Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano

Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano

Sasa wewe tukio kama lile linawekwa jirani na Buza kwa mpalange unategemea nini? Nasikia wameenda hadi wanataka kuvamia ndege iliyobeba maiti waingie ndani wasepe nayo Dodoma. Watu wa Buza banah!

% kubwa ya sisi waTZ ni vilaza ,tunakuwa easy sana kuwa brainwashed na "TANTALILA" za kwenye hamasa ,watu washalishwa matango pori kwamba jamaa alikuwa anapendwa na yeye anapata hisia kwamba anapendwa kweli wakati miaka hiyo aliyoongoza watu walikuwa wanasaga meno,njaa njaa tu.
 
Hao waliokuwa wanajidondosha ni wale wamama wamezoea kushinda makanisa ya kilokole, full kuzimia...kingine walikuwa wanatafuta camera
Eti mmama mzima unalia kwa kugalagala halafu maskini wale watoto maskaut wanambeba, Ni unyanyasaji wa watoto[emoji3]

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Unaweza kuta mtoto katoroka, watoto wa temeke watundu sana

Mi nalaumu mzazi aliyeenda na mtoto mdogo pale huyo ndo bogus, zero
Wapo watoto waliopotea. Ila pia wapo ambao wameenda kwa baraka ya wazazi..Kuna familia ipo kimara sijui mbezi..mama kaenda na watoto wake wawili pamoja na house girl, mama na watoto wake wamekufa, msichana wa kazi hajulikani alipo. Hapo ni uzembe wa baba na mama.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Imefikia stage hiyo, kwanini hiyo shughuli ya kumuaga Magufuli isingepelekwa uwanja wa Mkapa? au hapakuwa na polisi wa kutosha kusimamia hilo zoezi? anyway now it's too late.

Wapumzike kwa amani wote waliofariki.
Hata uhuru pangetosha ila utaratibu ndio waliokosea, maiti isingetolewa uwanjani watu wangeaga usiku kucha hadi wale waliowai alfajili wangeshaondoka, tatizo lilikuwa ni kuusubiri mwili kutoka lugalo wakati uwanjani watu wameshajaa na wengine wanakuja, kwahio tukajazana na kulundikana, jua Kali, hewa nzito, njaa na kiu ndio hivyo
 
Hata uhuru pangetosha ila utaratibu ndio waliokosea,,maiti isingetolewa uwanjani watu wangeaga usiku kucha hadi wale waliowai alfajili wangeshaondoka,,tatizo lilikuwa ni kuusubiri mwili kutoka lugalo wakati uwanjani watu wameshajaa na wengine wanakuja,,,kwahio tukajazana na kulundikana,,jua Kali,,hewa nzito,,njaa na kiu ,,ndio hivyo
Hapo COVID inaachaje kusambaa kwa mfano?
 
Wapo watoto waliopotea. Ila pia wapo ambao wameenda kwa baraka ya wazazi..Kuna familia ipo kimara sijui mbezi..mama kaenda na watoto wake wawili pamoja na house girl, mama na watoto wake wamekufa, msichana wa kazi hajulikani alipo. Hapo ni uzembe wa baba na mama.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Sasa hayo ndo mabogus full...naamini wengi pale shule tia maji, sidhani kama msomi kama huyo mwalimu tena mwalimu[emoji848][emoji848] ( nadhani umenielewa) na yeye kaminywa kafia pale, yule shule haijamkomboa
 
[3/21, 19:04] Rco Temeke.: AFANDE DCI,N/DCI,ZCO ,RPC,OP.OFFICER.

TUKIO KUBWA LILILORIPOTIWA NI TAARIFA YA VIFO VIKIVYOTOKEA UHURU STADIUM-CHA/RB/2267/2021 NA KUSABABISHA MAJERUHI KADHAA.

AIDHA MAOMBOLEZO YA HAYATI DR.JOHN POMBE MAGUFULI NA SHUGHULI ZA KUAGA MWILI ZIMEKAMILIKA KATIKA UWANJA WA UHURU . MWILI ULIONDOLEWA NA KUELEKEA UWANJA WA NDEGE WA JULIAS NYERERE TA YARI KWA SAFARI YA KUELEKEA DODOMA .WATU NI WENGI LAKINI PAMOJA NA ULINZI NA USALAMA KUIIMARISHWA KILA KONA ,NA VYOMBO VYOTE VYA ULINZI NA USALAMA,BADO KUMEJITOKEZA VIFO VILIVYOSABABISHWA NA MSONGAMANO NA KUKANYAGANA .WAMEKUFA WATU 45, KATI YAO WANAUME 11,AMBAPO MIONGONI MWAO KUNA WATU WAZIMA 6 NA WATOTO 5 .AIDHA WANAWAKE NI 34 AMBAPO KATI YAO WATOTO 2 NA WATU WAZIMA 32 .MAJERUHI KWA KUKANYAGANA NA KUKANDAMIZANA NA WANAENDELEA NA MATIBABU NI 32 AMBAPO 6 WAMEPELEKWA HOSPITALI YA MUHIMBILI KWA MATIBABU ZAIDI .TAARIFA KWA KIREFU MBIONI NA UCHUNGUZI ZAIDI UNAENDELEA.
NAOMBA KUWASILISHA .
[3/21, 19:04] Rco Temeke.: Afande wenzetu wa Dodoma,Zanzibar, Mwanza na Geita wachukue hadhari mapema wenye mapenzi kwa hayati ni weengiiii sana na wanalazimisha kuuaga mwili wote .Wajadiliane mbinu bora ya kudhibiti umati kwenye msiba huu mzito kwa nchi .TOKA RCO TEMEKE.
 
[3/21, 19:04] Rco Temeke.: AFANDE DCI,N/DCI,ZCO ,RPC,OP.OFFICER.

TUKIO KUBWA LILILORIPOTIWA NI TAARIFA YA VIFO VIKIVYOTOKEA UHURU STADIUM-CHA/RB/2267/2021 NA KUSABABISHA MAJERUHI KADHAA.

AIDHA MAOMBOLEZO YA HAYATI DR.JOHN POMBE MAGUFULI NA SHUGHULI ZA KUAGA MWILI ZIMEKAMILIKA KATIKA UWANJA WA UHURU . MWILI ULIONDOLEWA NA KUELEKEA UWANJA WA NDEGE WA JULIAS NYERERE TA YARI KWA SAFARI YA KUELEKEA DODOMA .WATU NI WENGI LAKINI PAMOJA NA ULINZI NA USALAMA KUIIMARISHWA KILA KONA ,NA VYOMBO VYOTE VYA ULINZI NA USALAMA,BADO KUMEJITOKEZA VIFO VILIVYOSABABISHWA NA MSONGAMANO NA KUKANYAGANA .WAMEKUFA WATU 45, KATI YAO WANAUME 11,AMBAPO MIONGONI MWAO KUNA WATU WAZIMA 6 NA WATOTO 5 .AIDHA WANAWAKE NI 34 AMBAPO KATI YAO WATOTO 2 NA WATU WAZIMA 32 .MAJERUHI KWA KUKANYAGANA NA KUKANDAMIZANA NA WANAENDELEA NA MATIBABU NI 32 AMBAPO 6 WAMEPELEKWA HOSPITALI YA MUHIMBILI KWA MATIBABU ZAIDI .TAARIFA KWA KIREFU MBIONI NA UCHUNGUZI ZAIDI UNAENDELEA.
NAOMBA KUWASILISHA .
[3/21, 19:04] Rco Temeke.: Afande wenzetu wa Dodoma,Zanzibar, Mwanza na Geita wachukue hadhari mapema wenye mapenzi kwa hayati ni weengiiii sana na wanalazimisha kuuaga mwili wote .Wajadiliane mbinu bora ya kudhibiti umati kwenye msiba huu mzito kwa nchi .TOKA RCO TEMEKE.
Any big event comes with all of its spendors...
 
kila mtu akifuatilia kwenye runinga nani atakuwepo uwanjani sasa?
Watu wanaweza kwenda uwanjani, ila idadi izingatiwe. Wenye mamlaka wakishaona pamejaa, wazuie watu kuingia.

Ila ingekuwa vyema kama kipindi cha kuaga mwili, waanze waliosimama nje, wafate waliosimama ndani na mwisho wamalizie waliofanikiea kukaa.

Easy.
 
[3/21, 19:04] Rco Temeke.: AFANDE DCI,N/DCI,ZCO ,RPC,OP.OFFICER.

TUKIO KUBWA LILILORIPOTIWA NI TAARIFA YA VIFO VIKIVYOTOKEA UHURU STADIUM-CHA/RB/2267/2021 NA KUSABABISHA MAJERUHI KADHAA.

AIDHA MAOMBOLEZO YA HAYATI DR.JOHN POMBE MAGUFULI NA SHUGHULI ZA KUAGA MWILI ZIMEKAMILIKA KATIKA UWANJA WA UHURU . MWILI ULIONDOLEWA NA KUELEKEA UWANJA WA NDEGE WA JULIAS NYERERE TA YARI KWA SAFARI YA KUELEKEA DODOMA .WATU NI WENGI LAKINI PAMOJA NA ULINZI NA USALAMA KUIIMARISHWA KILA KONA ,NA VYOMBO VYOTE VYA ULINZI NA USALAMA,BADO KUMEJITOKEZA VIFO VILIVYOSABABISHWA NA MSONGAMANO NA KUKANYAGANA .WAMEKUFA WATU 45, KATI YAO WANAUME 11,AMBAPO MIONGONI MWAO KUNA WATU WAZIMA 6 NA WATOTO 5 .AIDHA WANAWAKE NI 34 AMBAPO KATI YAO WATOTO 2 NA WATU WAZIMA 32 .MAJERUHI KWA KUKANYAGANA NA KUKANDAMIZANA NA WANAENDELEA NA MATIBABU NI 32 AMBAPO 6 WAMEPELEKWA HOSPITALI YA MUHIMBILI KWA MATIBABU ZAIDI .TAARIFA KWA KIREFU MBIONI NA UCHUNGUZI ZAIDI UNAENDELEA.
NAOMBA KUWASILISHA .
[3/21, 19:04] Rco Temeke.: Afande wenzetu wa Dodoma,Zanzibar, Mwanza na Geita wachukue hadhari mapema wenye mapenzi kwa hayati ni weengiiii sana na wanalazimisha kuuaga mwili wote .Wajadiliane mbinu bora ya kudhibiti umati kwenye msiba huu mzito kwa nchi .TOKA RCO TEMEKE.
Justification ya hii sredi Tunautaabisha mwili kwa manufaa ya nani?
 
Serikali iache kumzungusha zungusha marehemu mitaani,ameshakufa hana faida tena wakamfukie tu Maisha yaendelee wanataka kusababisha vifo zaidi na kuchochea corona
Watu wataaminije kuwa alikuwa anapendwa?
 
Back
Top Bottom