Tetesi: Habari zaanza kuvuja kuhusu zilikoenda Trilioni 1.5 "zilizopotea"

Tetesi: Habari zaanza kuvuja kuhusu zilikoenda Trilioni 1.5 "zilizopotea"

Hivi ushauri huo haulipiwi "consultancy fe" kweli? Sintashangaa. Kuna wakati walisema wangeleta watalaamu wa IT kutoka huko - lengo kubwa ilikuwa kudadavua watu wanamsema mkulu na serikali kupitia mitandao. Walipogonga mwamba wakashauri zitungwe sheria kufunga watu midomo.

Hivi mnajua ni fedha kiasi gani zinatumika kama consultancy fees kujaribu kuingilia na kupata habari za ndani na mitandao kama JF? Hata wataalamu toka nje wameletwa!
No wonder JF imekuwa ya baridi sana
Comments nyingi sana zinafutwa hasa zikigusa watu fulani
Kuna tusiyoyajua
 
Mkuu, tena umenikumbusha! Habari zilizopo zinasema pia kwamba pia kumekuwa na matumizi makubwa ya fedha kwa ajili ya mambo ya kishirikina, kutia ndani waganga wa kienyeji. Nimeona nikiweka hata hilo watu watadhani ni porojo! Lakini huo ndio ukweli!
mkuu umesahau pi hao kina thetallest MOTOCHINI YEHODAYA ni kati ya wano pokea buku7 dail zisizokuwa na maelezo.. wanahusika kututia hasara kama bombadia
 
Nikiangalia idadi ya pesa na utumbo wako haviingiliani kabisa,ni mbingu na ardhi,porojo hizi wataelewa mashabiki wako tu,sio ma GT.
Majibu ya naibu waziri wa fedha yalijitosheleza kabisa
Sio kweli mtoa mada ameongea "Substance" ila wewe ndio "Thick Minded". Pesa yoyote ya serikali (Matumizi) lazima ikaguliwe na CAG. Period.
 
Kama unashindwa kuona kwamba maelezo yalitengenezwa rasmi ili "uelewe na kuamini", basi wewe na wengine kama wewe ni watu wa kuhurumia sana. Jiulize kwa nini maelezo hayo hakupewa CAG, na kama alipewa kwa nini hakuyaweka kwenye ripoti yake. Licha ya hivyuo, habari zinasema sehemu kubwa ya zile Trilioni 1.5, sio zote.

Na kama ni kweli nchi ya jirani wanasaidia mambo ya usalama, ni rahisi sana kufikisha Trilioni 1.5.
Niseme tu imetisha vibaya mno
 
Sasa kama hazikaguliwi na CAG Huyo CAG kazigundulia kutoka wapi ???
Mbona rahisi. Aliambiwa mapato yalikuwa kiasi gani, akatoa matumizi kwenye mapato akakuta kuna upungufu wa Trilioni 1.5. Akawaambia hizi zilienda wapi wakamwambia eti zipo mahali, zina maelezo maalum ila hayataandikwa. Basi akaandika fedha zisizo na maelezo. Akaulizwa na Raisi zimeibiwa? Akasema hapana.
 
Sasa mbona hiyo ni habari nzuri sana kama zimeenda kwenye mambo ya usalama wa nchi?tunahitaji majeshi yetu yawe na vifaa vya kisasa kutulinda,tunahitaji TISS wafanye kazi yao bila ukwasi,tunahitaji jeshi la polisi,magereza,zimamoto na vyombo vyote vya ulinzi na usalama kufanya kazi bila njaa,so kwangu nampongeza sana Rais kwa hilo,
Sasa kwa nini mkadanganya kwamba ziko kwenye bond za serikali?
 
Mkuu uko sahii. Tatizo ninalo liona ni kwamba mtoa hoja na wachangia hoja hii wote humu, kwanza nahisi hawajakiona chuo na pili hata kama wamekiona basi sio watu ambao wana affinity kubwa na mahesabu.

Eti kweli mtu ambaye ana akili timamu ana amini kuwa 1.5 Trilion zimetumika kwa ajili ya usalama na intelligensia? Swali hapa linakuja wako wangapi? Na wanaweza wakatumia kiasi chochote wanachotaka kwenye nini?

Hicho kichekesho akamweleze shangazi yake. Hapo hata kuku watacheka.

"Habari zilizopo ni kwamba sehemu kubwa ya fedha hizo zilipelekwa katika matumizi ambayo mamlaka toka juu iliamua yasiwekwe wazi, na kikubwa cha matumizi hayo yakiwa ni mambo ya ki intelijensia/usalama"

Eti mnajisifia mmeenda chuo!
 
Mkuu, tena umenikumbusha! Habari zilizopo zinasema pia kwamba pia kumekuwa na matumizi makubwa ya fedha kwa ajili ya mambo ya kishirikina, kutia ndani waganga wa kienyeji. Nimeona nikiweka hata hilo watu watadhani ni porojo! Lakini huo ndio ukweli!
Aiseeh, hii imenilazmu nicheke tu
 
mkuu umesahau pi hao kina Synthesizer MOTOCHINI YEHODAYA ni kati ya wano pokea buku7 dail zisizokuwa na maelezo.. wanahusika kututia hasara kama bombadia
Mkuu acha kunitukana. Mi mtu wa kupokea buku saba? Kwanza hao wasiojulikana wameshanitafuta sana. Eti wanatumia watu wenye aviator ya wasichana warembo kunitumia personal message kuniambia Synthesizer nahusudu sana thread zako naomba tufahamiane zaidi! Sijui wameniona mie mhanga sana naweza kudakwa na mtego wa picha ya mwanaume mwenye aviator ya mrembo wa kike!
 
Aiseeh, hii imenilazmu nicheke tu
Mkuu jichekee tu. Kuna watu bwana pamuja na ukuu wao wanakubali kukalishwa wakiwa utupu juu ya ngozi za mbuzi na kupakwa majivu usoni na watu hata kusoma hawajui eti usionekane na maadui zako na wanaokukamia washindwe! Sasa piga hiyo picha kichwani!
 
Zinaweza kuwa zimepelekwa kufichwa kwa PAKA Wa Rwanda kwa ajili ya uchaguzi Wa 2020.
 
Nikiangalia idadi ya pesa na utumbo wako haviingiliani kabisa,ni mbingu na ardhi,porojo hizi wataelewa mashabiki wako tu,sio ma GT.
Majibu ya naibu waziri wa fedha yalijitosheleza kabisa[/QUOTE
Security detail for RC DSM could be one of the vivid indicators of increase of security cost in this country. Of course the president detail has been advanced a lot since the man came to power. Take a note na punguza hiyo dhana yako ya kwamba haiwezekani
 
Ukiulizwa hela za mabilioni Chadema inazopewa Kama ruzuku huwa zimetumikaje unatoa mimacho tu Kama mjusi aliyefiwa na mkwewe kwani huna ulijualo.Nenda kahoji huko kwanza
wE NI 0-
 
Kwa hiyo mnaona CAG ni kilaza sio? Jeshi kutoka uhutuni ni siri?
 
Jamani,jamani mm simo !hatuna Uhuru wa kujadili hill jambo kama mtazamo mleta mada. Mode futa Uzi huu!
 
Back
Top Bottom