Habari ya Eng. Matarra iwe funzo kwa vijana wengine wa upinzani wanaodhani CHADEMA itasimama nao wakipatwa na matatizo

Habari ya Eng. Matarra iwe funzo kwa vijana wengine wa upinzani wanaodhani CHADEMA itasimama nao wakipatwa na matatizo

Anaitwa Eng Mattara sijui ni Engineer kweli au ni parody name??

Sielewi kabisa mtu mwenye hadhi ya kuitwa Engineer ina maana ana shahada ya kwanza (Bsc) na kuendelea. Kama ni mhandisi kweli kwa nini alijikita kuandika habari za majungu zisizo ma ushahidi na instead ya kujishughulisha na sekta ya ujenzi au ufundi?

Elimu yetu ina kasoro kama hakuona fursa huko
Binadamu sisi wote sio wakamilifu, tumsaidie mwenzetu atoke akasaidie familia yake. Naamini kajifunza
 
Upulusi
 

Attachments

  • 20240621_015551.jpg
    20240621_015551.jpg
    106.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom