Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
RADIO DORTCH VELLE YA MJINI KOLON UJERUMANI JANA ILITANGAZA DAWA ZA DICLOPA NA DICLOPHENAC KUWA NI HATARI KWA MATUMIZI YA BINADAMU IMEGUNDULIKA VIDONGE HIVYO HUSABABISHA KANSA YA INI NA UBONGO, UGONJWA WA MOYO, KIHARUSI, VIDONDA VYA TUMBO AU KIFO CHA GHAFLA, waokoe kwa KUWATUMIA sms hii UWAPENDAO.wasitumie vidonge hivyo, pia na wewe usitumie
TAHADHARI: Dawa za Diclopa na Diclofenac zadaiwa kuwa ni hatari kwa matumizi ya binadamu!
Radio Dutch Velle ya mjini Kolon Ujerumani jana ilitangaza kuwa Dawa Diclopa na Diclofenac ni hatari kwa matumizi ya binadamu, Imegundulika Vidonge hivyo husababisha kansa ya Ini na Ubongo,Ugonjwa wa moyo, Kiharusi, Vidonda vya Tumbo au kifo cha ghafla.
Chanzo: Radio Dutch Velle
TAHADHARI: Dawa za Diclopa na Diclofenac zadaiwa kuwa ni hatari kwa matumizi ya binadamu!
Radio Dutch Velle ya mjini Kolon Ujerumani jana ilitangaza kuwa Dawa Diclopa na Diclofenac ni hatari kwa matumizi ya binadamu, Imegundulika Vidonge hivyo husababisha kansa ya Ini na Ubongo,Ugonjwa wa moyo, Kiharusi, Vidonda vya Tumbo au kifo cha ghafla.
Chanzo: Radio Dutch Velle