Waberoya,
Mkuu, sasa naona unataka kuleta ubishi na mwisho wake sidhani kama utakuwa mzuri. Ingawa nimejaribu kukujibu maswali yako, sidhani kama wewe ungependezwa kama mimi ningekuuliza utafanya nini kama mtoto wako atataka kutembea na mke wako aliye mama yake. Kwa hali hiyo, naona tukubali kutofautiana.
Amandla......
Haya mambo yanapogeuka reality katika maisha na sio kuandika tu kwenye keyboard then yanakuwa matusi. Yaani kwako wewe tabia pekee za kisex zilizo za kugombaniwa zikubalike katika jamii ni lesbian na ushoga tu.
Kuna society zimeshavuka ushoga na usagaji wako kwenye wanyama na wazazi wao au ndugu zao, na siku moja watataka wakubalike na watambulike katika jamii, kama wewe unavyosema ushoga na usagaji vikubalike. ila kwa level yako unaona ni ushoga na usagaji that is OK!
ikifika wakati wa kuzungumzia tabia zisizo za asili ambazo mwanadamu anazifanya ila wametofautiana toka jamii moja au nyingine then INCEST SEX AND BEAST(bestiality) SEX are so common term! kwa nini hukubali hizi tabia unaziona mbaya, wakati si za asili wakati ushoga na usagaji ziko kwenye makundi hayo ya corrupt sex?
Yaani wewe kumuuliza mwenzako kuwa mtoto wako akija na kusema yeye shoga utasemaje? unaona ni sawa na si tusi! ila wewe kuulizwa na mtu aliyevuka level hiyo ya ushoga na kusema anataka afanye sex na mnyama au incest then hilo ndio tusi! LOL.
Kama umekubali tabia hizi zisizo za asili zitawale jamii, kwa nini usikubali na incest sex na beast sex kuwa nazo zikubalike?? au level yako ya immoral imeishia kwenye ushoga na usagaji since you are quite familia terms and not action?????
Nenda leo sehemu kubwa tanzania mambo uliyoyaandika hapa hutaweza hata kuyasema nao kwa ni aibu?? au watu hawalali na wanyama? watu hawalali na watoto wao , ndugu hawalalani?? UNAONA? then kwako wewe haya ndiyo matusi ila kusema ushoga na usagaji is OK?? si umesema tuwe open ili tumalize matatizo-SIYO??
Nilitaka kujua level yako ya kuvumilia vitu na kuviweka katika real life, siyo kubonya tu keyboard uhalalishe tabia mbaya mbazo si za asili! let you feel it, kumbe na wewe una level yako, katika corrupt mind sex yako imeshia kwenye usagaji na ushoga, belive me others are more than that! more than that!
Kama ulivyoona beast sex na incest sex are not good, even to the point not mentioning them,THEN SEHEMU KUBWA YA WATANZANIA BADO WAKO GIZANI NA HATUPENDI WAJUE KUHUSU usagaji na ushoga! kama ili somo limekuingia na ofcourse sina makundi nakupa mfano hai ambao siku zijazo ukae ukijua.....
kuwa ushoga, usagaji, incest sex, beast sex kama ukisoma hata kwenye bible ni KUFURU MBELE YA MUNGU na vyote vimeorodheshwa
Incest
God gave laws forbidding incest, so as to prevent genetic deterioration and keep mankind healthy.
"Cursed be he that lieth with his sister, the daughter of his father, or the daughter of his mother. And all the people shall say, Amen." (Deut. 27:22)
"Thou shalt not uncover the nakedness of... thy sister... son's daughter... daughter in law..." etc (Lev. 18:7-17)
"If a man lieth with his father's wife... [and other family members] both shall surely be put to death." (Lev. 20:11- 21) They shall be cursed. (Deut. 22:30; 27:20, 22, 23; Lev. 20:19-21)
Homosexuality
Homosexuality is hostile against the family. Paul calls it the culminating apostasy and hostility towards God.
"Thou shalt not lie with mankind, as with womankind: it is abomination." (Lev. 18:22)
"If a man lie with mankind, as he lieth with a woman, both of them have committed an abomination: they shall surely be put to death; their blood shall be upon them." (Lev. 20:12)
"There shall be no ***** of the daughters of Israel, nor a sodomite of the sons of Israel." (Deut. 23:17)
"Thou shalt not bring the hire of a *****, or the price of a dog [homosexual prostitute] into the house of the LORD thy God for any vow." (Deut. 23:18)
"Beware of dogs [homosexual prostitutes], beware of evil workers..." (Phil. 3:2)
"For without are dogs [homosexual prostitutes], and sorcerers, and whoremongers, and idolaters, and whosoever loveth and maketh a lie." (Rev. 22:15)
"God gave them up unto vile affections: for even their women did change the natural use into that which is against nature And likewise also the men, leaving the natural use of the woman, burned in their lust one toward another; men with men working that which is unseemly, and receiving in themselves that recompence of their error which was meet." (Rom. 1:18-32)
Bestiality
Bestiality degrades the image of God in man. Man is not an animal, but the crown of creation.
"Whosoever lieth with a beast shall surely be put to death." (Ex. 22:19)
"Neither shalt thou lie with any beast to defile thyself therewith: neither shall any woman stand before a beast to lie down thereto: it is confusion. Defile not ye yourselves in any of these things: for in all these the nations are defiled which I cast out before you..." (Lev. 18:23-30)
"Cursed be he that lieth with any manner of beast. And all the people shall say, Amen." (Deut. 27:21)
ZOTE HIZI NI TABIA MBAYA, ADHABU ZAKE NI KIFO at that time,
NASHANGAA MKUU, PALE UNAPOONA usagaji na ushoga is OK, then beast na incest sex is not OK!!!!!!!!!!!
Huoni kuwa unadhihirisha wewe ni mtanzania halisi?? huoni kuwa unajithibitisha hata kuongelea ushoga na usagaji was not real you! unaposhtuka na kuona hivi vitu ni matusi na havikubaliki ndivyo hivyo hivyo mwingine anavyoona hata wewe kuzungumzia ushoga havikubaliki! au kwa sababu unatangazwa sana, basi umekupofusha na kuona hamna bestiality and incest sex.... kama mtu anaingiza uume wake sehemu ambayo haja kubwa inatokea unasema ok, the same man akiingiza uume kwenye mnyama is wrong! huoni vitu hivi vyote vinatisha?? japo hujanieleza chanzo na source ya ushoga na usagaji!
Solution is simple lets go back to basics... moral sex.
Naona umetangazwa mshindi mimi sihitaji kutangangwa mshindi nataka kukupata wewe nataka kukupata mtanzania mwenye tabia nzuri kama wewe anayetaka kutekwa na ukisasa! haingii akilini hata shetani atakushangaa mtu wangu unaposema ushoga is ok, lakini hivi vingine is not OK!!!!!!!!!
RAFIKI wake up, watu wanafanya zaidi ya unayoyasikia na yote yakiwekwa kwenye magazeti hatutaweza kuyabeba
Mwisho natamani mtu unapoandika kitu hapa, ukifeel then, na uwe tayari kukitetea even to death. kama huwezi kuongea mbele ya wazazi wako, watoto au familia yako mnayoyaandika na kusupport humu, then is not you!!!!!!!!
nirudie lile swali?? no..no...no, nitakuwa nakutukana, somo limeingia mpaka kwenye mifupa hata kama hutataka kukubali. jibu ulilotakiwa kusema ni kuwa hakuna jinsi ya mtoto aliyelelewa na wewe kuja na kusema baba, nataka sex na mnyama au na dada angu au mama angu, sio rahisi!!!!!!!!(kwako wewe the way nilivyokusoma) japo katika sayari hii watu wanafanya hayo mambo
Then the same answer could apply to me kuwa there is no way mtoto wangu akaja na kusema baba mimi msagaji au shoga!!!!!! sio rahisi!!!!!
Then kama jibu lako na langu yote yako sahihi then tunaweza tukaungana na kupiga vita tabia hizi mbaya katika jamii, ili watoto wetu wasiwe corrupt for anyhow! kuwa na washabiki au supporters katika immoral behaviour hazibadilishi ukweli kuwa ni mbaya na hazikubaliki!
Mtu kuja na kusema yeye ni msagjai lazima tujue tabia hii imetokea wapi?? hatupendi kujiuliza hili tunasema hawa watu wapo! tabia zinapokelewa, kufanyiwa kazi na kukua, there is no way we can tolerate this not by any justifacation no matter how good it may looki like!
Ukienda kwenye bestiality and incest sex societies nao wana sababu za kushangaza.LOL!
Mkuu hutaniona tena nachangia maada hii, kama utataka kuendelea na imni yako then go on, lakini kumbuka lile swali langu, sio baya ni hali halisi! wala sio tusi! wako watu wanaishi hivyo na believe me one day wataanza kuandikwa na kukubalika!
Love you man!