Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kupotosha watu ina maana hata huo utafiti kama haujatimiza vigezo upingwe na utafiti halali,yaani watu wamejifungia ndani wakaandaa chapisho unaita utafiti,tutaendelea kula kitimoto hadi mwisho wa dunia.Uroho tu halo ndo unakusumbua!!, utafiti unapingwa na utafiti, fanya wako ule huo uchafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujanja kupata hau..[emoji4] fuga nguruwe kiuchumi na kiafya badala ya kufuga ndevu [emoji4]Hao uliowataja ndio wengi,waliokamatwa na vyeti feki.Ukiangalia majina 99%,wenye vyeti feki ni majina ya walaji uchafu wa nguruwe.
Duh mzalendo wa mfano wewe.Ukiniambia nichague kimoja kati ya huyu mdudu na kuingia ahela nachagua huyu mdudu