Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
walaji wakubwa wa mdudu walahi ni wachina hawatupi kitu [emoji106] sasa wao ndio wanaoongoza kwa kuishi sana duniani..[emoji4] napo unasemaje?Utafiti unapingwa kwa utafiti, sasa unataka kupinga utafiti kwa maneno matupu?
Njoo na utafiti uwapinge SUA.
Kama unaona nyama hiyo ni tamu kwako kula mambo ya SUA yaache na usijitahidi kuwapinga watafiti kwa sababu wamesema yaliyopatikana katika utafiti.
Acha kua mswahili kupita kiasi
Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hata mimi nimewaza kama weweHuyo mtafiti atakuwa Msabato.
Fafanua mkuu. Kwa upande wa staff ama wanafunzi?Mkuu SUA imejaza division 3 nyingi ambazo ni rejects ya Mzumbe, UD, Muhimbil hivyo usishangae katika hilo
Hoja yako ni kusema nyama ya nguruwe inaongeza life expectancy?walaji wakubwa wa mdudu walahi ni wachina hawatupi kitu [emoji106] sasa wao ndio wanaoongoza kwa kuishi sana duniani..[emoji4] napo unasemaje?
Huyo docta ni Makinikia kama yale mengineKwanza makinika nami vizuri kuhusu hizi picture hapa chini:-
View attachment 587398
View attachment 587399
View attachment 587400
View attachment 587401
View attachment 587402
Sasa twende kwenye upotoshaji wa SUA kuhusu huyu mdudu:-
Nchini Tanzania nyama ya nguruwe ni maarufu katika maeneo mbali mbali ya starehe na imepewa majina mengi ,kama vile mkuu wa meza, kiti moto na mengineyo mengi.
Hata hivyo utafiti wa kisayansi kutoka chuo kikuu cha kilimo cha sokoine ( SUA), umebaini kuwa walaji wa nyama ya nguruwe wako katika hatari ya kupata magonjwa kama vile kifafa kutokana na mnyoo Tegu uliopo kwenye nyama ya nguruwe.
Mwandishi wa BBC Maximiliana Mtenga amezungumza na mtafiti wa magonjwa ya binadamu na wanyama Dkt. Boa Mathias Emanuel kutoka chuo kikuu cha SUA, na kwanza amemuuliza ueneaji wa ugonjwa huu.
SUA wanafanya makusudi sana.
Aaah siku hizi jina sio kigezo kikubwa cha kuzingatia, hapa tunasali na Athumani na ni mzee wa Kanisa.Umeona jina lake?
Proofness!Mmeambiwa kuwa huo ni utafiti ,kinacchotakiwa ni proofness au result ya utafiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Papuchi ina bacteria kibao na minyoo bado tunalamba itakuwa nyama pendwa?Aiseee habari mbaya kwa watumiaji wa mdudu
Si usabato si Uislam. Kwanza utafiti huo ni marudio tu. Tegu wakiwa wengi katika nyama ya nguruwe mayai yao hukaa kwenye vifuko vyeupe minofuni mwa chair- fire. (huonekana kama mbegu za papai bichi). Nyama ya Nguruwe yapaswa ikaguliwe kuona kuwa haina infestation ya hao tegu. Ikiwa haina in nyama bora sana kuliwa kuliko nyama hizo nyekundu za ng'ombe na mbuzi. Na kwa usalama zaidi yapaswa kuivishwa vizuri kabla ya kuliwa ili kuuwa hayo mayai ya tegu (cysts). Maana ni kweli mwilini mwa kiumbe huweza kusafirishwa hadi kwenye ubongo na kufanya interference na normal functioning ya brain hence EPILEPSY. So bewareJe hudhani pia anaweza kuwa mu Islam.
Hivi ndo ulisema unapenda kula mdudu ukiwa umevaa hamna?Watajijua wenyewe na utafiti wao mdudu alivyo mtamu naachaje sasa!!
Karibu pilau lakeHalaf kuna watu wanafananaga na uso wa nguruwenna masikio
Umeeleza upotoshaji hujaeleza ukweli ni upiKwanza makinika nami vizuri kuhusu hizi picture hapa chini:-
View attachment 587398
View attachment 587399
View attachment 587400
View attachment 587401
View attachment 587402
Sasa twende kwenye upotoshaji wa SUA kuhusu huyu mdudu:-
Nchini Tanzania nyama ya nguruwe ni maarufu katika maeneo mbali mbali ya starehe na imepewa majina mengi ,kama vile mkuu wa meza, kiti moto na mengineyo mengi.
Hata hivyo utafiti wa kisayansi kutoka chuo kikuu cha kilimo cha sokoine ( SUA), umebaini kuwa walaji wa nyama ya nguruwe wako katika hatari ya kupata magonjwa kama vile kifafa kutokana na mnyoo Tegu uliopo kwenye nyama ya nguruwe.
Mwandishi wa BBC Maximiliana Mtenga amezungumza na mtafiti wa magonjwa ya binadamu na wanyama Dkt. Boa Mathias Emanuel kutoka chuo kikuu cha SUA, na kwanza amemuuliza ueneaji wa ugonjwa huu.
SUA wanafanya makusudi sana.