njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Mkuu weka basi na ushahidi hii habari ilipotokea?Sporting lisbon ya ureno imetenga usd millions 10 kumnunua fei toto mwezi wa january
Hiyo itakuwa ofa ya pili kwa yanga kuingiza mabilions baada ya kumuuza clement mziza kinako club ya marseille ya france
Fei toto atavunja rekodi ya mchezaji ghali kuuzwa toka ligi ya afrika
Na huyo dogo hakuuzwa ila ukimsikia yule mkurugenzi wao mkongo ambaye aliwahi kuwa kocha ni kuwa kuna makubaliano akapate fursa ya kwenda kuendeleza kipaji chake na kama itatokea fursa zaidi ndipo yanga wata nufaika na waoMkuu weka basi na ushahidi hii habari ilipotokea?
Maana clement mziza anaonekana bado yupo
Pigo kwako? Yani huna roho mbaya... hutaki kufurahia maendeleo ya mchezaji kwanza, ubinafsi mwingi... nyie ndio viongozi mnao katisha ndoto za wachezaji kwa tamaa zenuKama ni kweli hili linaendakuwa pigo kwetu wananchi
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
$10m..nakataaHii habari n ya ukweli kabisa. Hakika fei Toto anaenda kuiheshimisha Africa
Umeamua kukosa akili makusudiSporting Lisbon ya Ureno imetenga USD millioni 10 kumnunua Fei Toto mwezi wa Januari. Hiyo itakuwa ofa ya pili kwa Yanga kuingiza mabilioni baada ya kumuuza Clement Mziza kinako clubu ya Marseille ya France.
Fei Toto atavunja rekodi ya mchezaji ghali kuuzwa kutoka Ligi ya Afrika.
Huku kwetu charambe Kuna mtaa unaitwa Ureno nafikir unazungumzia hiyo mkuu.Sporting Lisbon ya Ureno imetenga USD millioni 10 kumnunua Fei Toto mwezi wa Januari. Hiyo itakuwa ofa ya pili kwa Yanga kuingiza mabilioni baada ya kumuuza Clement Mziza kinako clubu ya Marseille ya France.
Fei Toto atavunja rekodi ya mchezaji ghali kuuzwa kutoka Ligi ya Afrika.
Post za huyu jamaa hua ni ujinga ujinga tuYanga unaichukulia bilioni 23 Kama mzaha eee, Kwa taarifa yako hizo ni Dola milioni 10. Sasa nikuambie tu sporting Lisbon hawezi kutoa pesa hiyo kutoka Kwa mchezaji wa ligi yetu. Acheni utoto asee hiyo pesa siyo ya kuitajataja Kwa wachezaji wa Utopolo.
dunia inaenda kusimama!~Sporting Lisbon ya Ureno imetenga USD millioni 10 kumnunua Fei Toto mwezi wa Januari. Hiyo itakuwa ofa ya pili kwa Yanga kuingiza mabilioni baada ya kumuuza Clement Mziza kinako clubu ya Marseille ya France.
Fei Toto atavunja rekodi ya mchezaji ghali kuuzwa kutoka Ligi ya Afrika.