Hii 70 unayozungumzia ni kwa semister nzima ama kwa mwezi?Ni kweli kaka ila mimi nilikuwa nakaa hostel zilizopo mori na bei zilkuwa juu ya 70 halafu sababu za wanafunzi wengi kukimbia niliziona baadhi ndio maana nimeamua kufanyia tu hukohuko sinza ila nitafuatilia zaidi kutokana na ushauri wako kaka, asante.
Ndugu yangu naomba kwanza elewa hakuna taasisi inayoweza kukukopesha pesa hali yakuwa huna chochote mkononi angalau ungekuwa na kiwanja na ukajenga kozi kadhaa halafu ikakushinda hapo sawa waweza enda mahala ukakopa
Na hiyo 70k mwanachuo ni ngumu kutoa kwenye chumba cha kushare wakati mtaani anaweza pata room saaaf ya peke ake Kwa bei hiyo.....biashara ya hostel Kwa sasa si nzuri sana kwani hao wanachuo siku hizi hawazitumbui kama zamani, yani ujasiliamali umeanza kuwabeba
invest what you are willing to lose
Naona kama umeover estimate hesabu, kwani semister huwa si ni mbili kwa mwaka? Au kuna vyuo vina semister 3 mjini hapa?Asanteni sana kwa ushirikiano.. sina kiwanja ila gharama ya chumba kimoja ni Tsh.70,000 kwa mwezi then watalipia kwa miezi minne (awamu 3 kwa mwaka) that means ni sawa na Tsh.280,000 na kila chumba kimoja watakaa watu wanne. Ukiangalia hesabu ya mwaka mmoja kwa vyumba arobaini vya mdhamini ambavyo vitakuwa na watu 160 (kila chumba kimoja watu 4) na ada ya mtu mmoja kwa mwaka ni Tsh.840,000 that means ada ya mwaka mmoja kwa wanafunzi 160 wa hivyo vyumba arobaini ni sawa na Tsh.33,600,000 hivyo mdhamini atakata kiasi hicho cha pesa kila mwaka hadi kumaliza deni lake na baada ya hapo atanikabidhi umiliki wa jengo.
Kasema Kwa mwezi, means Kwa semester ni 70 x 4= 280Hio 70 kama ni kwa semister nzima ni reasonable kwa hio bei ila kama ni kwa mwezi mmoja tu kati ya mi4 haitofaa,
Hapo anafeli,Kasema Kwa mwezi, means Kwa semester ni 70 x 4= 280
invest what you are willing to lose
We pimbi kweli huna kiwanja na wala huna pesa we cha kufanya uza hilo wazo lako la biashara kwa watu wenye pesaAsanteni sana kwa ushirikiano.. sina kiwanja ila gharama ya chumba kimoja ni Tsh.70,000 kwa mwezi then watalipia kwa miezi minne (awamu 3 kwa mwaka) that means ni sawa na Tsh.280,000 na kila chumba kimoja watakaa watu wanne. Ukiangalia hesabu ya mwaka mmoja kwa vyumba arobaini vya mdhamini ambavyo vitakuwa na watu 160 (kila chumba kimoja watu 4) na ada ya mtu mmoja kwa mwaka ni Tsh.840,000 that means ada ya mwaka mmoja kwa wanafunzi 160 wa hivyo vyumba arobaini ni sawa na Tsh.33,600,000 hivyo mdhamini atakata kiasi hicho cha pesa kila mwaka hadi kumaliza deni lake na baada ya hapo atanikabidhi umiliki wa jengo.
Hahahahaa nimecheka sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah hadi inatia huruma.We pimbi kweli huna kiwanja na wala huna pesa we cha kufanya uza hilo wazo lako la biashara kwa watu wenye pesa
Wakupe laki mbili zako ukaze mayebo yebo manzese ili uache kukomaa na bishara ambayo huna chochote zaidi ya hayo mapu........ Yako tu
Am soooooorrry
Mpe anae kupa
Yy hana chochote hana pesa wala hana kiwanjaHahahahaa nimecheka sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah hadi inatia huruma.
Kwa gharama za kiwanja sinza na gharama z ujenzi, hostel ni uwekezaji wa muda mrefu yaani 'rate of return on investment' ni ndogo lakini wenye pesa wanapendelea miradi ya majumba kwakuwa ni 'low risk'. Sio mradi sahihi kwa mtu asie na pesa za kutosha au hata kiwanja kwenye eneo zuri.Nimewaza sana kutafuta ufadhili wa kampuni yoyote ili inijengee hostels za kisasa zenye vyumba hamsini lakini nimeona ni vyema nilete wazo langu hapa na baada ya hapo ndo nichukue maamuzi, malipo ya deni la kampuni tutakatana ndani ya miaka kadhaa hadi pesa yao imalizike na haitaniumiza kwasababu katika vyumba hamsini hao watachukua kodi ya vyumba arobaini kila mwaka hadi wamalize deni lao then mimi nitabaki na vyumba kumi kwaajili ya matumizi yangu baada ya kumaliza deni lao nyumba nzima inakuwa yangu.. Je, ufadhili kama huo unawezekana?
ππWe pimbi kweli huna kiwanja na wala huna pesa we cha kufanya uza hilo wazo lako la biashara kwa watu wenye pesa
Wakupe laki mbili zako ukaze mayebo yebo manzese ili uache kukomaa na bishara ambayo huna chochote zaidi ya hayo mapu........ Yako tu
Am soooooorrry
Mpe anae kupa
Ila ndio ukweli huo investment ya hostel in mabillion ya pesa alafu yy hana pesa wala kiwanjaππ
Nmecheka japo sio mazuri
Nashukuru ndugu nitaboresha wazo langu vyema zaidiWazo lako zuri lakini zingatia haya ili uwe na ushawishi kwa kampuni/mwekezaji wa mradi wako
1. Eneo la hostel
Nimepitia majibu yako unasema unataka iwe Sinza. Sababu zipi zimefanya uamue Sinza na si sehemu nyingine kama Mwenge, Kijitonyama nk?
2. Huduma
Katika eneo hilo utakalo kujenga unatarajia kuweka huduma zipi zilizo rahisi kwa wateja/wanafunzi ambazo ni bora na za kipekee kiasi cha kufanya kila awazae hostel basi aje kwako
3. Urahisi wa usafiri
Asili ya wapangaji wengi hupenda kutumia basi moja kutoka anapokaa hadi mahala pa kazi/masomo. Je hili kwa eneo lako linawezekana au una ushawishi gani wenye mabasi kuja kuqnzisha huduma ya mabasi ya kwenda chuo/ mjini kutokea kwako
4. Kodi ya pango
Maeneo yanayozunguka Sinza na karibu na Sinza na Sinza yenyewe kumejaa utitiri wa hostel na nyumba za kupanga. Je kodi yako ushaifanyia upembuzi yakinifu kuwa ipo chini na itaweza kukidhi kugharamia huduma zote za kijamii na za ziada
5. Utulivu
Mtu anaesoma anapenda mazingira yaliyotulivu na hakuna kelele. Sinza kwa hili bado ni changamoto. Umeliona hili?
6. Mtaji za uwekezaji
Mradi huu naamini unaweza kuwa rahisi kwako kutekelezeka kama nawe ungekuwa na mtaji. Mtaji huu unajumuisha pesa kiasi au hata kiwanja kikubwa na kipo katika eneo 'potential' ss angalia hili
7. Mwisho
Mawazo yako mazuri yaandike na uanze kutengeneza mipango na shirikisha wadau wewe uwe na shea kiasi tu
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahh nawaza kwa sautihakuna mtu duniani mjinga kiasi hicho.. dogo hachangii chochote eti na bado apewe vyumba kumi bure... angalau angekuwa na kiwanja ingesound...