Kwa hiyo watauza hisa zao kwenye mabenki ya kibiashara ili waanzishe hiyo TCB, waache kuturudisha kule kule kwenye business as usual kulikofanya mashirika ya umma aliyoanzisha Nyerere kutojiendesha kwa faida na kutegemea ruzuku serikalini.....yaani kulijaa mchwa humo!