Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlionya mapema kwamba wafanye nini kuepuka vifo vya kukanyagana ?Tulionya mapema tukaonekana haters
Umefurahi maana umepata mada ya kumnang’a Marehemu kama kawaida yenuKazi kweri kweri.
Kwa hiyo ajali zikitokea barabarani polisi wakitoa taarifa huwa na death certifacate?mleta mada tuwekee vyeti vyao vya vifo tuamani tasrifa zako kama vinasomeka wamekufa kwa msongamano.
Si vizuri kutangaza kifo cha mtu bila kuambatanisha death certificate
Lini uliona TBC au REDIO ONE wakataja death cert?mleta mada tuwekee vyeti vyao vya vifo tuamani tasrifa zako kama vinasomeka wamekufa kwa msongamano.
Si vizuri kutangaza kifo cha mtu bila kuambatanisha death certificate
Venue haikuwa mkapa ni uhuru stadium bana!Salaam Wakuu,
Kuna habari mbaya ya watu wengi kufariki wakati wakiaga mwili wa hayati Magufuli.
Inadaiwa baadhi ya watu wamepelekwa Hospitali ya Temeke wengine wakiwa wamepoteza maisha na wengine kuzimia.
Nmempigia Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke kumuuliza juu ya vifo hivi, baada ya kujitambulisha tu, akanikatia simu. Hivyo nmeshindwa kujua Idadi kamili.
Hapa chini ni baadhi ya watu waliotajwa kupoteza maisha kenye msongamano Uwanja wa Uhuru Temeke Dar es Salaam
TANZIA!
TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MWALIMU JANE NGONDE (MWALIMU MKUU WA S.M MGEULE) KILICHOTOKEA LEO MCHANA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA ALIPOKUWA AKISHIRIKI KUTOA SALAMU ZA MWISHO. TARATIBU ZA MAZISHI ZINAFANYIKA NA TUTAENDELEA KUJULISHANA. AIDHA TUNAITAARIFU KAMATI YA MAAFA- UVEMI KUENDELEA NA TARATIBU ZETU. R. I.P
Nyingine:
TANZIA: Mboka Nsobi Minga amefiwa na mkewe Lidia Shomari Minga ambaye leo tarehe 21/3/2021 asubuhi akiwa mzima wa afya alikwenda uwanjani kuaga mwili wa Hayati John Joseph Pombe Makufuli. Kifo chake kimesababishwa na kukanyagwa na umati wa watu uwanjani hapo. Mwili wake umehifadhiwa hospitali ya Temeke. Msiba upo Kilwa road Barracks
View attachment 1731031
Lidia Shomari
Venue haikuwa mkapa ni uhuru stadium bana!Salaam Wakuu,
Kuna habari mbaya ya watu wengi kufariki wakati wakiaga mwili wa hayati Magufuli.
Inadaiwa baadhi ya watu wamepelekwa Hospitali ya Temeke wengine wakiwa wamepoteza maisha na wengine kuzimia.
Nmempigia Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke kumuuliza juu ya vifo hivi, baada ya kujitambulisha tu, akanikatia simu. Hivyo nmeshindwa kujua Idadi kamili.
Hapa chini ni baadhi ya watu waliotajwa kupoteza maisha kenye msongamano Uwanja wa Uhuru Temeke Dar es Salaam
TANZIA!
TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MWALIMU JANE NGONDE (MWALIMU MKUU WA S.M MGEULE) KILICHOTOKEA LEO MCHANA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA ALIPOKUWA AKISHIRIKI KUTOA SALAMU ZA MWISHO. TARATIBU ZA MAZISHI ZINAFANYIKA NA TUTAENDELEA KUJULISHANA. AIDHA TUNAITAARIFU KAMATI YA MAAFA- UVEMI KUENDELEA NA TARATIBU ZETU. R. I.P
Nyingine:
TANZIA: Mboka Nsobi Minga amefiwa na mkewe Lidia Shomari Minga ambaye leo tarehe 21/3/2021 asubuhi akiwa mzima wa afya alikwenda uwanjani kuaga mwili wa Hayati John Joseph Pombe Makufuli. Kifo chake kimesababishwa na kukanyagwa na umati wa watu uwanjani hapo. Mwili wake umehifadhiwa hospitali ya Temeke. Msiba upo Kilwa road Barracks
View attachment 1731031
Lidia Shomari
Acha hizo, tutaendelea kwenda kumpa heshima za mwisho mpendwe wetu!vifo vya kujitaki. kwani ukikaa nyumbani kwako haionekani umeguswa?
Ndio sababu hiyo ndio huonyesha sababu ya kifo.Kwa hiyo ajali zikitokea barabarani polisi wakitoa taarifa huwa na death certifacate?
Watu walioko eneo la tukio au ndugu zao wasiseme neno mpaka death certificate?
Sio mtemi,mtu yeyote katili alieua watu hovyo huwa hakubali kuondoka peke yake,lazima atatafuta wa kuondoka nao kuzimu.Ni kawaida ya "MTEMI" kuondoka na watu! RIP wahanga wote!
Siku zikitimu hata tonge la wali litakubadili jina! Hata hiyo handset inaweza kukufanyizia😭!Duuuuh! Ila watu walikuwa wengi mno, hiv kwann wasinge peleka hiyo shughuli uwanja wa mkapa?
Inamaana wao hawajui jinsi ya kudhibiti vito vya kukanyagana?Mlionya mapema kwamba wafanye nini kuepuka vifo vya kukanyagana ?
Mimi siendi kumuaga mtu yeyote yule. Nitatulia zangu tu nyumbani. Na hayupo wa kunilazimisha.