Tetesi: Habari ya kuanzishwa Tanzania Commercial Bank ina ukweli? Na iwapo ni ya kweli, nini zitakuwa faida na hasara zake kwa benki za biashara nchini?

Tija kwenye bank ni ipi?! Na tija hiyo ni kwa wananchi au kwa serikali?!
Mimi sio mtaalam wa banking system, hila naelewa kwa uchache kwa both serikali na mwananchi kwa mfano mimi kama mwananchi nahitaji huduma bora, mikopo nafuu riba, usalam wa pesa yangu . Upande wa serikali wanahitaji stability ya banking system kwa ujumla ni economy, usimamizi sahihi wa bank, ku avoid utakatishaji wa pesa kupitia baadhi ya bank kwa mfano bank ya FBME. Na kuwahakikishia wananchi usalama wa pesa zao yasirudie ya GREENBANK kama nipo sahihi, na faida kwao.n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi UJAMAA hua uko kwny damu kabisaaa,UBEPARI hua tunalazimishwa tu.
 
Wapi TBC? Wapi TTCL? Wapi ATCL? Hiyo Bank itafuata Nyayo za MABRAZA ZAKE.
 
Kigogo anamnyima jiwe usingizi!!!Kuna mdororo wa kiuchumi anataka kuokoa uchumi kwa kuanzisha TCB!!!Kafeli sana in kigogo tweets!!!
 
Hakuna cha hisa wala nini, ttcl wamejaa maccm wajinga wajinga pale hakuna kitu wana fanya.
Ni kwa vile tu huko kwingine kote washika mpini wana hisa kubwa, tofauti na hapo ingekuwa ni swala la wakati tu wote tungekuwa tunaimba mapambio ya TTCL.
 
Ingekua enzi za JK ingewezekana.. tatizo lansasa hivi DG wa kila kitu yupo magogoni
 
Private Banks kuzilazimisha ku_merge hiyo si sawa. BoT wafanye kazi yao ya ku_regulate Banks na sio kuzilazimisha ku_merge hata kama wamiliki hawaingizi hasara.
 
Wamejaza maccm pale yanashinda yanajadili buku 7
Nina wasiwasi hata hawa LB7 yaani "Lumumba BUKU 7" watakuwa wanapewa bundle za data bure kutoka TTCL ili waendeleze propaganda mitandaoni bila kikwazo.
 
Mkuu nafikir ww ndio more informed anachosema mleta mada ni kwamba mwenye nchi yake anataka kuanzisha commercial bank ambayo itakuwa inamilikiwa na serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo serikali ikimiliki banks ndio uchuki utakuwa secured, na zikiwa zinamilikiwa na serikali hao serikali watalipa kodi serikalini pia au ndio kila mapato yatakuwa faida na kujilipa magawio?!
Nijuavyo mimi serikali inapaswa iwe watchdog isishindane na sekta binafsi ambao ndio walipa kodi.
Nimeona wanasema we want few or one bank owned by government, hapo ndio nikajiuliza kwanini wao wanataka kuhodhi banking system yote, kuna siri gani wanataka kuificha, wakope wao nje wakopeshe wao ndani, walipwe wasilipe kodi nchini, hiyo ndiyo security wanayoitaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…