Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano

Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano

Kaweka mfumo wa usiri unaoendelea mpaka sasa kwa hiyo haepuki lawama.

Lawama za mambo ya kimfumo hqziishi mtu akifa.

Baba ukishindwa kuelimisha wanao, hata ukifa utabaki na lawama tu.

Kifo chako si mwisho wa lawama kwako.
There you go!

Lawama ishapatikana.
 
Msiba huu wa kulia ni mama Janeth amepoteza mume na wanae wamepoteza baba sasa wewe mjamzito unajifanya una mahaba sana na marehemu kiasi unakokotana na wanao kujifanya una uchungu sana ili ukamuage,inatosha kuumia na kumlilia moyoni Watanzania kujipendekeza kutawamaliza.
 
Yani hii nchi miaka 60 ya uhuru ila ujinga ndo unaongezeka KWA kasi ya 5g licha ya kuwa na shule na vyuo. Hao wazee afya mgogoro na corona si wangetulia tu
Mkuu mambo mengine mimi nabaki kushangaa tu. Kweli akili za watanzania zina kasoro kubwa sana. Halafu tukisema hivi kuna wapumbavu wanasema tunaona wivu! Kwao watu wakifa na kuambukizana corona ni sawa tu. Jirani kwetu tumepata habari sasa hivi kuna dada mmoja kachukuwa mtoto wa jirani kaenda naye huko na wote wamefariki! Just imagine ni ujinga wa kiwango gani. Halafu watu kama hao unakuta wengi wameenda just for curiosity !
 
Polepole anahusika.. Jana alihamasisha wanaccm na wengine kujitokeza kwa wingi kwenda kuuaga mwili wa JPM... Umati niliouona leo kupitia TV 📺..sio ajabu hayo kutokea.
Kwaio hapa kisheria anaweza kupatikana na hatia, si ndio?
 
Salaam Wakuu,

Kuna habari mbaya ya watu wengi kufariki wakati wakiaga mwili wa hayati Magufuli.

Inadaiwa baadhi ya watu wamepelekwa Hospitali ya Temeke wengine wakiwa wamepoteza maisha na wengine kuzimia.

Nmempigia Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke kumuuliza juu ya vifo hivi, baada ya kujitambulisha tu, akanikatia simu. Hivyo nmeshindwa kujua Idadi kamili.

Hapa chini ni baadhi ya watu waliotajwa kupoteza maisha kenye msongamano Uwanja wa Uhuru Temeke Dar es Salaam



TANZIA!
TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MWALIMU JANE NGONDE (MWALIMU MKUU WA S.M MGEULE) KILICHOTOKEA LEO MCHANA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA ALIPOKUWA AKISHIRIKI KUTOA SALAMU ZA MWISHO. TARATIBU ZA MAZISHI ZINAFANYIKA NA TUTAENDELEA KUJULISHANA. AIDHA TUNAITAARIFU KAMATI YA MAAFA- UVEMI KUENDELEA NA TARATIBU ZETU. R. I.P

Nyingine:

TANZIA: Mboka Nsobi Minga amefiwa na mkewe Lidia Shomari Minga ambaye leo tarehe 21/3/2021 asubuhi akiwa mzima wa afya alikwenda uwanjani kuaga mwili wa Hayati John Joseph Pombe Makufuli. Kifo chake kimesababishwa na kukanyagwa na umati wa watu uwanjani hapo. Mwili wake umehifadhiwa hospitali ya Temeke. Msiba upo Kilwa road Barracks
View attachment 1731031
Lidia Shomari

Mashuhuda wengine wamesema;

"Nilikuwa temeke hosp ninamgonjwa mama yangu mdogo, ambulance zilizoleta maiti pale ni zaid ya watu 40 aisee, kuna mama mjamzito kafa na watoto wake 2"

"Yan nilikuwa natetemeka tu ambulance zinaleta watu watatu watatu wengine mahututi wengine wamekufa Yan kweli magufuli tulimpenda Sana"

"Jamani pale Taifa umetokea mkanyagano wakati wa kuaga mwili wa JPM, watu wengi wamepoteza maisha..including two of my relatives.

Im worried hata kule Dodoma the crowd is not well managed, tutapoteza wengi."

"Sijui tuna kwama wapi.Kuna jirani yangu hapa ndugu yake kafiwa na mke na watoto wawili.Watoto wa nini kwenye crowd kama ile?[emoji2377][emoji2305][emoji2305]"

"Nina Rafiki yangu kafiwa na Mke na watoto wake 2 huko uwanjani"
TANZIA
Habari za jioni Mates mwenzetu Mbasa Mtua amepata msiba mkubwa sana kwa kumpoteza mwanae mmoja watoto wa mdogo wake watatu na mtoto wa kaka yake mmoja baada ya kukanyagwa uwanja wa Taifa walipokwenda kumuaga JPM,na hadi sasa hawajui house girl yuko wapi,watoto waliongozana na mke wa mdogo wake,msiba uko kimara nyumbani kwao,tuwaombee wako kwenye wakati mgumu sana,mwenyezi mungu awapumzishe kwa Amani[emoji120]
 
Mkuu mambo mengine mimi nabaki kushangaa tu. Kweli akili za watanzania zina kasoro kubwa sana. Halafu tukisema hivi kuna wapumbavu wanasema tunaona wivu! Kwao watu wakifa na kuambukizana corona ni sawa tu. Jirani kwetu tumepata habari sasa hivi kuna dada mmoja kachukuwa mtoto wa jirani kaenda naye huko na wote wamefariki! Just imagine ni ujinga wa kiwango gani. Halafu watu kama hao unakuta wengi wameenda just for curiosity !
Curious for nonsense
 
Jeshi,TPDF,wangeachiwa waendelee kuratibu utaratibu wa kuaga mwili wa Rais( kimsingi ndo wahusika), lakini kimbelembele cha Gondwe na RPC wake, na CCM ya Polepole ndo haya yakatokea.
Msiba wa Nyerere hatukusikia haya,ingawa umati ulikuwa mkubwa sana kuliko wa JPM wa kulazimisha vilio
 
Salaam Wakuu,

Kuna habari mbaya ya watu wengi kufariki wakati wakiaga mwili wa hayati Magufuli.

Inadaiwa baadhi ya watu wamepelekwa Hospitali ya Temeke wengine wakiwa wamepoteza maisha na wengine kuzimia.

Nmempigia Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke kumuuliza juu ya vifo hivi, baada ya kujitambulisha tu, akanikatia simu. Hivyo nmeshindwa kujua Idadi kamili.

Hapa chini ni baadhi ya watu waliotajwa kupoteza maisha kenye msongamano Uwanja wa Uhuru Temeke Dar es Salaam



TANZIA!
TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MWALIMU JANE NGONDE (MWALIMU MKUU WA S.M MGEULE) KILICHOTOKEA LEO MCHANA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA ALIPOKUWA AKISHIRIKI KUTOA SALAMU ZA MWISHO. TARATIBU ZA MAZISHI ZINAFANYIKA NA TUTAENDELEA KUJULISHANA. AIDHA TUNAITAARIFU KAMATI YA MAAFA- UVEMI KUENDELEA NA TARATIBU ZETU. R. I.P

Nyingine:

TANZIA: Mboka Nsobi Minga amefiwa na mkewe Lidia Shomari Minga ambaye leo tarehe 21/3/2021 asubuhi akiwa mzima wa afya alikwenda uwanjani kuaga mwili wa Hayati John Joseph Pombe Makufuli. Kifo chake kimesababishwa na kukanyagwa na umati wa watu uwanjani hapo. Mwili wake umehifadhiwa hospitali ya Temeke. Msiba upo Kilwa road Barracks
View attachment 1731031
Lidia Shomari

Mashuhuda wengine wamesema;

"Nilikuwa temeke hosp ninamgonjwa mama yangu mdogo, ambulance zilizoleta maiti pale ni zaid ya watu 40 aisee, kuna mama mjamzito kafa na watoto wake 2"

"Yan nilikuwa natetemeka tu ambulance zinaleta watu watatu watatu wengine mahututi wengine wamekufa Yan kweli magufuli tulimpenda Sana"

"Jamani pale Taifa umetokea mkanyagano wakati wa kuaga mwili wa JPM, watu wengi wamepoteza maisha..including two of my relatives.

Im worried hata kule Dodoma the crowd is not well managed, tutapoteza wengi."

"Sijui tuna kwama wapi.Kuna jirani yangu hapa ndugu yake kafiwa na mke na watoto wawili.Watoto wa nini kwenye crowd kama ile?🤷🏾‍♂️🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️"

"Nina Rafiki yangu kafiwa na Mke na watoto wake 2 huko uwanjani"

Kwenye mikusanyiko ya watu wengi ni hatari sana kujumuika kama mwili wako sio strong,kama mwili wako ni MPESEMPESE bora utulie nyumbani.
 
Polepole anahusika.. Jana alihamasisha wanaccm na wengine kujitokeza kwa wingi kwenda kuuaga mwili wa JPM... Umati niliouona leo kupitia TV 📺..sio ajabu hayo kutokea.
Polepole hahusiki ,hivi MTU umeshafika Hadi uwanjani si tayari umeshaaga? Kwani ni lazima ukaone? Mbona waliosimama mabarabarani wamepunga mikono na wameridhika?. Hii ni shughuli ya kitaifa hivyo wingi WA watu hauepukiki. Wafanye taratibu mbadala.
 
TANZIA
Habari za jioni Mates mwenzetu Mbasa Mtua amepata msiba mkubwa sana kwa kumpoteza mwanae mmoja watoto wa mdogo wake watatu na mtoto wa kaka yake mmoja baada ya kukanyagwa uwanja wa Taifa walipokwenda kumuaga JPM,na hadi sasa hawajui house girl yuko wapi,watoto waliongozana na mke wa mdogo wake,msiba uko kimara nyumbani kwao,tuwaombee wako kwenye wakati mgumu sana,mwenyezi mungu awapumzishe kwa Amani[emoji120]
Watoto walienda kufanya nini?.
 
Ukiangalia Hata wale waliokimbilia Ndege Pale airpot unajiuliza tuko serious kweli???

Unawezaje kuacha kitu kama kile je mtu akiingia pale na Nia ovu na bomu akaweka kwenye ndege??

au Nani ana uhakika wale wote ni watu wanaomboleza wengine sio...Ni Jambo la ajabu sana lile.Management ya Watu hawa imekua mbaya kabisa na hatari zaidi na zaidi.
 
Back
Top Bottom