Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Ndio mkuu [emoji3][emoji3]So sad!
Hili nalo lawama ni kwa Magufuli au?
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu [emoji3][emoji3]So sad!
Hili nalo lawama ni kwa Magufuli au?
Wakati mwingine wanawake tuna matatizo ... mtoto wa miezi miwili unaenda nae wapi zaidi ya clinic?Kuna mmoja jana alikuwa na kichanga kama cha miezi miwili, walimkandamiza, yaan ni aliminywa firigisi na utumbo mi nilijua anakufaa haloo usiombe [emoji848][emoji848] mi na rafiki yangu tukamnyang'anya mtoto..alivyochoropoka hapo tukamnasa vibao vitatu tukamrudishia mtoto wake, alikuwa anatafuta upenyo wa kurudi home, maana si kwa ukunga ule kwa mminyo wa kufa mtu
Wajinga sanaKuna wamama wapuuzi sana wameenda na watotto wadogo
Kila mtu angebaki nyumbani nani angeenda? Ni sawa kwenda ila uangalie na mazingira ukikuta hayafai unajiondokea taratibu, na wale wamama walioenda na watoto wadogo kama sio upumbavu ni niniJamani ila watu.Mimi nimeangalia nyumbani tu. Ya nini kwenda kwenye msongamano wote huo?Sasa wamefuata vifo vyao. Inasikitisha.
Wewe unaonaje?So sad!
Hili nalo lawama ni kwa Magufuli au?
Ni 'uzalendo'!Kila mtu angebaki nyumbani nani angeenda? Ni sawa kwenda ila uangalie na mazingira ukikuta hayafai unajiondokea taratibu, na wale wamama walioenda na watoto wadogo kama sio upumbavu ni nini
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Mleta mada tuwekee vyeti vyao vya vifo tuamini taarifa zako kama vinasomeka wamekufa kwa msongamano.
Si vizuri kutangaza kifo cha mtu bila kuambatanisha death certificate
Haya basi tuwapongeze waliokufa, wamekufa kwa kwaajili ya nchi yao.Ni 'uzalendo'!
kmmmkMleta mada tuwekee vyeti vyao vya vifo tuamini taarifa zako kama vinasomeka wamekufa kwa msongamano.
Si vizuri kutangaza kifo cha mtu bila kuambatanisha death certificate
Mkuu viongozi wote huwaga wanaagwa uwanja wa uhuru kama ilivyofanyika kwa Magu.Duuuuh! Ila watu walikuwa wengi mno, hiv kwann wasinge peleka hiyo shughuli uwanja wa mkapa?
nawewe ukifa kwenye maandamano inabidi wasiseme kabisa maana ni aibu.Unaacha watoto siku wanakua wanaambiwa Mama yako alikufa kwenye msongamano WA kuaga mwili. Kweli wajinga Tanzania wameongezeka.
Hawa ujinga ndio umesababisha msiba waoTANZIA
Habari za jioni Mates mwenzetu Mbasa Mtua amepata msiba mkubwa sana kwa kumpoteza mwanae mmoja watoto wa mdogo wake watatu na mtoto wa kaka yake mmoja baada ya kukanyagwa uwanja wa Taifa walipokwenda kumuaga JPM,na hadi sasa hawajui house girl yuko wapi,watoto waliongozana na mke wa mdogo wake,msiba uko kimara nyumbani kwao,tuwaombee wako kwenye wakati mgumu sana,mwenyezi mungu awapumzishe kwa Amani[emoji120]
Acha nao hao Mataga wamepaniki. Tulilishwa woga mno. Mwisho umefika tutaelewana tuKwa hiyo ajali zikitokea barabarani polisi wakitoa taarifa huwa na death certifacate?
Watu walioko eneo la tukio au ndugu zao wasiseme neno mpaka death certificate?
Wanataka kuvunja rekodi na kuaminisha Rais mpya kuwa jamaa alipendwa hivyo aendeleze alipoachiaJeshi,TPDF,wangeachiwa waendelee kuratibu utaratibu wa kuaga mwili wa Rais( kimsingi ndo wahusika), lakini kimbelembele cha Gondwe na RPC wake, na CCM ya Polepole ndo haya yakatokea.
Msiba wa Nyerere hatukusikia haya,ingawa umati ulikuwa mkubwa sana kuliko wa JPM wa kulazimisha vilio
Hakuna kumlilia mtu, mzazi wake ni mjinga kupeleka mtoto kwa watu wengiHawa ndio wa kuliliwa sasa [emoji26][emoji22][emoji24][emoji24][emoji24]Watoto Masikini Watoto[emoji45][emoji36]
Huko kwenu labda.Usijid
Usijidanganye kijana, wanakufa sana ila ndiyo hivyo hawana status ya kutangazwa
Hawezi kwepa lawama Magufuli.So sad!
Hili nalo lawama ni kwa Magufuli au?