Awali ulitumia Id ipi mkuu!Habari zenu wapendwa, mimi ni mgeni humu Jf na ni furaha kubwa kujiunga humu na nyie waungwana nina imani tutashirikiana, shauriana, wasiliana na kuelemishana kwa pamoja waungwana
kuhusu ilo ondoa shakaTupiamo kapicha basi
cjakuelew bdo bwn QUIGLEY ningeomba unipe ufafanuzi zaid!!?Awali ulitumia Id ipi mkuu!
Haya nawait silali hadi utume[emoji85]kuhusu ilo ondoa shaka
nashukur sn bwn AntonioKaribu sana
hahahaha ukhuty bnHaya nawait silali hadi utume[emoji85]
Haha mgeni nmeghafirika kidogo unatumia ya uhai au udzungwaInna hta maji ya kunywa hkunipatia umeuliz kuhus zawad
Nitatumia yaliyopo kwny mtungi InnaHaha mgeni nmeghafirika kidogo unatumia ya uhai au udzungwa
Usijalihahahaha yap nashukuru kw ukarim wko ukhuty nmekula
Napata tabu kdgo kwny suala ku-updat picha ukhuty km nilivyosema awali me ni mgeni humuNaisubiria mim
Awamu hii ni marufuku kumuuliza mtu kwamba amekula wakati hajafanya kaziUmekula ulipotoka
Haya subir hapo hapo nakuleteaNitatumia yaliyopo kwny mtungi Inna
Aaaaa haya usijal utajua tuNapata tabu kdgo kwny suala ku-updat picha ukhuty km nilivyosema awali me ni mgeni humu
BigBaba utaniwia radhi kwa kweli cjui llt kuhusu mtu huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Karibu mkuu .
Je? Unazungumziaje swala la Daudi Bashite.
Na unalifahamu kiasi gani naomba tuanzie hapo mgeni wetu
[emoji38] [emoji38] [emoji38]Awamu hii ni marufuku kumuuliza mtu kwamba amekula wakati hajafanya kazi
Hahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Karibu mkuu .
Je? Unazungumziaje swala la Daudi Bashite.
Na unalifahamu kiasi gani naomba tuanzie hapo mgeni wetu
hahahahaAwamu hii ni marufuku kumuuliza mtu kwamba amekula wakati hajafanya kazi
nitashukuru snHaya subir hapo hapo nakuletea