Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MBUNGE ANAYEDAIWA KUONGOPA ELIMU YAKE:
Jalada lafika ofisini kwa DPP
- Ilikuwa wakati wa kampeni za uchaguzi
- DCI asema tayari upelelezi umekamilika
Na Esther Mvungi
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) amepokea jalada la mbunge anayedaiwa kutoa taarifa za uongo kuhusu elimu yake wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka jana.
Akizungumzia suala hilo ofisini kwake, Mkurugenzi wa Mashitaka, Geoffrey Shaidi, alithibitisha ofisi yake kupokea jalada hilo.
"Jalada limefika leo mezani kwangu… limepokewa ofisini Juni 6," Shaidi alisema jana.
DPP ambaye hakuzungumzia undani wa jalada hilo, alisema ofisi yake italishughulikia na hakutaka kutaja jina la mbunge kwa wakati huu.
Awali, Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba, akizungumza na Uhuru alisema ofisi yake imekamilisha upelelezi kuhusu mbunge huyo na kuwasilisha jalada kwa DPP.
Manumba alisema ofisi yake ilipata taarifa za malalamiko kuhusu mbunge huyo na si kweli kwamba inawahoji wengine kadhaa.
Baadhi ya vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti kuwa wabunge kadhaa wamehojiwa na polisi kwa kughushi vyeti vikiwemo vya elimu.
Mkuu hapa naona ni kama vile unapiga upepo rangi, utapoteza muda wako tu. Piga ua, walaji wa Noah katu hawatoacha kumla huyo mnyama. Labda waambiwe wakila watageuka matoashi may be ndio wataacha kumla Noah.
Ushauri wangu: Wewe waache tu waendelee kumla noah
kuna maelezo yanasema sababu za ki-mazingira, kwamba kuharamishwa huko ni kutokana na magonjwa haya yalipokuwa hayaeleweki chanzo chake maeneo ya mido-isti, na kwasababu ya ujinga, ikabidi wale viongozi wajuu watangaze kuwa mungu amekataza, nao wakaamini.nchini china wanakula nguruwe miaka nenda rudi hawajapata tatizo lolote. na kwa nyongeza nyama inayoongoza kwakuliwa sana ulimwenguni ni ya kitimoto.Aaah! Jamani eeh! Huyu nguruwe 'swine', si ameharamishwa katika vitabu vya dini. Kwenye biblia hadi kuraan.
Kwa hiyo aliharamisha kwa sababu ya HUENDA TUTAPATA KIFAFA...???
kutokana na takwimu ulimwenguni nyama ya kitimoto ndio nyama inayoongoza kuliwa ulimwenguni kuliko aina nyingine ya nyama yaani kuliko kuku,samaki, dagaaa,bata, mbuzi,kondoo, ngombe,sungura, nyani, mbwa, n.k. kitimoto inaongoza kwa kuliwa na watu wengi sana ulilmwenguni, china, ulaya mshariki, ulaya magharibi, marekani, latino, afrika, gosh,
nchi ya misri naongoza kwa export ya kitmoto afrika nzima,sasa kama watu wote hawa hawajadhurika kuna haja gani ya kujengeana hofu.
fu*k fear
100% correctEgypt is the main expoter of pork? You are not serious, bossman!
Source?
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Nyama ya nguruwe.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Utafiti wa kisayansi uliofanywa na SUA, umebaini kuwa baadhi ya nguruwe wana minyoo aina ya tegu ambao nyama yao ikiliwa bila kuiva vizuri, mlaji atapata minyoo hiyo ambayo huingia kichwani na kusababisha kifafa.
Alisema maambukizi ya tegu au minyoo ya nguruwe yanatokana na tabia za baadhi ya wafugaji kutozingatia ufugaji bora kwa kuwaacha kujitafutia chakula na maji mitaani na kula kinyesi cha binadamu.
Kwa mujibu wa Profesa Lekule, baadhi ya wafugaji wamekuwa wakijisaidia vichakani na kuwaacha nguruwe kutafuta malisho katika vichaka na kula kinyesi chao, hali inayochangia ongezeko la maambukizi ya minyoo ya tegu hao.
Lekule
100% correct
Most Egyptian pig farmers are Coptic Christians, a group that makes up about 10 percent of the 80 million people in the mostly Muslim nation. Coptic Christians do not observe the Muslim ban on eating pork, and historically they have coexisted peacefully with the Muslim majority in Egypt. The farmers also work in the garbage industry and use their daily collections to feed their herds, which number about 300,000 animals in the country.
even anthraXAcha kutisha watu Mzizimkavu hii haijagunduliwa leo hii ni kampeni ya waislam ili wakristo tusile nyama tamu. Haya si mapya yalikuwepo tangu karne za zamani sana. Mimi nimesoma medicine nimeyakuta hivyo, kwa taarifa jamii ya minyoo hiyo pia inapatikana kwa ngombe pia ingawa seriousness yake ni tofauti. Cha kushauri hapa watu waache kula nyama za kuchoma ila zichemke kwa nguvu kabisa. Kula nyama choma ya mifugo wote inakuweka rehani kupata magonjwa ya waliyonayo wanyama husika kama brucelosis, cystesocosis, hydatidosis, toxoplasmosis nk
Kwa wale watu wabishi kuleni tu nyama ya nguruwe mukiumwa ugonjwa wa kifafa mimi nipo na nina dawa
ya kutibu hayo maradhi ya kifafa kwa pesa za ki-tanzania ni shillingi millioni 2 kuleni nyama mukiumwa
munitafute mimi kwa gharama za hizo pesa nitawatibuni.
Siyo tu Hospitali bali hata Hospitali za serikali zitakuwa na wagonjwa wengi wa kifafa möuda sio mrefu kuanzia sasaaMkuu very soon hiyo hospital yako itazidiwa na wagonjwa wa hicho kifafa