Habari ya Eng. Matarra iwe funzo kwa vijana wengine wa upinzani wanaodhani CHADEMA itasimama nao wakipatwa na matatizo

“”””Kweli CCM na selikali yake inatesa Watanzania wengi sana. Mkoloni MWEUSI amekuwa mbaya kuliko MKOLONI MWEUPE.....!!“””” copied
 
Chadema itakusaidia kwenye jambo linalohusu shughuri za chama, huo ndio utawala bora utawala wa sheria, CCM inatetea wavuta bangi na wacheza karatatatu.
 
Acha upotoshaji wewe Netanyahu wa Malinyi. CHADEMA walimtelekeza. Wanaomtoa ni marafiki zake wa mtandaoni ila CHADEMA wanachofanya ni kudandia agenda isiyowahusu.

..Ccm kwanini hamkumchagia atoke? Au kwanini hamkumtembelea?
 
Acha upotoshaji wewe Netanyahu wa Malinyi. CHADEMA walimtelekeza. Wanaomtoa ni marafiki zake wa mtandaoni ila CHADEMA wanachofanya ni kudandia agenda isiyowahusu.
Twaha Mwaipaya ni chama gani?
 
Acha upotoshaji wewe Netanyahu wa Malinyi. CHADEMA walimtelekeza. Wanaomtoa ni marafiki zake wa mtandaoni ila CHADEMA wanachofanya ni kudandia agenda isiyowahusu.
Twaha Mwaipaya ni chama gani
 
Collegemate George sanga ,.ambae alikuwa diwani Kata ya ramadhani njombe Kwa ticket ya chadema hadi Leo yupo gerezani tangia 2021 had Leo..sidhan kama Kuna kiongoz wa chadema alienda kumuona ...
 
Duh, nimeumia sana. The guy i used to interact nae nikiwa twitter kabla sijafunga account yangu. Mungu amsaidie sana na vijana tuachane na siasa bhn, zitatumaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…