chief_
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 830
- 1,395
Hawawezi onekana kuguswavifo vya kujitaki. kwani ukikaa nyumbani kwako haionekani umeguswa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawawezi onekana kuguswavifo vya kujitaki. kwani ukikaa nyumbani kwako haionekani umeguswa?
Tena zama hizi za Corona hafu kukiwa na msiba huwa kuna ka uzuni flani misongamano Mara kusukumana mwishowe uzimie ukanywage hapo ni kujilaumu kwa ujinga wako mwenyeweNawashangaa event ya Kwanza kwenda ni siku ya wanawake na sababu ofc ilikuwa inatoa kabahasha Ila sharti ufike. Nilipokunja bahasha yangu nikaondoka saa 6 hakuna hata dalili za Mheshimiwa kuonekana, ndani MC Zembwela alikuwa na kazi ya kutisha watu.Watu watulie majumbani sio kila mahali lazima uende.
Hamasa haikua kubwa, ni Kunenge kasema tu watu wajitokeze. Hii hata asingesema watu wangeenda maana walishabiwa ni siku yao ya kuuaga mwili.Waliohamasisha watu kwenda Uwanjani walikosea
JWTZ huwa hawajui handling ya watu wa kawaida wao wanapenda amri zitekelezwe
Kaweka mfumo wa usiri unaoendelea mpaka sasa kwa hiyo haepuki lawama.So sad!
Hili nalo lawama ni kwa Magufuli au?
Mtu na dera lake kubwa hajala mchana huyo kuzurula kwanini usizimie huko,Mimi siwahurumii wazembe wasio tumia akili mpaka wadaganywe na wanasiasa mara wanyonge sijui madudu gani ona sasa unakufa kizembe hvoTena hiyo Kada wamejaa hatari, hivi MTU Una kwako Kwa nini usitulie unaangalia Kwa luninga?. Nilisema ugumu WA maisha unachangia watu wanaofikiri kuna zali linaweza jitokeza.
Endelea kubishaUnataka kuniamvia wewe na jpm, jpm ndio alikua exposed sana na covid?? Negro please!
Jpm kafa na heart complications by the way...
Nilipoona wanajeshi wanasukuma watu na kuwapiga wakati ni wengi na wamebanana nilitoka kwenye huo mkusanyiko na kwenda jukwaani na kujaribu kuchunguza njia nyingine ya kufika kwenye yale mahema.We umeponaje?
Ok...Endelea kubisha
Sina muda wa mabishano
Yani hii nchi miaka 60 ya uhuru ila ujinga ndo unaongezeka KWA kasi ya 5g licha ya kuwa na shule na vyuo. Hao wazee afya mgogoro na corona si wangetulia tuHivi kuna nchi yenye majuha kama Tanzania dunia hii? Walikuwepo watu wazima wengi na watoto. Ujinga uliopitiliza.
Mueleze Huyo mzee kuwa ukifa huwa mtakatifu .Kaweka mfumo wa usiri unaoendelea mpaka sasa kwa hiyo haepuki lawama.
Lawama za mambo ya kimfumo hqziishi mtu akifa.
Baba ukishindwa kuelimisha wanao, hata ukifa utabaki na lawama tu.
Kifo chako si mwisho wa lawama kwako.
Wanaenda tafuta madanga msibani[emoji1][emoji1787][emoji1483]Mtu na dera lake kubwa hajala mchana huyo kuzurula kwanini usizimie huko,Mimi siwahurumii wazembe wasio tumia akili mpaka wadaganywe na wanasiasa mara wanyonge sijui madudu gani ona sasa unakufa kizembe hvo
Naweza kukuazaa falaOk...
Lala ukue dogo.
au sio mkuu,roho inakufirigita kuona watu wameenda kuaga mpendwa wao.mpaka unafurahi wakifariki.Viherehere vyao, na bado wapo wengi watakaokufa kwa covid 19 kwani walikuwa bado wanaamini msimamo wa kijinga wa marehemu kuwa tz hakuna corona
Wacha wafe maana hawataki kupitwa Cha kusimuliaWanaenda tafuta madanga msibani[emoji1][emoji1787][emoji1483]
Wanatafuta ubuyu msibaniWacha wafe maana hawataki kupitwa Cha kusimulia
Aisee pole sana, sasa kwani ungeahirisha ungepoteza/ungekosa kitu ganiNilipoona wanajeshi wanasukuma watu na kuwapika wakati ni wengi na wamebanana nilitoka kwenye huo mkudanyiko na kwenda jukwaani na kujaribu kuchunguza njia nyingine ya kufika kwenye yale mahema.
Basi wewe ni kubwa jinga....haiwezekani uweze kunizaa alafu akili yako ya darasa la pili...Naweza kukuazaa fala