kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,742
Kuanzia sasa, Serikali yetu, Awamu ya Sita, imeamua kununua mafuta moja kwa moja kutoka nchi marafiki.
No mtu kati tena!
No mtu kati tena!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani zamani ilikuwaje, mbona huu ni utaratibu wa kitambo sana au hujawahi kusikia bulk procurement we mleta sledi
Unataka upige tenzi au misale ya waumini!?Maandalizi ya pambio hapo [emoji16][emoji16]
Ni kwamba Mtu kama Dubai, Iran, Kuwait, nk, wanajenga vituo vyao vikubwa sana hapa Tanzania. Hivyo Serikali hizo zinaleata mafuta hayo moja kwa moja hapa.Kwahiyo Haya Mabeberu Oilcom, PUMA, Na Mengine Yatafanyaje
Fafanua Ueleweke Siyo Rahisi Thread Yako Kueleweka Kwa Sisi
Watu Wa Madrasa
Kwahiyo serikali inaanza kufaya biashara,Kuanzia sasa, Serikali yetu, Awamu ya Sita, imeamua kununua mafuta moja kwa moja kutoka Nchi marafiki.
No mtu kati tena!
Unataka upige tenzi au misale ya waumini!??
Kuanzia sasa, Serikali yetu, Awamu ya Sita, imeamua kununua mafuta moja kwa moja kutoka Nchi marafiki.
No mtu kati tena!
SSawa SawaNi kwamba Mtu kama Dubai, Iran, Kuwait, nk, wanajenga vituo vyao vikubwa sana hapa Tanzania. Hivyo Serikali hizo zinaleata mafuta hayo moja kwa moja hapa.
Sasa ndio unanunua kama unavyonunua OilCom.
Ni kwamba Mtu kama Dubai, Iran, Kuwait, nk, wanajenga vituo vyao vikubwa sana hapa Tanzania. Hivyo Serikali hizo zinaleata mafuta hayo moja kwa moja hapa.
Sasa ndio unanunua kama unavyonunua OilCom.
Mafuta yasafishwe nchini itaongeza ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi. Mwl. hakuwa mjinga kuanzisha TIPER mafisadi ndani ya chama wakaja kuuwa kile kiwanda. Mh. Samia tufute machozi; rudisha TIPER ni ajira za kutosha hizo.Kuanzia sasa, Serikali yetu, Awamu ya Sita, imeamua kununua mafuta moja kwa moja kutoka Nchi marafiki.
No mtu kati tena!
Inamaana Dubai, Kuwait na wengine kunaushindani/shida wa kutafuta wateja wa mafuta mpka wao waje wajenge vituo vyao hapa kwetu?Ni kwamba Mtu kama Dubai, Iran, Kuwait, nk, wanajenga vituo vyao vikubwa sana hapa Tanzania. Hivyo Serikali hizo zinaleata mafuta hayo moja kwa moja hapa.
Sasa ndio unanunua kama unavyonunua OilCom.
Sawa mzeeKuanzia sasa, Serikali yetu, Awamu ya Sita, imeamua kununua mafuta moja kwa moja kutoka Nchi marafiki.
No mtu kati tena!
Nchi rafiki!! Kwani chonjo za Covid unanunua?Inamaana Dubai, Kuwait na wengine kunaushindani/shida wa kutafuta wateja wa mafuta mpka wao waje wajenge vituo vyao hapa kwetu?
Hii itakuwa sio kwa Tanzania pekee. Nchi zote za Afrika Mashariki na kati!! Wanajenga Depot kubwa sana, hivyo itakuwa ni kama visima!!Tpdc anauza mafuta kila siku wewe umejua leo?
Gpsa anauza mafuta kila siku na wananunua watu wa bulk procurement wewe umejua leo?
Shida ya bei ya mafuta ni tozo, tozo ziko nyingi sana.