Tetesi: Habari zaanza kuvuja kuhusu zilikoenda Trilioni 1.5 "zilizopotea"

Kama hoja ni kulinda amani ya nchi,zitumike tu hata trilioni tatu. Amani ukitoweka gharama zake hazielezeki kwa maneno
 
Ttz la bavicha mkishakaririshwa kitu kuja kuwatoka kichwani hadi aliyewakaririsha awaambie hapana sio hivo.
Hili ndio tatizo lenu kuu mtuu yeyote aliye ana mawazo tofauti na nyie ni mpinzani kaa hivyo hivyo
 

Sasa mbona hiyo ni habari nzuri sana kama zimeenda kwenye mambo ya usalama wa nchi?tunahitaji majeshi yetu yawe na vifaa vya kisasa kutulinda,tunahitaji TISS wafanye kazi yao bila ukwasi,tunahitaji jeshi la polisi,magereza,zimamoto na vyombo vyote vya ulinzi na usalama kufanya kazi bila njaa,so kwangu nampongeza sana Rais kwa hilo,
 
  • Kuna genge ndani ya TISS linamdanganya rahisi kwamba kuna njama za kumua zinapangwa na mafisadi hivyo aongezewe ulinzi. Hapo sasa kunawekwa mlolongo wa vifaa na mahitaji mengine ili watu wapige hela. Rais hasafiri nje ya nchi wale mashushu wake watapata wapi hela ya kuhonga ndio wamebuni mbinu hiyo mpya.
  • Msafara wa rais wa wanyonge wa awamu ya Tano una magari mengi tena ya kifahara kuliko msafara wa rais yeyote tokea Tanzania ipate uhuru.
 
Polisi Magereza na Uhamiaji kuna wapiganaji wamepanda vyeo tokea 2016 hadi sasa mishahara haijapanda...mwambieni mzee huko majeshini hali mbaya
 
Polisi Magereza na Uhamiaji kuna wapiganaji wamepanda vyeo tokea 2016 hadi sasa mishahara haijapanda...mwambieni mzee huko majeshini hali mbaya

nadhani huko watu wanapanda kwendana na level yao ya elimu na cheo,sasa sijaelewa argument yako imebase kwenye kitu gani mkuu
 
Ukizingatia hoja ya mleta mada lazima the same amount itumike next budgetary year..tusubiri na kuona namna hoja hii inavyokosa mashiko..
 
Mh.Jiwe na mwanaye Maliyamungu wana matumizi mengi zaidi ya hao!
Umesahau gharama za kupandikiza mimba ya mke wa Maliyamungu!
Ila uzuri Mzee Jiwe hawezi kupeleka hiyo "change ya 1.5 trliion nje ya Afrika Mashariki zimehamishiwa kwa Wahutu wenzake hapo Kigali!Msalika Robert RAS Tabora anajua zilipo!
 
nadhani huko watu wanapanda kwendana na level yao ya elimu na cheo,sasa sijaelewa argument yako imebase kwenye kitu gani mkuu
Konstebo X mwaka 2016 alikwwenda kozi ya kuwa koplo akamaliza baada ya miezi mitatu na kutunukiwa ukoplo lakini tokea mwaka huo hadi leo anapokea mshahara wa konstebo.. Huo ni mfano wa cheo kimoja na wapo wengi katika majeshi yetu..mwambieni mzee awakumbuke wanapigika. Jeshine elimu haichukui nafasi kubwa kama unavyodhani wewe mwana ccm raia
 
Nikiangalia idadi ya pesa na utumbo wako haviingiliani kabisa,ni mbingu na ardhi,porojo hizi wataelewa mashabiki wako tu,sio ma GT.
Majibu ya naibu waziri wa fedha yalijitosheleza kabisa
Kuna kina mwanahabari huru na zito jr wataipamba hii habari maana sina hakika nini kimetokea katija hichwa vyao
 
Kwanini usiseme habari ulizozipata kutoka GOGO VIVU KARIAKOO? The way ulivyoiandika hii habari yako ni kama umezipata habari kijiweni manzese ama Gogo Vivu la mabaharia Kariakoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…