Naona sasa hivi nchi za Afrika zinaanza kulazimika kuwekeza katika sayansi, tafiti na technologia. Mungu zidisha majanga kama haya ili tuamke zaidi!
Kabisa......corona ni facts, siyo sehemu ya kutafuta kiki za kiwango cha akina gigymone. Ni maji marefu; dunia ya kwanza inatumia detailed science lkn bilabila leo lijitu litokee kwa mtogole/ilala boma huko ati sijui mchanganyiko gani unaponya virus? No. Not that extent. Mtupe breake sasa!
Dunia ni nini na Kwamtogole ni wapi? Detailed science inatumia malighafi gani? Ninadhani tunahitaji la mindset transformation.
Kuna watanzania wana mawazo ya kipumbavu sana. Yaani dawa au tiba lishe kugunduliwa Tanzania kwao ni shida sana sana sana.
Sijui tatizo ni nini.
Na hiyo pia nimesoma lakini haiko kisayansi kabisa.Ukisoma hadi mwisho wanasema watu wanapona na mahitaji yameongezeka.
Professor wa aquatic science now to Corona! Dunia inaenda kasi sana.
Aliekuelewa amekuelewa asietaka mwacheNami pia nimesema ni tiba lishe. Ila pia yawezekana hujasoma yote na uliamua kutafuta 'makosa' tu.
Ukisoma hadi mwisho wanasema watu wanapona na mahitaji yameongezeka.
Mwenye kuelewa aelewe na anayebisha abishe.
Wagonjwa wapi si wameshapona wote ?Hatimaye watafiti wetu wa tiba mbadala wameanza kupata matokeo chanya katika kuwatibu wagonjwa wa Korona.
Kumbe walikuwa katika utafiti kwa muda mrefu tu wakitafiti dawa ya HIV. Na sasa lilipokuja hili la korona wamefanya maboresho wanayoyajua wao. Hatimaye matokeo mazuri yamepatikana.
Pengine sio wao tu, wote tumesikia yule mbunge wa Lushoto akieleza pia kuhusu dawa yake, pia yule profesa wa NIMRI naye bila shaka itakuwa ni independent project yake (Labda).
Jambo la msingi ni kuwa, yawezekana siku chache zijazo mataifa ya dunia watakuja Tanzania kupata dawa ya korona ambayo matokeo yake ni ndani ya masaa tu kadhaa mtu amepona.
Nisiseme maneno mengi, soma mwenyewe.
Credit: Michuzi Blog.
Dawa ya Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) yatoa mwanga wa matumaini kwa wagonjwa wa corona