Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano

Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano

Kwaio death certificate inatoka hapo hapo ukishafariki ?
Kama haijatoka hapo huna authority ya kutamka mtu kafa kwa ajili ya nini wewe sema tu kafa full stop .Wakikuuliza kafia nini sema death certificate bado haijatoka usijitie kujua ohhh kafa kwa sababu hii wakati hujapata death certificate!!!
 
Alienda kushuhudia maiti ili akapige umbea kitaa

Watz wanapenda stori za umbea[emoji1]
Mm nawaambia siyo umat ule ulimpenda jiwe wengne n umbea tu na kukosa kazi ambazo mwendazake alizibana Mungu hana utani kuonesha mwamba alikuwa mafia kaamua kuwachukua na wanafiki wanaompamba wakat ukienda kwao maisha yamewapiga Sasa wakaendelee kumsifia huko mbinguni mwenzao alisema ataongoza malaika wao wataongoza nn

#KAMA HUNA KAZI YAKUFANYA KAA NYUMBANI
 
Hao ni physical victims wa msongamano. Sijui viral victims wa msongamano itakuwaje maana barakoa hazikupewa nafasi yake?

Mungu aliponye hili taifa liondokane na usukule wa hii miaka 5 iliyopita na awarudishie waja wake fahamu zao wajitambue kuwa wao ni binadamu hai wanaoishi!
Kweli hao ni physical deaths,bado walioambukizana gonjwa hili la hatari covid 19.kulikuwa hakuna haja ya kuupeleka mwili wa hayati magufuli tena uwanjani.kutoa salaam barabarani kungetosha.mambo mengine tunajitakia wenyewe.ujue hapa si bure pana ulaji.anyhow poleni wafiwa wote.
 
Mleta mada tuwekee vyeti vyao vya vifo tuamini taarifa zako kama vinasomeka wamekufa kwa msongamano.

Si vizuri kutangaza kifo cha mtu bila kuambatanisha death certificate
Mitano tena , Mia tena over forty dead body found ndugu usishindane na teknologia ?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wajitahidi kuwa waangalifu,,shime tujitokeze kwa wingi zaidi kuaga kesho
 
Imefikia stage hiyo, kwanini hiyo shughuli ya kumuaga Magufuli isingepelekwa uwanja wa Mkapa? au hapakuwa na polisi wa kutosha kusimamia hilo zoezi? anyway now it's too late.

Wapumzike kwa amani wote waliofariki.
Mimi nadhani wangeruhusu video ya mwili wa marehemu ionekane ingepunguza shauku ya watu kutaka lazima wakashuhudie physically.
 
Salaam Wakuu,

Kuna habari mbaya ya watu wengi kufariki wakati wakiaga mwili wa hayati Magufuli.

Inadaiwa baadhi ya watu wamepelekwa Hospitali ya Temeke wengine wakiwa wamepoteza maisha na wengine kuzimia.

Nmempigia Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke kumuuliza juu ya vifo hivi, baada ya kujitambulisha tu, akanikatia simu. Hivyo nmeshindwa kujua Idadi kamili.

Hapa chini ni baadhi ya watu waliotajwa kupoteza maisha kenye msongamano Uwanja wa Uhuru Temeke Dar es Salaam



TANZIA!
TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MWALIMU JANE NGONDE (MWALIMU MKUU WA S.M MGEULE) KILICHOTOKEA LEO MCHANA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA ALIPOKUWA AKISHIRIKI KUTOA SALAMU ZA MWISHO. TARATIBU ZA MAZISHI ZINAFANYIKA NA TUTAENDELEA KUJULISHANA. AIDHA TUNAITAARIFU KAMATI YA MAAFA- UVEMI KUENDELEA NA TARATIBU ZETU. R. I.P

Nyingine:

TANZIA: Mboka Nsobi Minga amefiwa na mkewe Lidia Shomari Minga ambaye leo tarehe 21/3/2021 asubuhi akiwa mzima wa afya alikwenda uwanjani kuaga mwili wa Hayati John Joseph Pombe Makufuli. Kifo chake kimesababishwa na kukanyagwa na umati wa watu uwanjani hapo. Mwili wake umehifadhiwa hospitali ya Temeke. Msiba upo Kilwa road Barracks
View attachment 1731031
Lidia Shomari

Mashuhuda wengine wamesema;

"Nilikuwa temeke hosp ninamgonjwa mama yangu mdogo, ambulance zilizoleta maiti pale ni zaid ya watu 40 aisee, kuna mama mjamzito kafa na watoto wake 2"

"Yan nilikuwa natetemeka tu ambulance zinaleta watu watatu watatu wengine mahututi wengine wamekufa Yan kweli magufuli tulimpenda Sana"

"Jamani pale Taifa umetokea mkanyagano wakati wa kuaga mwili wa JPM, watu wengi wamepoteza maisha..including two of my relatives.

Im worried hata kule Dodoma the crowd is not well managed, tutapoteza wengi."

"Sijui tuna kwama wapi.Kuna jirani yangu hapa ndugu yake kafiwa na mke na watoto wawili.Watoto wa nini kwenye crowd kama ile?🤷🏾‍♂️🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️"

"Nina Rafiki yangu kafiwa na Mke na watoto wake 2 huko uwanjani"
View attachment 1731219
OMG!!
 
Sasa subiri kesho uone... Laana Nuksi Ujinga Umasikini Utaahira Utapia mlo Ushirikina ndo vinaiangamiza nchi..watoto wamepotea wengi sana.Unaenda kuaga nini... !!!?
Nyambafff
Hivi baadhi ya watu wana akili kweli?


Unaenda kuaga mtu asiyeongea?unaenda kuaga mfu?kwanini mmekua wajinga namna hii?

,si tulishakubaliana kwamba mtu wa kuaga ni ndugu pekee?

Nyie vipi?wagonjwa nini?

Ona sasa mshakanyagiwa huko....mkanyagwe kabisa mpondeke ili mkome mmezidi sijui huu utahira mmeutoa wapi


Kama kuita malofa hakukosea

Magufuli kuwaita wanyonge hakukosea kweli kuna wanyonge malofa nchi hii


Kama ni kufa ashakufa tu kwanza sahiv yupo zake huko sijui ndo anaongoza hao malaika.....muache ujinga na upumbavu na mbadilike

Nimekereka sana....hii nchi wakati mwingine naona wazungu warudi tu kutupiga mijeledi kuna mijitu ipo km mikondoo tu
 
msimsingizie maerehemu.Muacheni marehemu apumzike kwa amani.
Sina na wala sikuwa na undugu nae!
Simfahamu, hakuwahi kunifahamu japo alishea kabila na mimi.

Imeisha hiyo, maisha yanasonga mbele vifo vipo kila siku
 
Bado awataki kuchukuwa hatua za taadhali ya Covid-19, hakuna haja ya kuhamasisha misongamano, hata kama tunapenda, mabadiliko ni ngumu hadi Rais hatakapovunja serikali!
 
Hivi unendaje kuaga SHETANI! Shetani huwa hafi pekeyake. Wamejitakia kufa haoooo.
 
Hao unaowaona wamejazana hapo ndio wale unaowaona wamejazana kwenye daladala,pantoni,sokoni na hawafi mnakufa nyinyi matajiri mnaoshinda kwenye ac huku mmevaa barakoa
Usijidanganye kijana, wanakufa sana ila ndiyo hivyo hawana status ya kutangazwa
 
Back
Top Bottom