Tetesi: Habari za kusikitisha; Continental kufa rasmi mitambo yake kuzimika tarehe 1 march

Wachawi wenzako Hao, wanataka ulale waje wakukabe wachukue uchawi wako!
 

Hahahahahah......Mkuu labda wanajua unaishi Siberia au Papua New Guinea!!!
 
Kujihusha na ccm hakuwezi kumwacha mfanya biashara salama.
 
Kila Tv station ilileta king'amuzi chake badala ya kukaa wakaungana ki biashara wakawa na brand moja ili wagawane faida ili kucompete na giant Kama DSTV mwisho wake ndo hivo wanapotea labda AZAM ndo atabaki ukienda KENGEJA-Pemba unamkuta IPYANA-MBEYA yupo KYAMULAILE-BUKOBA yupo MFIRIGA,LUPEMBE,NJOMBE,IKINDILO BARIADI SIMIYU utamkuta lakn hao wangine ni MASHAKA LAKI NANE
 
Sasa kile kighamuzi cha IPP Media Wanawezaje kukiendesha wakati wateja wake hawalipii chochote zaidi ya ile fedha ya kununulia decoder?
 
continental ndio nini?
ndo nasikia kwako
 
Hivi vinavyoitwa ving'amuzi[/] kwakweli katika lugha ni makosa. Jina lake halisi ni Visimbusi[/].

King'amuzi maana yake halisi kwa "kidhungu" ni detector kutokana na neno detect(ng'amua/baini) mfano wa ving'mizi ni km x-ray machine au vifaa vingine vinavyong'amua/kubaini vitu flani mfano vifaa vya kujua ikiwa sehemu fulani kuna madini, chuma nk.

Kisimbusi maana yake kwa "kidhungu" ni decoder yaani decode kwa kiswahili simbua(kswahili laini tungesema fichua).

 
Mambo ya jf hayo nimechemka kwenye kuweka rangi maneno spesheli nikajikuta yote yana rangi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Ving'amuzi uchwara. Sijui continental, digiteki, star times na vikorokocho kibaoo. Acha vijifie tu maana hakuna namna!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…