Habari za huku kaka zangu na dada zangu ninawazo kidogo la biashara naombeni ushauri wenu.

Habari za huku kaka zangu na dada zangu ninawazo kidogo la biashara naombeni ushauri wenu.

Ni kweli kaka ila mimi nilikuwa nakaa hostel zilizopo mori na bei zilkuwa juu ya 70 halafu sababu za wanafunzi wengi kukimbia niliziona baadhi ndio maana nimeamua kufanyia tu hukohuko sinza ila nitafuatilia zaidi kutokana na ushauri wako kaka, asante.
Hii 70 unayozungumzia ni kwa semister nzima ama kwa mwezi?
 
Ndugu yangu naomba kwanza elewa hakuna taasisi inayoweza kukukopesha pesa hali yakuwa huna chochote mkononi angalau ungekuwa na kiwanja na ukajenga kozi kadhaa halafu ikakushinda hapo sawa waweza enda mahala ukakopa


Na hiyo 70k mwanachuo ni ngumu kutoa kwenye chumba cha kushare wakati mtaani anaweza pata room saaaf ya peke ake Kwa bei hiyo.....biashara ya hostel Kwa sasa si nzuri sana kwani hao wanachuo siku hizi hawazitumbui kama zamani, yani ujasiliamali umeanza kuwabeba

invest what you are willing to lose

Hio 70 kama ni kwa semister nzima ni reasonable kwa hio bei ila kama ni kwa mwezi mmoja tu kati ya mi4 haitofaa,
 
Asanteni sana kwa ushirikiano.. sina kiwanja ila gharama ya chumba kimoja ni Tsh.70,000 kwa mwezi then watalipia kwa miezi minne (awamu 3 kwa mwaka) that means ni sawa na Tsh.280,000 na kila chumba kimoja watakaa watu wanne. Ukiangalia hesabu ya mwaka mmoja kwa vyumba arobaini vya mdhamini ambavyo vitakuwa na watu 160 (kila chumba kimoja watu 4) na ada ya mtu mmoja kwa mwaka ni Tsh.840,000 that means ada ya mwaka mmoja kwa wanafunzi 160 wa hivyo vyumba arobaini ni sawa na Tsh.33,600,000 hivyo mdhamini atakata kiasi hicho cha pesa kila mwaka hadi kumaliza deni lake na baada ya hapo atanikabidhi umiliki wa jengo.
Naona kama umeover estimate hesabu, kwani semister huwa si ni mbili kwa mwaka? Au kuna vyuo vina semister 3 mjini hapa?
 
Hio 70 kama ni kwa semister nzima ni reasonable kwa hio bei ila kama ni kwa mwezi mmoja tu kati ya mi4 haitofaa,
Kasema Kwa mwezi, means Kwa semester ni 70 x 4= 280

invest what you are willing to lose
 
Mimi nilikataa kukaa hosteli za chuo ada ilikuwa 150,000 kwa mwaka ... Kwenye idea yako jua pia kuna mijianafunzi kama Mimi sijui utaishauri vipi ije kuishi hostel kwa shilingi elfu 70 kwa mwezi

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Na majumba yanavyobomolewa Siku hizi mhhhh

Mpe anae kupa
 
Asanteni sana kwa ushirikiano.. sina kiwanja ila gharama ya chumba kimoja ni Tsh.70,000 kwa mwezi then watalipia kwa miezi minne (awamu 3 kwa mwaka) that means ni sawa na Tsh.280,000 na kila chumba kimoja watakaa watu wanne. Ukiangalia hesabu ya mwaka mmoja kwa vyumba arobaini vya mdhamini ambavyo vitakuwa na watu 160 (kila chumba kimoja watu 4) na ada ya mtu mmoja kwa mwaka ni Tsh.840,000 that means ada ya mwaka mmoja kwa wanafunzi 160 wa hivyo vyumba arobaini ni sawa na Tsh.33,600,000 hivyo mdhamini atakata kiasi hicho cha pesa kila mwaka hadi kumaliza deni lake na baada ya hapo atanikabidhi umiliki wa jengo.
We pimbi kweli huna kiwanja na wala huna pesa we cha kufanya uza hilo wazo lako la biashara kwa watu wenye pesa
Wakupe laki mbili zako ukaze mayebo yebo manzese ili uache kukomaa na bishara ambayo huna chochote zaidi ya hayo mapu........ Yako tu
Am soooooorrry

Mpe anae kupa
 
We pimbi kweli huna kiwanja na wala huna pesa we cha kufanya uza hilo wazo lako la biashara kwa watu wenye pesa
Wakupe laki mbili zako ukaze mayebo yebo manzese ili uache kukomaa na bishara ambayo huna chochote zaidi ya hayo mapu........ Yako tu
Am soooooorrry

Mpe anae kupa
Hahahahaa nimecheka sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah hadi inatia huruma.
 
Hahahahaa nimecheka sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah hadi inatia huruma.
Yy hana chochote hana pesa wala hana kiwanja
Mwanzo nlivyosoma post yako nkajua anacho kiwanja so anahtaji support
Na magu alivyobana pesa Hanna MTU watoa pesa take hovyo hovyo bwasheeeee

Mpe anae kupa
 
Nimewaza sana kutafuta ufadhili wa kampuni yoyote ili inijengee hostels za kisasa zenye vyumba hamsini lakini nimeona ni vyema nilete wazo langu hapa na baada ya hapo ndo nichukue maamuzi, malipo ya deni la kampuni tutakatana ndani ya miaka kadhaa hadi pesa yao imalizike na haitaniumiza kwasababu katika vyumba hamsini hao watachukua kodi ya vyumba arobaini kila mwaka hadi wamalize deni lao then mimi nitabaki na vyumba kumi kwaajili ya matumizi yangu baada ya kumaliza deni lao nyumba nzima inakuwa yangu.. Je, ufadhili kama huo unawezekana?
Kwa gharama za kiwanja sinza na gharama z ujenzi, hostel ni uwekezaji wa muda mrefu yaani 'rate of return on investment' ni ndogo lakini wenye pesa wanapendelea miradi ya majumba kwakuwa ni 'low risk'. Sio mradi sahihi kwa mtu asie na pesa za kutosha au hata kiwanja kwenye eneo zuri.
 
We pimbi kweli huna kiwanja na wala huna pesa we cha kufanya uza hilo wazo lako la biashara kwa watu wenye pesa
Wakupe laki mbili zako ukaze mayebo yebo manzese ili uache kukomaa na bishara ambayo huna chochote zaidi ya hayo mapu........ Yako tu
Am soooooorrry

Mpe anae kupa
😀😀
Nmecheka japo sio mazuri
 
ndoto za mchana hizo ndugu,,,,,ila usikate tamaa pengine zinaweza kujaa kuleta manufaa siku za usoni...MUNGU akutangulie
 
Elfu sabini kwa mwezi mbona ni kodi ya chumba kizuri tu

Hiyo plan yako inabidi iwe realistic, ni vigumu mtu kulipa 70K kwa mwezi na akitaka kumleta girlfriend/boyfriend wake hadi aende guest house

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo lako zuri lakini zingatia haya ili uwe na ushawishi kwa kampuni/mwekezaji wa mradi wako
1. Eneo la hostel
Nimepitia majibu yako unasema unataka iwe Sinza. Sababu zipi zimefanya uamue Sinza na si sehemu nyingine kama Mwenge, Kijitonyama nk?
2. Huduma
Katika eneo hilo utakalo kujenga unatarajia kuweka huduma zipi zilizo rahisi kwa wateja/wanafunzi ambazo ni bora na za kipekee kiasi cha kufanya kila awazae hostel basi aje kwako
3. Urahisi wa usafiri
Asili ya wapangaji wengi hupenda kutumia basi moja kutoka anapokaa hadi mahala pa kazi/masomo. Je hili kwa eneo lako linawezekana au una ushawishi gani wenye mabasi kuja kuqnzisha huduma ya mabasi ya kwenda chuo/ mjini kutokea kwako
4. Kodi ya pango
Maeneo yanayozunguka Sinza na karibu na Sinza na Sinza yenyewe kumejaa utitiri wa hostel na nyumba za kupanga. Je kodi yako ushaifanyia upembuzi yakinifu kuwa ipo chini na itaweza kukidhi kugharamia huduma zote za kijamii na za ziada
5. Utulivu
Mtu anaesoma anapenda mazingira yaliyotulivu na hakuna kelele. Sinza kwa hili bado ni changamoto. Umeliona hili?
6. Mtaji za uwekezaji
Mradi huu naamini unaweza kuwa rahisi kwako kutekelezeka kama nawe ungekuwa na mtaji. Mtaji huu unajumuisha pesa kiasi au hata kiwanja kikubwa na kipo katika eneo 'potential' ss angalia hili
7. Mwisho
Mawazo yako mazuri yaandike na uanze kutengeneza mipango na shirikisha wadau wewe uwe na shea kiasi tu
Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru ndugu nitaboresha wazo langu vyema zaidi
 
Hahhaa jamani, kujenga wajenge wao, wakupe vyumba kumi, baada yakumaliza kurudisha hela yao wakupe wewe jengo ambalo kuanzia kiwanja hadi finishing wamegharamia wao, hebu tuambie kwakuwa wewe unakuwa umechangia kitu gani? Wazo la biashara au? Natamani kujua kilichosababisha uwaze kuwa hicho kitu kinawezekana.
 
Dogo amka kwenye ndoto ndefu, huna Kiwanja, huna pesa then ujikute ghafla unamiliki hostel. Pambana na hali yako kwanza halafu urudi na plan mpya sio hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umaskini mbaya sana,unaweza kukupelekea kuwa chizi hasa kwa graduate.Unakuta ana mawazo makubwa ila mfukoni kweupe,daaa mola MPE nguvu ya kuanza na kidogo mja wako.
 
Back
Top Bottom