Habari ya Eng. Matarra iwe funzo kwa vijana wengine wa upinzani wanaodhani CHADEMA itasimama nao wakipatwa na matatizo

Habari ya Eng. Matarra iwe funzo kwa vijana wengine wa upinzani wanaodhani CHADEMA itasimama nao wakipatwa na matatizo

“”””Kweli CCM na selikali yake inatesa Watanzania wengi sana. Mkoloni MWEUSI amekuwa mbaya kuliko MKOLONI MWEUPE.....!!“””” copied
 
Eng. Japhet Matarra ni kada kindakindaki wa CHADEMA ambaye kwa sasa yuko gerezani Karanga Moshi kwa zaidi ya mwaka mmoja baada ya kuhukumiwa kwa kufanya makosa ya mtandaoni. Ilikuwa aende jela au alipe faini ya Tsh 7m ila kwa bahati mbaya huyu kijana hakuwa na hizo pesa ikambidi aende jela. Ninapoandika uzi huu ndo wanaharakati wa kisiasa huko X wanachangishana Tsh 7m ili kulipa faini na kumtoa kijana jela.

Kupitia post ya Twaha Mwaipaya, kijana Matara amedai kwa mwaka mzima aliokuwa gerezani hakuna mtu aliyewahi kumtembelea wakiwemo wanaCHADEMA wenzake. Nimeshangaa pia hata mkewe hakwenda baada ya kusoma bio yake inayoonyesha kuwa Matara alishaoa kabla ya kwenda jela.

Suala la CHADEMA kumpuuzia mwanachama wake aliyehitaji Tsh 7m tu linafikirisha sana. Kama wanaweza kuhamasishana kuchanga ili kununua gari la kifahari la Lissu inakuwaje wanashindwa kumkumbuka kijana wao anayesota gerezani hadi wanaharakati wa X wajitokeze?

CHADEMA ijitathmini. Pia liwe fundisho kwa vijana wengine wanaofikiri CHADEMA itawasaidia wakati wa shida.

View attachment 3030483
View attachment 3030484
Chadema itakusaidia kwenye jambo linalohusu shughuri za chama, huo ndio utawala bora utawala wa sheria, CCM inatetea wavuta bangi na wacheza karatatatu.
 
Acha upotoshaji wewe Netanyahu wa Malinyi. CHADEMA walimtelekeza. Wanaomtoa ni marafiki zake wa mtandaoni ila CHADEMA wanachofanya ni kudandia agenda isiyowahusu.

..Ccm kwanini hamkumchagia atoke? Au kwanini hamkumtembelea?
 
Collegemate George sanga ,.ambae alikuwa diwani Kata ya ramadhani njombe Kwa ticket ya chadema hadi Leo yupo gerezani tangia 2021 had Leo..sidhan kama Kuna kiongoz wa chadema alienda kumuona ...
 
Eng. Japhet Matarra ni kada kindakindaki wa CHADEMA ambaye kwa sasa yuko gerezani Karanga Moshi kwa zaidi ya mwaka mmoja baada ya kuhukumiwa kwa kufanya makosa ya mtandaoni. Ilikuwa aende jela au alipe faini ya Tsh 7m ila kwa bahati mbaya huyu kijana hakuwa na hizo pesa ikambidi aende jela. Ninapoandika uzi huu ndo wanaharakati wa kisiasa huko X wanachangishana Tsh 7m ili kulipa faini na kumtoa kijana jela.

Kupitia post ya Twaha Mwaipaya, kijana Matara amedai kwa mwaka mzima aliokuwa gerezani hakuna mtu aliyewahi kumtembelea wakiwemo wanaCHADEMA wenzake. Nimeshangaa pia hata mkewe hakwenda baada ya kusoma bio yake inayoonyesha kuwa Matara alishaoa kabla ya kwenda jela.

Suala la CHADEMA kumpuuzia mwanachama wake aliyehitaji Tsh 7m tu linafikirisha sana. Kama wanaweza kuhamasishana kuchanga ili kununua gari la kifahari la Lissu inakuwaje wanashindwa kumkumbuka kijana wao anayesota gerezani hadi wanaharakati wa X wajitokeze?

CHADEMA ijitathmini. Pia liwe fundisho kwa vijana wengine wanaofikiri CHADEMA itawasaidia wakati wa shida.

View attachment 3030483
View attachment 3030484
Duh, nimeumia sana. The guy i used to interact nae nikiwa twitter kabla sijafunga account yangu. Mungu amsaidie sana na vijana tuachane na siasa bhn, zitatumaliza.
 
Back
Top Bottom