Tetesi: Habari za kusikitisha; Continental kufa rasmi mitambo yake kuzimika tarehe 1 march

Tetesi: Habari za kusikitisha; Continental kufa rasmi mitambo yake kuzimika tarehe 1 march

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Wateja wa continental poleni
Inasemekana continental imekufa na kushindwa kujiendesha kwa sababu ya kukosa wateja,fedha, na kudaiwa kodi na TRA

Mfano, inasemekana kwamba wamekosa mpaka pesa ya kununua Card za ving'amuzi vyao. Ushawahi kusikia kampuni ikikosa mpaka Card za ving'amuzi?

Kwa hiyo tarehe 1 march wanazima mitambo yao ya ardhini ya minara na pia matangazo ya sattelite yanatarajiwa kuzimwa ifikapo April 5

Poleni wateja wa Continental kwa majanga hayo
 
Mzee hulali au ndo uko job?
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] hili swali ninaloulizwa kila wakati limekuwa linanishangaza kweli... Mshana hulali?mzee wewe unalala saa ngapi? Mbona nakuona online 24/7? Nknk[emoji23] [emoji23] [emoji23].... Basi nabaki na tabasamu na kujiuliza hawa wanaoniulizaga wanakuwa usingizini!? Tena ndotoni kabisa..!!? [emoji3] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] hili swali ninaloulizwa kila wakati limekuwa linanishangaza kweli... Mshana hulali?mzee wewe unalala saa ngapi? Mbona nakuona online 24/7? Nknk[emoji23] [emoji23] [emoji23].... Basi nabaki na tabasamu na kujiuliza hawa wanaoniulizaga wanakuwa usingizini!? Tena ndotoni kabisa..!!? [emoji3] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Nadhani wanakuwaga ndotoni
 
Mi nilikinunua kipindi wanakipa promo ya bure lakini baadaye kilinizingua nikaachana nacho. Hivyo kwangu kilishafariki siku nyingi tu , I don't care
 
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] hili swali ninaloulizwa kila wakati limekuwa linanishangaza kweli... Mshana hulali?mzee wewe unalala saa ngapi? Mbona nakuona online 24/7? Nknk[emoji23] [emoji23] [emoji23].... Basi nabaki na tabasamu na kujiuliza hawa wanaoniulizaga wanakuwa usingizini!? Tena ndotoni kabisa..!!? [emoji3] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hili jibu ni kiboko chao.
 
Back
Top Bottom