Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano

Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano

Sawa unaleta dharau na COVID 19

Marehemu pia alilieta madharau

Kama unadhani huwezi kufa kwa covid nenda kajiexpose freely kwenye manyomi yote unayoyajua kwa wiki moja tu inatosha .
BS.
 
Tanzania inakumbwa na tatizo kubwa la ujinga, ujinga umekuwa sifa. Ujinga ndio mtaji wa watawala wa Tanzania.
Ujinga! ujinga! ujinga! utaondoka lini utuachie timamu zetu?
Mbona na wewe ni wale wale
 
Mtu na dera lake kubwa hajala mchana huyo kuzurula kwanini usizimie huko,Mimi siwahurumii wazembe wasio tumia akili mpaka wadaganywe na wanasiasa mara wanyonge sijui madudu gani ona sasa unakufa kizembe hvo
Umeona Dodoma?. Tuombe MUNGU vinginevyo issue ya Mafuta ya Mwamposa itajirudia.
 
Watu 60 ni wengi mno jamani. Tangu mwanzo tulipoona serikali haijui ianze na lipi tulionya lakini watu hawakusikia.
Unaionya unadhani hawajui wanachofanya? Mtaji wao huo, hizo ni point 3 home bado away
 
Hivi kiherehere chao Kwenye mambo hayo yasio na msingi kinakuhusu nini wewe mwerevu ?
Ni binadamu wenzangu. Nikiona binadamu anapoteza maisha kwa jambo linaloweza kuepukika nasikitika sana. How about you? Hapa jirani kuna dada mmoja amefariki na mtoto. Hebu fikiria mtu mzima na akili zake anabeba mtoto kwenda sehemu kama hizo! Huoni anaweza kuwa mjinga kuliko hata wewe?
 
Mleta mada tuwekee vyeti vyao vya vifo tuamini taarifa zako kama vinasomeka wamekufa kwa msongamano.

Si vizuri kutangaza kifo cha mtu bila kuambatanisha death certificate
Sasa adanganye ili iwe Nini, tunaposema Fulani kafa hua tunaambatanisha na death certificate? Ya Maalim Seif uliiona?
Kila sehemu unaleta siasa tu?
 
Polepole anahusika.. Jana alihamasisha wanaccm na wengine kujitokeza kwa wingi kwenda kuuaga mwili wa JPM... Umati niliouona leo kupitia TV 📺..sio ajabu hayo kutokea.
 
Wametangaza serikali ambao ndio hutoa hivyo vyeti vya vifo ndio maana naamini kauli ya serikali

Chadema huwa mnatoa certificatebof death?
Mkuu hilo swali sijakuuliza wewe, au ushalewa?
Me na chadema wapi na wapi?
Mtu akihoji jambo la maana automatically anakuwa chadema sio 😀
 
Back
Top Bottom