atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Swali ni uhalali wa kutawala haujatoka kwa wapigakura
Uhalali wa kuongoza mkuu si kutawala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali ni uhalali wa kutawala haujatoka kwa wapigakura
HawajitangazagiMkuu niko salama na nina jiamini....Usimsikilize mropokaji Lissu, yule ilibidi akomeshwe tu na kwa hasira anawatishia wengine ili waogope.
Ttz la bavicha mkishakaririshwa kitu kuja kuwatoka kichwani hadi aliyewakaririsha awaambie hapana sio hivo.Nakwambia hivi siku yenu yaja
Hili ndio tatizo lenu kuu mtuu yeyote aliye ana mawazo tofauti na nyie ni mpinzani kaa hivyo hivyoTtz la bavicha mkishakaririshwa kitu kuja kuwatoka kichwani hadi aliyewakaririsha awaambie hapana sio hivo.
Habari kutoka vyanzo vinavyoaminika zimekuwa zikititirika juu ya ukweli kuhusu zilikoenda zile Trilion 1.5 ambazo zilionekana kama zimeyeyuka hewani, na kutolewa maelezo yasiyoridhisha na serikali.
Habari zilizopo ni kwamba sehemu kubwa ya fedha hizo zilipelekwa katika matumizi ambayo mamlaka toka juu iliamua yasiwekwe wazi, na kikubwa cha matumizi hayo yakiwa ni mambo ya ki intelijensia/usalama. Habari zimezidi kuanisha kwamba kwa mara ya kwanza toka nchi hii ipate uhuru, kumekuwa na matumizi ya kutisha katika idara zote zote za serikali zinazohusiana na mambo ya usalama zaidi sana ya fedha wanazokuwa wakitengewa.
Pia kumekuwa na ajira nyingi zisizofuata utaratibu na kuanzishwa kwa vitengo ndani ya vitengo ambavyo vingi sio rasmi na hivyo matumizi ya fedha za vitengo hivyo hayawezi kuwekwa wazi. Watu wengi wemeajiriwa katika idara hizi zisizo rasmi katika mazingira ya kibinafsi na maagizo kutoka juu badala ya kufuata taratibu rasmi za serikali, na wamekuwa wakitengewa fedha kwa ajili ya "kazi" zao.
Habari zimezidi kudai kwamba hata wakati wa awamu ya Nyerere ambapo kulikuwa na kiwango cha juu cha mambo ya intelijensia na usalama kutokana na Tanzania kuwa kitovu cha mambo ya ukombozi wa nchi za Afrika hatukufikia matumizi ya kiasi hiki. Mbaya zaidi mengi ni matumizi ambayo hayajainishwa na kufuata tarataibu za matumizi ya fedha za serikali, na hayawezi kuhojiwa na mtu yeyote wala kukaguliwa hata na CAG. Habari zimesema kuwa ni kama kwa sasa kuna "obsession" ya mambo ya usalama na intelijensia, na watu wanaotumikia katika sehemu hizi ambazo nyingine sio rasmi wamepewa uhuru wa kutumia fedha wanavyopenda.
Na weweUnahasara wewe na nani!!
Polisi Magereza na Uhamiaji kuna wapiganaji wamepanda vyeo tokea 2016 hadi sasa mishahara haijapanda...mwambieni mzee huko majeshini hali mbayaSasa mbona hiyo ni habari nzuri sana kama zimeenda kwenye mambo ya usalama wa nchi?tunahitaji majeshi yetu yawe na vifaa vya kisasa kutulinda,tunahitaji TISS wafanye kazi yao bila ukwasi,tunahitaji jeshi la polisi,magereza,zimamoto na vyombo vyote vya ulinzi na usalama kufanya kazi bila njaa,so kwangu nampongeza sana Rais kwa hilo,
Polisi Magereza na Uhamiaji kuna wapiganaji wamepanda vyeo tokea 2016 hadi sasa mishahara haijapanda...mwambieni mzee huko majeshini hali mbaya
Wamesema hazijaibiwa ila zimeliwa
Konstebo X mwaka 2016 alikwwenda kozi ya kuwa koplo akamaliza baada ya miezi mitatu na kutunukiwa ukoplo lakini tokea mwaka huo hadi leo anapokea mshahara wa konstebo.. Huo ni mfano wa cheo kimoja na wapo wengi katika majeshi yetu..mwambieni mzee awakumbuke wanapigika. Jeshine elimu haichukui nafasi kubwa kama unavyodhani wewe mwana ccm raianadhani huko watu wanapanda kwendana na level yao ya elimu na cheo,sasa sijaelewa argument yako imebase kwenye kitu gani mkuu
Kuna kina mwanahabari huru na zito jr wataipamba hii habari maana sina hakika nini kimetokea katija hichwa vyaoNikiangalia idadi ya pesa na utumbo wako haviingiliani kabisa,ni mbingu na ardhi,porojo hizi wataelewa mashabiki wako tu,sio ma GT.
Majibu ya naibu waziri wa fedha yalijitosheleza kabisa
Kwanini usiseme habari ulizozipata kutoka GOGO VIVU KARIAKOO? The way ulivyoiandika hii habari yako ni kama umezipata habari kijiweni manzese ama Gogo Vivu la mabaharia KariakooHabari kutoka vyanzo vinavyoaminika zimekuwa zikititirika juu ya ukweli kuhusu zilikoenda zile Trilion 1.5 ambazo zilionekana kama zimeyeyuka hewani, na kutolewa maelezo yasiyoridhisha na serikali.
Habari zilizopo ni kwamba sehemu kubwa ya fedha hizo zilipelekwa katika matumizi ambayo mamlaka toka juu iliamua yasiwekwe wazi, na kikubwa cha matumizi hayo yakiwa ni mambo ya ki intelijensia/usalama. Habari zimezidi kuanisha kwamba kwa mara ya kwanza toka nchi hii ipate uhuru, kumekuwa na matumizi ya kutisha katika idara zote zote za serikali zinazohusiana na mambo ya usalama zaidi sana ya fedha wanazokuwa wakitengewa.
Pia kumekuwa na ajira nyingi zisizofuata utaratibu na kuanzishwa kwa vitengo ndani ya vitengo ambavyo vingi sio rasmi na hivyo matumizi ya fedha za vitengo hivyo hayawezi kuwekwa wazi. Watu wengi wemeajiriwa katika idara hizi zisizo rasmi katika mazingira ya kibinafsi na maagizo kutoka juu badala ya kufuata taratibu rasmi za serikali, na wamekuwa wakitengewa fedha kwa ajili ya "kazi" zao.
Habari zimezidi kudai kwamba hata wakati wa awamu ya Nyerere ambapo kulikuwa na kiwango cha juu cha mambo ya intelijensia na usalama kutokana na Tanzania kuwa kitovu cha mambo ya ukombozi wa nchi za Afrika hatukufikia matumizi ya kiasi hiki. Mbaya zaidi mengi ni matumizi ambayo hayajainishwa na kufuata tarataibu za matumizi ya fedha za serikali, na hayawezi kuhojiwa na mtu yeyote wala kukaguliwa hata na CAG. Habari zimesema kuwa ni kama kwa sasa kuna "obsession" ya mambo ya usalama na intelijensia, na watu wanaotumikia katika sehemu hizi ambazo nyingine sio rasmi wamepewa uhuru wa kutumia fedha wanavyopenda.