Royal Tour
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 252
- 459
Imeanza decoder kisha inafuata Tv station yake maana nayo inachungulia kabuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachawi wenzako Hao, wanataka ulale waje wakukabe wachukue uchawi wako![emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] hili swali ninaloulizwa kila wakati limekuwa linanishangaza kweli... Mshana hulali?mzee wewe unalala saa ngapi? Mbona nakuona online 24/7? Nknk[emoji23] [emoji23] [emoji23].... Basi nabaki na tabasamu na kujiuliza hawa wanaoniulizaga wanakuwa usingizini!? Tena ndotoni kabisa..!!? [emoji3] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] hili swali ninaloulizwa kila wakati limekuwa linanishangaza kweli... Mshana hulali?mzee wewe unalala saa ngapi? Mbona nakuona online 24/7? Nknk[emoji23] [emoji23] [emoji23].... Basi nabaki na tabasamu na kujiuliza hawa wanaoniulizaga wanakuwa usingizini!? Tena ndotoni kabisa..!!? [emoji3] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Wachawi wenzako Hao, wanataka ulale waje wakukabe wachukue uchawi wako!
Kujihusha na ccm hakuwezi kumwacha mfanya biashara salama.Wateja wa continental poleni
Inasemekana continental imekufa na kushindwa kujiendesha kwa sababu ya kukosa wateja,fedha, na kudaiwa kodi na TRA
Mfano, inasemekana kwamba wamekosa mpaka pesa ya kununua Card za ving'amuzi vyao. Ushawahi kusikia kampuni ikikosa mpaka Card za ving'amuzi?
Kwa hiyo tarehe 1 march wanazima mitambo yao ya ardhini ya minara na pia matangazo ya sattelite yanatarajiwa kuzimwa ifikapo April 5
Poleni wateja wa Continental kwa majanga hayo
Jamaa alimlipa kila kitu baada ya kupata ufalme hivyo tatizo ni lake mwenyewe ana madeni sana.Alisimamia kupitishwa kwa mjamaa
Maisha yenyewe yakulala yakowapi mkuu, unalala mawazo yanakuamsha inabidi ushike simu tuu.Mzee hulali au ndo uko job?
Sasa kile kighamuzi cha IPP Media Wanawezaje kukiendesha wakati wateja wake hawalipii chochote zaidi ya ile fedha ya kununulia decoder?Wateja wa continental poleni
Inasemekana continental imekufa na kushindwa kujiendesha kwa sababu ya kukosa wateja,fedha, na kudaiwa kodi na TRA
Mfano, inasemekana kwamba wamekosa mpaka pesa ya kununua Card za ving'amuzi vyao. Ushawahi kusikia kampuni ikikosa mpaka Card za ving'amuzi?
Kwa hiyo tarehe 1 march wanazima mitambo yao ya ardhini ya minara na pia matangazo ya sattelite yanatarajiwa kuzimwa ifikapo April 5
Poleni wateja wa Continental kwa majanga hayo
continental ndio nini?Wateja wa continental poleni
Inasemekana continental imekufa na kushindwa kujiendesha kwa sababu ya kukosa wateja,fedha, na kudaiwa kodi na TRA
Mfano, inasemekana kwamba wamekosa mpaka pesa ya kununua Card za ving'amuzi vyao. Ushawahi kusikia kampuni ikikosa mpaka Card za ving'amuzi?
Kwa hiyo tarehe 1 march wanazima mitambo yao ya ardhini ya minara na pia matangazo ya sattelite yanatarajiwa kuzimwa ifikapo April 5
Poleni wateja wa Continental kwa majanga hayo
Mambo ya jf hayo nimechemka kwenye kuweka rangi maneno spesheli nikajikuta yote yana rangiHivi vinavyoitwa ving'amuzi[/] kwakweli katika lugha ni makosa. Jina lake halisi ni Visimbusi[/].
King'amuzi maana yake halisi kwa "kidhungu" ni detector kutokana na neno detect(ng'amua/baini) mfano wa ving'mizi ni km x-ray machine au vifaa vingine vinavyong'amua/kubaini vitu flani mfano vifaa vya kujua ikiwa sehemu fulani kuna madini, chuma nk.
Kisimbusi maana yake kwa "kidhungu" ni decoder yaani decode kwa kiswahili simbua(kswahili laini tungesema fichua).
Kumbe niko Msata kilingeniHahahahahah......Mkuu labda wanajua unaishi Siberia au Papua New Guinea!!!