mbaya kwa walaji wa Kitimoto: Huenda wengi wao wakaja kupata kifafa!

Habari mbaya kwa walaji wa Kitimoto: Huenda wengi wao wakaja kupata kifafa!

pork-chops-3.jpg
 
View attachment 195801 Ni mojawapo ya aina nyingi ya wanyama wafugwao, mnyama huyu alianza kufugwa na mwanadamu zaidi ya miaka 2000 kabla ya yesu kuja hapa duniani, mnyama huyu amejizolea majina mengi sijui ni kwanini labda tu ya umaharufu wake,wengine humwita noah,mkuu wa meza ,hata kitimoto na mjomba mnene!! Cha kushangaza pia katika vitabu kama injiri na quraani pia vimemzungumzia mnyama huyu kila kitabu kimemzungumzia kwa kumtaja jina , tofauti na wanyama wengine kwani hata mwenyezi mungu katika vitabu takatifu nilivyovitaja hapo juu katika injiri ya yesu kristo ameonywa mwanadamu kutokula wanyama wasiocheuwa tena injiri ilikwenda mbali zaidi na kumtaja jina yaani Na NGURUWE!!!! Pia hata katika quraan mnyama huyu ametajwa kama afai kutumika kama kitoweo yaani ni haramu katika surat' tul- meda aya ya 3 mwenyezi mungu amekataza kabisa matumizi hata kufuga huyu mnyama, pia madaktari na watafiti wa magojwa yamebaini aina fulani ya mnyoo ambae upatikana katika huyu mnyama ambae usababisha ugojwa wa KIFAFA kwa mwanadamu endapo atakuwa na mazoeya ya kumtumia kama kitoweo

Kwa mujibu wa maandiko, ndege yeyote asiyepasuliwa miguu hapaswi kuliwa, je ndugu mwandishi huli BATA?

Inawezekana wewe kweli huli bata lakini jamii yote bila kujali dini imekula bata wakati wote bila kumtaja kuwa ni haramu!!

Bata, Ngamia, Sungura, Papa, Kambale, hivi ni baadhi tu ya viumbe haramu kwa mujibu wa Torati, lakini mbona hamvisemi na mmeendelea kula!!?

Mafundisho ya namna hii hayawasaidii kitu unaolenga kuwafundisha! Unapomwambia mtu kuhusu dhambi basi mwambie dhambi zote!
Hakuna dhambi ya kikristo na dhambi ya kiislamu dhambi ni dhambi!

Unamwabia mtu Nguruwe ni dhambi lakini humwambii kuwa WIZI pia ni dhambi, UFISADI, UZINZI, CHOYO na meengi ambayo tumeamua kuyahalalisha kwenye maisha yetu ya kila siku kuwa ni dhambi!!

Tuachane na mafundisho manyonge maana hatutakjitofautisha na WANAFIKI.!!
 
View attachment 195801 Ni mojawapo ya aina nyingi ya wanyama wafugwao, mnyama huyu alianza kufugwa na mwanadamu zaidi ya miaka 2000 kabla ya yesu kuja hapa duniani, mnyama huyu amejizolea majina mengi sijui ni kwanini labda tu ya umaharufu wake,wengine humwita noah,mkuu wa meza ,hata kitimoto na mjomba mnene!! Cha kushangaza pia katika vitabu kama injiri na quraani pia vimemzungumzia mnyama huyu kila kitabu kimemzungumzia kwa kumtaja jina , tofauti na wanyama wengine kwani hata mwenyezi mungu katika vitabu takatifu nilivyovitaja hapo juu katika injiri ya yesu kristo ameonywa mwanadamu kutokula wanyama wasiocheuwa tena injiri ilikwenda mbali zaidi na kumtaja jina yaani Na NGURUWE!!!! Pia hata katika quraan mnyama huyu ametajwa kama afai kutumika kama kitoweo yaani ni haramu katika surat' tul- meda aya ya 3 mwenyezi mungu amekataza kabisa matumizi hata kufuga huyu mnyama, pia madaktari na watafiti wa magojwa yamebaini aina fulani ya mnyoo ambae upatikana katika huyu mnyama ambae usababisha ugojwa wa KIFAFA kwa mwanadamu endapo atakuwa na mazoeya ya kumtumia kama kitoweo
mkuu jambo kama hulijui ni vema ukanyamaza mambo ya dini waachie wanaoijua dini mkuu. mi nakushauri kasome upya afu uelewe na uje twna
 
Kuna "wenyewe" hawaambiliki kwenye hiyo kitu kwa sababu ile minyoo ilishajaa kichwani siku nyingi.
 
Hakika ni kuwa Agano la Kale katika Biblia imekataza ulaji wa nguruwe na akafanywa

kuwa ni haramu: “Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8).

Agizo hilo limerudiwa katika Kumbukumbu la Shari’ah 14: 7 – 8 na pia Isaya 66: 17.

Na katika Agano Jipya, Yesu naye amesema kuwa hakuja kutangua shari’ah na mafundisho ya manabii bali kukamilisha (Mathayo 5: 17). Kwa ibara hiyo ni kuwa Yesu pia aliharamisha ulaji wa nguruwe.

" mtu mmoja anayo imani na anakula vyote, lakini yeye aliye dhaifu anakula mboga.Yeye alaye asimdharau huyo asiyekula, wala yeye asiyekula asimhukumu huyo alaye, kwa maana Mungu amemkubali" Warumi 14:2-3
 
Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

Rosemary Alvarez alijikuta akiwa na maumivu ya kichwa na mkono kukosa nguvu. baada ya kufanyiwa scanning ikaoneka kama ni "brain tumor", pindi alipofanyiwa upasuaji alikutwa na "mnyoo (taenia solium)" akiwa hai unakula brain yake. Chanzo hasa cha mnyoo huo ni kula nyama ya nguruwe ambayo kitaalamu anaprotein nyingi kuliko mnyama yoyote na hivyo kuvutia parasite wengi kwa mnyama huyu . Je ni watanzania wangapi wanapata uangalizi wa kugundua afya zao na wanakula nyama hii kila siku tena inayofugwa katika mazingira si salama?. soma zaidi kwenye link hii hapa chini

Source : ABC News: It's Not a Tumor, It's a Brain Worm


Angalia hapa Mchina huyu pia akitolewa minyoo mingi usoni ambayo pia ilisababishwa na utamaduni wa kula nyama ya nguruwe:








Pia tupe faida za kufuga majini
 
Last edited by a moderator:
Tangu nikiwa mdogo nakula kitimoto na hakijawahi kuniathiri.. Kuanzia nguruwe wa porini hadi wanaofugwa
 
Kwa wale watu wabishi kuleni tu nyama ya nguruwe mukiumwa ugonjwa wa kifafa mimi nipo na nina dawa

ya kutibu hayo maradhi ya kifafa kwa pesa za ki-tanzania ni shillingi millioni 2 kuleni nyama mukiumwa

munitafute mimi kwa gharama za hizo pesa nitawatibuni.

Ushatibu wangapi?
 
Back
Top Bottom