Hatimaye watafiti wetu wa tiba mbadala wameanza kupata matokeo chanya katika kuwatibu wagonjwa wa Korona.
Kumbe walikuwa katika utafiti kwa muda mrefu tu wakitafiti dawa ya HIV. Na sasa lilipokuja hili la korona wamefanya maboresho wanayoyajua wao. Hatimaye matokeo mazuri yamepatikana.
Pengine sio wao tu, wote tumesikia yule mbunge wa Lushoto akieleza pia kuhusu dawa yake, pia yule profesa wa NIMRI naye bila shaka itakuwa ni independent project yake (Labda).
Jambo la msingi ni kuwa, yawezekana siku chache zijazo mataifa ya dunia watakuja Tanzania kupata dawa ya korona ambayo matokeo yake ni ndani ya masaa tu kadhaa mtu amepona.
Nisiseme maneno mengi, soma mwenyewe.
Credit: Michuzi Blog.
Dawa ya Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) yatoa mwanga wa matumaini kwa wagonjwa wa corona
Kumbe walikuwa katika utafiti kwa muda mrefu tu wakitafiti dawa ya HIV. Na sasa lilipokuja hili la korona wamefanya maboresho wanayoyajua wao. Hatimaye matokeo mazuri yamepatikana.
Pengine sio wao tu, wote tumesikia yule mbunge wa Lushoto akieleza pia kuhusu dawa yake, pia yule profesa wa NIMRI naye bila shaka itakuwa ni independent project yake (Labda).
Jambo la msingi ni kuwa, yawezekana siku chache zijazo mataifa ya dunia watakuja Tanzania kupata dawa ya korona ambayo matokeo yake ni ndani ya masaa tu kadhaa mtu amepona.
Nisiseme maneno mengi, soma mwenyewe.
Credit: Michuzi Blog.
Dawa ya Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) yatoa mwanga wa matumaini kwa wagonjwa wa corona