TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Amani kwako mdau.
Viongozi wa madhehebu mmekaa kimya kama waumini/ kondoo wa mazizi yenu wamekamilika.
Hali siyo nzuri, mnapaswa kupiga mwangwi kupitia madhabau, hii hali ya utekaji inayoota mizizi nchini kisa tu mwananchi anaongea/ kuandika kuhusu serikali.
Mtume Issa bin Mariam, Yesu Kristo hakutaka kumpoteza hata mmoja, sasa leo mmekuwa wapole na wanyenyekevu huku mnaona hali hairidhishi.
Sheikh, Mufti, Kasisi, Mchungaji, Baba Askofu na nyie mnajiita eti manabii, nini jukumu lenu hapa duniani?
Wakati nyie mnatuhubilia kwamba siku ya mwisho tutahukumiwa kwa kutenda maovu, nanyi mjiandae na moto wa milele kwa kuwaacha kondoo wa mazizi yenu wakiuliwa na kuchinjwa pasipo kupiga mwangwi.
Viongozi wa madhehebu mmekaa kimya kama waumini/ kondoo wa mazizi yenu wamekamilika.
Hali siyo nzuri, mnapaswa kupiga mwangwi kupitia madhabau, hii hali ya utekaji inayoota mizizi nchini kisa tu mwananchi anaongea/ kuandika kuhusu serikali.
Mtume Issa bin Mariam, Yesu Kristo hakutaka kumpoteza hata mmoja, sasa leo mmekuwa wapole na wanyenyekevu huku mnaona hali hairidhishi.
Sheikh, Mufti, Kasisi, Mchungaji, Baba Askofu na nyie mnajiita eti manabii, nini jukumu lenu hapa duniani?
Wakati nyie mnatuhubilia kwamba siku ya mwisho tutahukumiwa kwa kutenda maovu, nanyi mjiandae na moto wa milele kwa kuwaacha kondoo wa mazizi yenu wakiuliwa na kuchinjwa pasipo kupiga mwangwi.