- Thread starter
- #21
Naona sasa hivi nchi za Afrika zinaanza kulazimika kuwekeza katika sayansi, tafiti na technologia. Mungu zidisha majanga kama haya ili tuamke zaidi!
Imagine walikuwa wanafanya utafiti muda mrefu. Yawezekana hata fund hawakuwa nayo.
Lakini baada ya serikali kuwapa changamoto kidogo haya ndiyo matokeo yake.
Kuna muda huwa nasema Tanzania ni miongoni mwa nchi nzuri sana duniani iliyobarikiwa na kila kitu, sijuiutunakwamaga wapi.