Habari njema kwa nchi, gesi nyingine ya Helium yagunduliwa Bonde la Ziwa Nyasa. Tanzania kuwa muuzaji kinara Duniani

Habari njema kwa nchi, gesi nyingine ya Helium yagunduliwa Bonde la Ziwa Nyasa. Tanzania kuwa muuzaji kinara Duniani

Ww km ndo kiongozi wa familia wana hasara .Kwa hiyo mgunduzi na tech yake ndo afaidi kuliko mwenye mali ...ndo maana unashangilia chama cha machizi maana huna akili.
Wewe unadhani Nani atafaidika? Ulikuwa unajua kwamba Kuna Mali? Si ulikuwa unazungusha matako yako tuu Kama boya?
 
Inawezekana CCM wananufaika lakini suala la msingi ni kwamba Tanzania ikichimba Helium unaua viwanda vyote vya kutenegeneza Helium duniani, na USA ndio supplier mkubwa kwa sasa. Kwa maneno mengine, Helium ya anzania itakuwa bei rahisi sana kuliko soko la dunia la sasa

Sasa ikiwa Tanzania itapewa ofa ya pesa ili isichimbe Helium kwa sasa, hilo haliwezwi kuwekwa peupe
Okay Sasa Kama ndio hivyo kwa Nini hizo kampuni za US badala ya kutoa hongo washike na migodi ya Tanzania ili waendelee ku regulate Bei ya soko na sie Kama Nchi kupata chetu kuliko kuhonga watawala..

Je makampuni yanayofanywa exploration nayo yatakubali hongo na wakati yameinvest Pesa zao hapo?

Hii unaweza kuwa kashfa nzuri tuu mbona.
 
Habari wadau,

Habari njema kwa Tanzania ni kwamba, imefanikiwa kugundua Gas nyingine ya Helium Kaskazini ya Bonde la Ziwa Nyasa eneo la Matema wilaya ya Kyela mkoani Mbeya...
Inakatisha tamaa pamoja na kwamba ni habari nzuri kwani Tanzania hatuonekani kufaidika na rasilimali hizi kama gesi kule Mtwara, Chuma, dhahabu, almasi, makaa ya mawe Liganga, graphite nk.
 
Ukiangalia kwa mtizamo huoninakosea kwa sababu Hakuna sheria inayolazimisha sehemu ya faida kubakia maeneo hayo ukiacha csr ambayo Ni kiduchu Sana...
Hii ni point ya maana. Lets say 60% iende mfuko mkuu, 40% iboreshe uchumi wa eneo husika na maeneo yanayozunguka. Hii itasaidia uchumi kutawanyika na sio kubaki dsm.
 
Inakatisha tamaa pamoja na kwamba ni habari nzuri kwani Tanzania hatuonekani kufaidika na rasilimali hizi kama gesi kule Mtwara, Chuma, dhahabu, almasi, makaa ya mawe Liganga, graphite nk.
Haya mafanikio yangeonekana iwapo tusingejikita kuijenga dar tu.
 
Ujinga upi? Tunanufaika kwa umeme na mradi wa LPG unakuja Til.80 zitaingia kwenye Uchumi wetu.
Unanufaika na nini?Hizi rasilimali zote tulizonazo hata uwezo wa kusambaza maji safi Serikali haina hiyo Heliam itaongeza nini?Labda kama upo kwenye chain ya walamba asali ndio shangilieni mmepata chaka lingine Nyuki nyie
 
Unanufaika na nini?Hizi rasilimali zote tulizonazo hata uwezo wa kusambaza maji safi Serikali haina hiyo Heliam itaongeza nini?Labda kama upo kwenye chain ya walamba asali ndio shangilieni mmepata chaka lingine Nyuki nyie
Kuwa na rasilimali bila kuzitumia ni bure tuu Sasa subiria zivunwe ndio zilete hayo maji,maji huletwa na Pesa sio porojo
 
Okay Sasa Kama ndio hivyo kwa Nini hizo kampuni za US badala ya kutoa hongo washike na migodi ya Tanzania ili waendelee ku regulate Bei ya soko na sie Kama Nchi kupata chetu kuliko kuhonga watawala..

Je makampuni yanayofanywa exploration nayo yatakubali hongo na wakati yameinvest Pesa zao hapo?

Hii unaweza kuwa kashfa nzuri tuu mbona.
Kwa sababu huwezi kujua nani atakuwa raisi wa Tanzania mwaka kesho, na atakuwa na msimamo gani.

Na pia wanaogopa kutoa kitu ambacho itaonekana wazi ni rushwa. Kumbuka hizi ni listed companies, na skendo yeyote kuwahusu inaweza kushusha thamani ya hisa zao wakafilisika. Na pia katika Corporate laws za nchi zao, kutoa rushwa hata nje ya nchi zao ni hatari sana, ukifahamika ni jela tu.

Ni rahisi zaidi kufanya jambo ambalo una uhakika litachelewesha uchimbaji wa Helium kwa angalau miaka 15 ijayo, hata kama akija rais mwenye msimamo mkali.
 
Tanzania ipi kuwa kinara Mkuu hao wakigundua gesi wao wanaongeza Tozo na kuiba vifurushi kwa Wananchi hizo mambo sio za Watanzania ingawaje vipo kwenye ardhi ya Tanzania...
 
WAla
Habari wadau,

Habari njema kwa Tanzania ni kwamba, imefanikiwa kugundua Gas nyingine ya Helium Kaskazini ya Bonde la Ziwa Nyasa eneo la Matema wilaya ya Kyela mkoani Mbeya.

Kwa mujibu wa taarifa zilizochapishwa na jarida la The Business Wiz likinukuu kampuni ya Helium One iliyokuwa inafanya Utafiti kwa kushirikiana na Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam; zinaonyesha kwamba sampuli zimebainisha uwepo wa gas nyingi ya Helium inayoweza kuzalishwa kibiashara.

Ikumbukwe pia Kampuni ya Helium One ya Australia inamiliki vitalu vya gas ya Helium Kaskazini mwa Bonde la Ziwa Nyasa Mkoa wa Rukwa/Songwe ambapo inaendelea na mchakato wa kuanza kuzalisha kibiashara.

Taarifa rasmi za ugunduzi huu zitachapishwa mwaka ujao baada ya kukirihisha na kiwango cha deposits.

Ugunduzi huu utaifanya Tanzania kuwa mzalishaji na muuzaji kinara Duniani wa Gas ya Helium, hivyo kuingiza pato la taifa na kuimarisha mapato ya nchi.

My Take
Serikali ijipange zaidi kuehiriki kwenye sekta hii ili nchi ipate tunachostahili badala ya kushangilia halafu wanafaidi Wazungu.

========

The ASX’s newest Helium-focused entrant, Noble Helium (ASX:NHE), has confirmed early-stage evidence supporting possible commercial-scale helium deposits underground at the company’s second most developed project, the North Nyasa play.

That early-stage evidence comes in the form of a soil gas survey analysis which has turned over data showing anomalies coincident with helium gas accumulation.

In short, first-pass interpretation of the numbers shows helium concentrations at 40% above normal background levels (7.8ppm).

“This additional helium can only be explained as the result of micro-seepage from underground,” the company states.

Data is being processed at the University of Dar es Salaam; the former capital of Tanzania and home to the country’s financial district.

Crucial context: the 2022 US helium shortage

Two unplanned plant shutdowns earlier this year at a facility in the US, and another in Russia respectively, kicked off a US helium shortage that is echoing into global markets.

While helium can be synthesised, it is most often mined—and that is why a number of Australian companies are searching for the gas.

Noble is not alone on the ASX, as far as helium plays go. Grand Gulf Energy (ASX:GGE), located in Utah, are also seeking to produce helium for sale into the US markets as companies scramble to extract more of the gas from the ground.

Blue Star Helium (ASX:BNL) is also located in the US; Renergen (ASX:RLT) also searches for helium.
The helium shortage is impacting everything from weather balloons to the manufacture and operation of MRI machines, where helium is needed to keep magnets cool.

Some market research firms predict the value of the global helium market to reach US$6.6bn by 2028; a CAGR of 5% from US$4.7bn in 2021. A shortage is predicted to continue defining market dynamics.

Prospective resource inbound

While data has not been fully processed yet, once the whole kitchen sink of results are in, the company will get to work amalgamating soil gas survey results with existing 2D seismic and airborne data to begin forming a prospective resource estimate.

Noble Helium expects its maiden estimate for the North Nyasa project to be published in 2023, but, does not provide guidance on when delivery can be expected.

“The preliminary data is highly encouraging, demonstrating elevated helium concentrations and only trace CO2 and methane concentrations,” Noble chief Justyn Wood said.

Methane, for all intents and purposes, is synonymous with natural gas, meaning that there’s also strong evidence Noble hasn’t accidentally discovered the wrong kind of gas deposit.

“The North Nyasa project has a very similar setting to [our other project] North Rukwa, which as we have seen is highly prospective for helium,” Wood added.

The company’s chief also cited good working relationships with local stakeholders.

Two projects at once

Noble’s North Nyasa project sits second in the race to production behind the company’s flagship project, North Rukwa.

Worth noting is Noble highlights early-stage results at North Nyasa echo those early stage results pulled from Rukwa.

Both projects are located in Tanzania; for the uninitiated, a country in east Africa.
The North Nyasa project tenements are located near a small town called Matema on the edges of Lake Nyasa, nearby the Malawian border to the southwest.
A look at Noble Helium's six month charts. Between November 23 and 25, over 4 million shares were bought 's six month charts. Between November 23 and 25, over 4 million shares were bought

A look at Noble Helium's six month charts. Between November 23 and 25, over 4 million shares were bought


Marketindex
Hakuna cha njema kwa wananchi

Zaidi ya matesoo kwa wananchi

Utasikia mda si mrefu wanaoishi hapo anatakiwa wahame hata bila kulipa fidia.

Ooo waliopo hapo ni wavamizii subiri kidogo tuuu.
 
Hallelujah!
Mwenye Enzi Mungu ni mwema na mwaminifu sana kwetu walahi![emoji2972]
 
Back
Top Bottom