McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,558
Tuliwahi kuwauzia na mwingine anaitwa Kiiza na sisi tukachukua Tambwe, hivi bado yuko hai?Ndani ya Saa chache au siku mbili au tatu tu zijazo Mchezaji mahiri wa Kiungo wa Yanga FC Haruna Niyonzima anategemea Kusaini kandarasi ya kuichezea Klabu ya Simba SC kwa miaka miwili ( 2 ) kwa ada ambayo itavunja rekodi nchi nzima.
Nawasilisha.
Wazoee tu hawa, mwanzo wa kila msimu huwa wanapatwa na hararaNakumbuka Ile breaking news yako uliyoleta barua ya FIFA iliyoletwa mpaka leo haijasomwa
hahahahah duh mkuu hao hata bure hatuwataki, ,canavaro Huyu huyu mwenye miaka 50Mtu ambaye akiondoka Yanga ntalia ni KAMUSUKO NA CANAVARO TU.
Hawa wengine waache waende tu tunataka kujenga timu yenye Nidhamu Kwanza Pamoja na Pesa ila Nidhamu iwe ya Kwanza.
David Beckham,Christiano Ronaldo waliondoka Man utd ila Timu bado mpaka leo ipo.
Na hawa wachezaji mnaosajili ni kocha kapendekeza au kisa alikua Yanga kesho na keshokutwa akimpa pasi adui akafunga kauza mechi
Ushauri Kwa Yanga ni bora tupite kwenye Kipindi cha mpito kwa kuwekeza hata kwa Vijana na kubana matumizi kuliko kufanya usajili wa kufurahisha watu na mwishowe ndani ya msimu mchezaji kaachwa.
Simba Chukueni wote ila mwakani hatutaki kusikia mkianza kukimbilia FiFa tena
Wanafanya mashabiki wao wasahau khs FIFA, Maana mikia kusahau ni fasterMikia hawana akili hata siku moja. Badala ya kutulia wajenge timu kila siku kusajili wachezaji wapya tu, wengine wanaozea benchi wengine wanaachwa ndani ya msimu mmoja. Wendawazimu hawa wanadhani kusajili wachezaji lukuki ndio siri ya mafanikio. Hawana habari kwamba wachezaji wakizoeana ni faida kwa timu. Upuuzi mtupu, wala hawafiki kokote Malimbukeni wakubwa
View attachment 523524
Hakuna shabiki wa mikia anaepanua mdomo wake kuhusu fifaWanafanya mashabiki wao wasahau khs FIFA, Maana mikia kusahau ni faster
Habari zake nyingi huwa ni hivyo hivyo.Nakumbuka Ile breaking news yako uliyoleta barua ya FIFA iliyoletwa mpaka leo haijasomwa
Hahahahaaaaa. Sasa hivi yashasahau kabisa. Ama kweli wajinga ndio waliwaoWanafanya mashabiki wao wasahau khs FIFA, Maana mikia kusahau ni faster
PovuuuMikia hawana akili hata siku moja. Badala ya kutulia wajenge timu kila siku kusajili wachezaji wapya tu, wengine wanaozea benchi wengine wanaachwa ndani ya msimu mmoja. Wendawazimu hawa wanadhani kusajili wachezaji lukuki ndio siri ya mafanikio. Hawana habari kwamba wachezaji wakizoeana ni faida kwa timu. Upuuzi mtupu, wala hawafiki kokote Malimbukeni wakubwa
View attachment 523524
Vumilia kaka maumivu maana naona sindano imefikaNinyi mikia fc a. K. A FIFA tupeni point 3
Hata mngesajili Nani hamwezi kuchukua ubingwa bara
Nendeni kwenye kaburi LA James agrey siang, a mkaombe msamaha
Maana amekufa anawadai hela yake
Huku tushasainisha ajib,huko kwenu vp khs niyonzima?Ndani ya Saa chache au siku mbili au tatu tu zijazo Mchezaji mahiri wa Kiungo wa Yanga FC Haruna Niyonzima anategemea Kusaini kandarasi ya kuichezea Klabu ya Simba SC kwa miaka miwili ( 2 ) kwa ada ambayo itavunja rekodi nchi nzima.
Nawasilisha.
Nyie mnatoa vishika uchumba si tunasainishaHuku tushasainisha ajib,huko kwenu vp khs niyonzima?