Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Lengo nikuonyesha marehemu alikuwa anapendwa kupita kiasiTulionya mapema tukaonekana haters
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lengo nikuonyesha marehemu alikuwa anapendwa kupita kiasiTulionya mapema tukaonekana haters
Dodoma na kwingineko wasirudie huo ujinga, sio lazima uende. Kaa nyumbani utulie fuatilia kwenye runinga.
Na wewe ulikuwa ktk kamati ya mazishi au?Tulionya mapema tukaonekana haters
Matokeo yake Mkalimani kawapa Wakenya sababu ya kutukebehi na kutudhalilishaLengo nikuonyesha marehemu alikuwa anapendwa kupita kiasi
Unatoa TAARIFA au unauliza swali..?Niko kwetu Mwankenja naangalia kwenye luninga?
ana jitoa akili tu sometimes kuna michango yake mingi tu naisomaga naona ana akili nzuri tu sema anatatizo la kujitoa ufahamu baadhi ya threadsHuyo Ni Yehodayalicious ana mambo ya ma anti sana
Kwahiyo unataka kubisha🤦♀️🤦♀️Mleta mada tuwekee vyeti vyao vya vifo tuamini taarifa zako kama vinasomeka wamekufa kwa msongamano.
Si vizuri kutangaza kifo cha mtu bila kuambatanisha death certificate.
Yale yale ya siri mnaendeleza...Mleta mada tuwekee vyeti vyao vya vifo tuamini taarifa zako kama vinasomeka wamekufa kwa msongamano.
Si vizuri kutangaza kifo cha mtu bila kuambatanisha death certificate.
Zama za Siri zimeshapita sasa ni uwazi na ukweliYale yale ya siri mnaendeleza...
Yani kwa kweli kila mtu ameguswa ila unatakiwa kuangalia aisee, pale kuna kina mama walikua na wtt mgongoni maskini kwa jua lile wtt wanalia tuu wengine wanaangushwa dah so sadIla wazazi wanapaswa kulaumiwa sana kwa ishu kama hizi...jaman mtoto wa 10yrs unaendaje naye sehem za misiba au mnaendaje wote familia ya watu wa5 wote?mie nimeumia ila nisingeeda kuaga maana wanyonge wamejazana balaa..aku..polen familia