Habari mimi ni mgeni humu

Habari mimi ni mgeni humu

Habari zenu wapendwa, mimi ni mgeni humu Jf na ni furaha kubwa kujiunga humu na nyie waungwana nina imani tutashirikiana, shauriana, wasiliana na kuelemishana kwa pamoja waungwana
Awali ulitumia Id ipi mkuu!
 
Karibu mkuu .

Je? Unazungumziaje swala la Daudi Bashite.
Na unalifahamu kiasi gani naomba tuanzie hapo mgeni wetu
 
Karibu mkuu .

Je? Unazungumziaje swala la Daudi Bashite.
Na unalifahamu kiasi gani naomba tuanzie hapo mgeni wetu
BigBaba utaniwia radhi kwa kweli cjui llt kuhusu mtu huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Karibu mkuu .

Je? Unazungumziaje swala la Daudi Bashite.
Na unalifahamu kiasi gani naomba tuanzie hapo mgeni wetu
Hahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aaaaaaah BigBaba dooóooh utaniuaaa
 
Back
Top Bottom