tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Ccm wenzake nao hoi hawana uwezo na jamaa anamadeni mazito kuliko gunia lenye rumbesaKwanini isiendeshwe kwa share yaani auze nusu ya kampuni au amtafute m bia/shareholder
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm wenzake nao hoi hawana uwezo na jamaa anamadeni mazito kuliko gunia lenye rumbesaKwanini isiendeshwe kwa share yaani auze nusu ya kampuni au amtafute m bia/shareholder
Mkuu unafanya kazi CORAL PAINTS?Mambo ya jf hayo nimechemka kwenye kuweka rangi maneno spesheli nikajikuta yote yana rangi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Amka babu, hadi leo! tutakusahau!" Continental " ndiyo nini ? Inatangaza matangazo gani. ? Ukweli sijaelewa hapa
Leo hii ni trh 7 April 2018 (Karume day) Continental bado "haijazimwa" hz hbr zingine watu cjui huwa wanazitoa wapi.Wateja wa continental poleni
Inasemekana continental imekufa na kushindwa kujiendesha kwa sababu ya kukosa wateja,fedha, na kudaiwa kodi na TRA
Mfano, inasemekana kwamba wamekosa mpaka pesa ya kununua Card za ving'amuzi vyao. Ushawahi kusikia kampuni ikikosa mpaka Card za ving'amuzi?
Kwa hiyo tarehe 1 march wanazima mitambo yao ya ardhini ya minara na pia matangazo ya sattelite yanatarajiwa kuzimwa ifikapo April 5
Poleni wateja wa Continental kwa majanga hayo
Kwani wewe bundi? JF is world wide, kama kwenu ni usiku huku kwetu jua ni kali Na tunaendelea Na Mbombo Nunu