Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko wapi mkuu?Eti naulizia, chumvi ni shingapi huko kwenu imepanda kwa shingi 50.
Tena hatununui chumvi ya Tanzania 🐼Naona umekuja na Mbwembwe nyingi sana Mkuu, humu wote ni matajiri hawanunui chumvi kwa Mangi.
To yeye hivi yule Chapati Tatu yuko wapi vile 🤣🤣🤣
Siasa ina athari kubwa kwenye mfumo wa maisha ya mtu wa kawaida katika maisha ya kila siku kwa njia mbalimbali, ikiwemo:Eti naulizia, chumvi ni shingapi huko kwenu imepanda kwa shingi 50.
Inatakiwa pia alipie ili nimkonect awe analipwa kwa post, Ani PM nimpe lipa namba.subiri kabla ya kukujibu kuhus bei ya chumvi ushalipia hela ya kiingilio?
na ajue asipolipia unamfungia akaunti yakeInatakiwa pia alipie ili nimkonect awe analipwa kwa post, Ani PM nimpe lipa namba.
Nampa dakika10. 😆na ajue asipolipia unamfungia akaunti yake
kapotea njia sjui kaelekea chimbo ganiNampa dakika10. 😆
Huyu ni member mzoefu.kapotea njia sjui kaelekea chimbo gani
naijua hiyoooHuyu ni member mzoefu.
Anaonekana tu.
Eti naulizia, chumvi ni shingapi huko kwenu imepanda kwa shingi 50.
Jinsia yako kwanza.Eti naulizia, chumvi ni shingapi huko kwenu imepanda kwa shingi 50.
Naona umekuja na Mbwembwe nyingi sana Mkuu, humu wote ni matajiri hawanunui chumvi kwa Mangi.
To yeye hivi yule Chapati Tatu yuko wapi vile