Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano

Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano

Mleta mada tuwekee vyeti vyao vya vifo tuamini taarifa zako kama vinasomeka wamekufa kwa msongamano.

Si vizuri kutangaza kifo cha mtu bila kuambatanisha death certificate
Mkuu hoja yako haina mantiki mbele ya werevu, Wapi umeona cheti cha huyu anayeagwa sasa?
 
Viherehere vyao, na bado wapo wengi watakaokufa kwa covid 19 kwani walikuwa bado wanaamini msimamo wa kijinga wa marehemu kuwa tz hakuna corona
Duh, marehemu ameshakufa usimtukane , washauri waliobaki
 
Dunian hapa moja wapo ya kazi ngumu n kuwaongoza watu. Watu wameambiwa wafuate utaratibu lkn hawataki. Kila mtu anataka awe wa kwanza. Na kama serikali ingetoa mwongozo wa kutohudhuria pale pia watu wangelalamika hatari.
 
Day!!
Hatujifunzi Kwa Mafuta ya upako moshi?kwanj Masoja hawajasoma crowd management
 
Watakuwa singo Maza hao.
Hivi hawana wanaume hawa wanawake maana majority wamevaa Madera wanaenda kutafta sifa za kijinga kuzurula na watoto wadogo. I'm sure hapo uhuru wamekufa wengi
 
Kwakweli hiki kinachoendelea sio sawa, hivi ndugu hawana msemo kwenye huu msiba, hawa watu inabidi wampe heshima marehemu.

Mjomba kwa kweli leo wamemchosha, hakuna ubaya watu kutoa salamu zao za mwisho lakini sio kumuweka nje siku nzima kama walivyofanya leo.

Kuna ubaya gani baada ya kutua Dodoma wangemtia kwenye chopa kesho wakamzungusha mitaa michache, wakatoa masaa kadhaa ya kuagwa uwanjani tena watu wapite mbali na jeneza (kuondoa bottleneck) zoezi liwe la haraka sio kama walivyofanya uhuru leo.

Yaani siku nzima wanamzungusha hilo sidhani kama ni sahihi.
 
Hawa ndio wa kuliliwa sasa 😥😢😭😭😭Watoto Masikini Watoto😟😤
 
Mleta mada tuwekee vyeti vyao vya vifo tuamini taarifa zako kama vinasomeka wamekufa kwa msongamano.

Si vizuri kutangaza kifo cha mtu bila kuambatanisha death certificate
Kwaio death certificate inatoka hapo hapo ukishafariki ?
 
Back
Top Bottom