johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katibu mkuu wa CHADEMA mh Mnyika amesema Chama chake kimeamua Kufanya Uwekezaji mkubwa kwenye Shamba lake la Kibaha
Uwekezaji huo utahusisha Miradi mbalimbali ya Huduma na Uzalishaji
Aidha Chuo Kikuu Cha Bavicha kitajengwa shambani hapo
Source: Clouds TV
Uwekezaji huo utahusisha Miradi mbalimbali ya Huduma na Uzalishaji
Aidha Chuo Kikuu Cha Bavicha kitajengwa shambani hapo
Source: Clouds TV